Ya duniani.Saikolojia ya wapi hii.
Hoja sio dhaifu maana wote wanaweza kusaidiana .Umekurupuka, soma upya uelewe.
😂😂Jamani kwani tatizo lipo wapi hapo!?Wenzako waliokuwa wana support ndoa walisema, wanaoa sababu wakiwa uzeeni wahudumie.
Wambie wasichukulie serious sana... mfano unakuta chairman dronedrake ameoa na yuko na watoto watano😆😆Wale wanaosema kataa ndoa wanajisemea tu, ni usemi tu...
Wataoa na wengine wameoa...
Na sio SHERIA pia.KUOA/KUOLEWA SIO LAZIMA NA SIO DHAMBI
ITS JUST SHERIA TU
Watapata tabu sanaWamekaza fuvu, hawataki kusikia.
Ni mule mule maana faida ni kwa wote mke na mume.Mpaka useme
Dadavua tuone.ILA KIJANA WAKIKE AU WA KIUME ANAE KATAA SANA NDOA UKIIDADAVUA KIUNDANI UKAKASI NI MWINGI
OVA
Waterbender
sheria kwa upande ule kama mtakuwa mmefunga ndoa rasmi inatambulika na serikali chini ya sheria ya ndoaNa sio SHERIA pia.
NAKAZIAni taasisi tu ya kijamii kama dini, dini naona umuhimu wake umeisha tunaweza kuacha, ila ndoa badobado kwanza
kulea watoto, kuzagamuana bila hofu, majukumu ya kijinsia kama kuzaa kwa wanawake, kutunza familia kwa wanaume, yote yanatekelezeka vizuri kwenye ndoa....
mambo ya undugu, kuwepo kwa kina shangazi, mabinamu yote ni kwasababu ya kuwepo kwa familia zilizotengenezwa kupitia ndoa
ndo njia nzuri ya matumizi ya rasilimali kwenye jamii, inakua rahisi kila mtu kupata mahitaji maalumu kwasababu kila mtu anakua na ndoa/familia yake