Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Nimekusoma, ila kichwa cha habari kinakatisha tamaa kwa wasomaji, yaloandikwa ndani ni mazuri sana na yanafaa kufanyiwa kazi. Umeandika changamoto za ufugaji wa kuku wa kienyeji; zikifanyiwa kazi, ufugaji huo unaleta tija kubwa sana.
Kwanza niwaeleze kitu;
Kuku matahila (wa kizungu) ni majanga kwa jamii yetu, ndo maana utakutana na mtoto miaka 10 mnene hadi unamhurumia; chemicals zinazotumika kwenye ufugaji wa haya makuku ndo hizo zinawaadhili watoto wetu kunenepeana. Nyumbani kwangu ni marufuku kuyaona hayo mayai / manyama ya hao kuku.
Kwanza niwaeleze kitu;
Kuku matahila (wa kizungu) ni majanga kwa jamii yetu, ndo maana utakutana na mtoto miaka 10 mnene hadi unamhurumia; chemicals zinazotumika kwenye ufugaji wa haya makuku ndo hizo zinawaadhili watoto wetu kunenepeana. Nyumbani kwangu ni marufuku kuyaona hayo mayai / manyama ya hao kuku.