USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

Nimekusoma, ila kichwa cha habari kinakatisha tamaa kwa wasomaji, yaloandikwa ndani ni mazuri sana na yanafaa kufanyiwa kazi. Umeandika changamoto za ufugaji wa kuku wa kienyeji; zikifanyiwa kazi, ufugaji huo unaleta tija kubwa sana.
Kwanza niwaeleze kitu;
Kuku matahila (wa kizungu) ni majanga kwa jamii yetu, ndo maana utakutana na mtoto miaka 10 mnene hadi unamhurumia; chemicals zinazotumika kwenye ufugaji wa haya makuku ndo hizo zinawaadhili watoto wetu kunenepeana. Nyumbani kwangu ni marufuku kuyaona hayo mayai / manyama ya hao kuku.
 
Duh sitakata tamaa bado maaana mwenzetu pamoja na changamoto alizozitaja hakuwahi kulala njaa.... that means ana instant income, no matter yametoka mayai mangapi au kuku wangapi. Pia suala la marketing ni muhimu sana, huwezi kusema nina kuku na mayai kisha ukakaa ukatulia ukasubiria wateja waje,wenyewe, marketing ni muhimu sana sana. Kwenda kuuza kwenye supermakerket peke yake haiku-guarantee kuwa ndio umepata soko zuri.

Hata hivyo umesema vyema kuwa Vijana waache kuwa na ndoto kuwa mambo yatakua rahisi rahisi tu, sivyo hivyo. Dedication ni muhimu sana
 
Hoja nzuri ya kushawishi wateja kwenye biashara yako kijanja.Kuku wa kienyeji wanalipa na salama zaidi kwa mfugaji anayeanza kuliko kuku wa kisasa.Ni kweli changamoto zipo nyingi ila hakuna biashara isiyo na changamoto.
MASOKO
Kuhusiana na soko kuku wa asili hawawezi kushindanishwa na kuku wa aina nyingine yeyote Tanzania.Ukitaka soko la uhakika kuku wa kienyeji ni 100% labda kama unaongelea soko la Dar kwa watu wa kipato cha chini kabisa na wasio jali afya zao.
UZALISHAJI
Changamoto ni sahihi kwa atakayeamua kuwafuga kuku hao kienyeji.Wapo waliofanikisha ufugaji huu kwa kuzingatia kanuni za kisasa kwa vifaranga.Kuku hanyonyeshi,kama unavyowatunza kuku wa kisasa watunze wa kienyeji kwa kanuni zilezile isipokuwa baada ya kuwa na uwezo wa kujitegemea unawaachia huru ili wathibitishe uasili wake.
Ukiwatunza na kuwalisha kama kuku wa kisasa ladha ya kuku wa asili inapotea na hutawauza kwa bei wanayostahili wala kuwatofautisha na hao tunaowaita wa kisasa.
ATHARI KWA MLAJI
Kizazi kinachokula bila kujali au kuzingatia ubora na usalama wa wanachokula hakitabaki salama na hakitadumu.Kwa walio makini na afya zao wimbi kubwa la walaji linaanza kuondoka taaratibu kutoka kwenye ulaji wa chakula kisichojali afya zao.Kuku wa asili sawasawa na vyakula vyetu vya asili ni salama na vina nafasi kubwa ya kutawala soko.Tatizo hautaki kuvitangaza au kuvitetea.
MTAJI WA KUANZIA
Wakati wa kutetea hoja iliyopo mezani njoo mezani na hesabu inayohitajika kuanza ufugaji wa kisasa hadi kufika gharama za uzalishaji zinapokuwa sawasawa na mauzo(BEP).

Changamoto kubwa kwenye ufugaji wa kuku wa asili kwa walio mijini ni eneo la kufugia na vyakula.Kwa walio na maeneo makubwa nje ya miji kuku wa kisasa kwa hesabu zake hawawezi kushindana na kuku wa asili.

Katika jukwaa hili la JF wakenya walipoleta mayai mkengi Tanzania malalamiko mengi yalitoka kwa wafugaji wa kuku wa kisasa.

Ninaafikiana na mtoa mada kwa 100% kuhusu ufugaji wa kuku chotara kwa aliyepata uzoefu na siyo anayeanza ufugaji na hana chanzo kipya cha kuinua mtaji anapodondoka.Hakuna mstari mnyofu katika biashara yeyote.

Tujadili fedha nyingi na usalama wa mlaji.
 
N
hebu na ww tupe ukweli mkuu!!!!!!!!

Nyongeza ndogo kwenye eneo la uzalishaji.Kuku huatamia mayai kwa siku 21.Fuatilia tarehe ya kwanza ya kuku wako wanapoanza kuatamia,jifunze mbinu za kuwafanya kuku wako waanze kuatamia na kutotoa kwa wakati mmoja.Mfano una kuku 10,unawalazimisha kuku 5 waanze kuatamia kwa pamoja (rejea masomo ya nyuma juu ya ufugaji wa kuku wa asili/kienyeji).

Siku ya 21 alfajiri wanyang'anye kuku waliokuwa wanaatamia vifaranga vyao kabla havijatoa milio,wape mayai mengine.Hawatatoka hapo hadi siku nyingine 21 zifike na watotoe vifaranga vingine.Wanyanyang'anye vifaranga na kuwaachilia wapumzike.Ukiwatunza kwa chakula cha uhakika na kinga za magonjwa majuma mawili/matatu wataanza kutaga tena.Idadi ya vifaranga na mayai atakayokupatia kila kuku haitakuwa ya mazoea.

Kanuni rahisi ni (1) Jua kitu cha kufanya (2) Jua namna ya kufanya (3) Kifanye.
Mambo haya hatupaswi kuyaweka hadharani kiasi hiki.Tanzania wengi wetu hatua ya kwanza na ya pili tupo vizuri sana ,tatizo lipo kwenye hatua ya tatu.Kenya kwenye hatua ya kwanza na pili wapo dhaifu kuliko sisi ila hatua ya tatu wametuacha mbali ndiyo maana baadhi yetu hatutaki kuweka kila kitu hadharani.

Tunalenga kufundishana wenyewe wanafaidi wapita njia kwa tuliyofundishana kisha wanaanza kutucheka nasi tunashangilia.
 
Asante sana kwa thread hii. Nitakupigia for sure. Ninahamia kwenye nyumba ambayo ina eneo la wazi kama la robo 3 eka na maji ya kutosha. Tutawasiliana ili unielekeze namna ya kufuga kuku mahali hapo.
 
Kumekuwa na upotoshaji kwa baadhi wa watu wanaojiita wataalamu wa ujasiriamali, hasa wanaofanya shughuli za ufugaji kwa maandiko ya whatsapp bila kuwa na hata kuku mmoja bandani.

Nimesukumwa kuandika bandiko hili hapa kutokana na jumbe mbali mbali za uufugaji wa kimtandao unaoshawishi vijana kuwa watatajirika mapema kwa shughuli za ufugaji kwa kuanza na kuku wa kienyeji kumi na moja na kuweza kupata Zaidi ya kuku miatatu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa uzalishaji. Hoja yao inaweza kuwa sahihi, ila ningependa kusisitiza mafanikio katika ufugaji hayapo katika idadi ya kuku unayomiki, bali ni namna ulivyoweza kumanage biashara ya ufugaji.

Hoja yangu leo hapa ni kwamba, Biashara ya kuku wa kienyeji hailipi na nikupoteza muda wako. Na nitatetea hoja yangu kwa mifano hai na uzoefu wangu katika ufugaji.

Biashara ya Mayai. (idadi isiyo na tija kibiashara)

Kwa asili ya kuku wa kienyeji,huwa wanatabia ya utagaji wa mayai 7-10 na mara nyingi ni siku kwa siku 10 mfululizo, utamiaji -siku 21, na uleaji wa vifaranga - siku 50-60. Hii inampelekea kwa kuku mmoja kuweza kutaga wastani wa mayai 35-50 kwa mwaka kwani anapoteza muda mwingi kwa shughuli za utamiaji na malezi ya vifaranga badala ya kutaga. Idadi hii ya mayai haina tija kibiashara kwani kuku mmoja anaweza kukuzalishia tray 1 mpka mbili kasoro pekee kwa mwaka ambayo kwa bei ya soko si Zaidi ya shilingi za kitanzania 20,000 tu kwa mwaka.

Changamoto kwenye soko la mayai ya kienyeji. (Uhifadhi wa mayai)

Mayai ya kienyeji ni kati ya bidhaa ngumu Zaidi kuhifadhika. Ikumbukwe kuwa tofauti na mayai ya kisasa, mayai ya kienyeji huwa yamerutubishwa na majogoo. Hivyo kuharibika ndani ya muda ya week moja au pungufu kama hayatatuzwa katika mazingira salama kwaajili ya utunzaji. Kipindi cha joto kali, mayai haya huanza kujitenenezea kifaranga au mishipa ya damu ambayo baada ya muda mfupi hugeuka viza na kutofaa kwa matumizi tena.

Kwa uzoefu wangu binafsi, nilianza kusambaza mayai ya kienyeji kwenye supermarkets miaka mitatu iliyopita. Nilipata changamoto kubwa sana ya kubadilisha mayai mara kwa mara kwani mteja akichukua yai viza ni kumpoteza kabisa. Hii ni changamoto ya kwanza ambayo mpaka sasa bado inasumbua wafugaji wengi.

Bei juu kwa mayai ya kienyeji

Gharama za mayai husika, bei ya mayai ya kienyeji iko juu ukilinganisha na gharama za mayai ya kuku wa kisasa. Soko kubwa la mayai ni pamoja na vibanda vya chips, migahawa na hoteli. hawa wanauhitaji mkubwa sana wa mayai na soko liko juu muda wote wa mwaka.

Soko la mayai ya kienyeji lipo Zaidi kwenye households(soko la familia) hasa kwa vigezo vya kuzingatia afya zaidi. Soko hili la familia sio kubwa, ni soko dogo na mara nyingi hutumia tray moja kwa kipindi cha wiki mbili au Zaidi. Kwa mzalishaji mkubwa wa mayai ya kienyeji ni lazma awe na soko la familia pana Zaidi kuweza kupata faida ndogo, nasema faida ndogo maana ili kuzalisha mayai tray kumi (mayai 300) kwa siku, utahitaji Zaidi ya matetea 700 mpaka 1000 ya kienyeji pure. idadi ambayo ni kubwa kuliko idadi ya mayai yanayopatikana.

Biashara ya Nyama

Na declare interest, mimi pia ni msambazaji wa nyama ya kuku wa kienyeji, hivyo naongea kwa uzoefu, na niko tayari kukosolewa. Pamoja na kufugwa katika misingi ya kijani (organic rearing), iyo pekee haitoshi kumpa thamani inayostahili huyu kuku sokoni.

Thamani ya kuku sokoni ni uzito alio nao, organic component ni jambo la ziada lililo muhimu pia. tunavyo jadili bei ya soko ya kuku huyu ni lazma tumliganishe na gharama za bidhaa pinzani zilizoko sokoni. Haitawezekana kumuuza kuku mwenye kilo moja au pungufu kwa bei ambayo tunashawishiana humu ya 15,000-20,000 wakati bidhaa pinzani (nyama nyeupe) kama samaki sato toka mwanza wanauzwakwa 7,500 kwa kilo, au kitimoto, nyama ya ngombe ambazo nazo kilo ni 7,500-8,000.

Hivyo basi, hoja yangu hapa ni uzito wa kuku husika. Ukiachana na jamii chache za kuku wa kienyeji (kuchi etc) wenye uzito mzuri, majority ya kuku pure wa asili/kienyeji kwa majogoo huwa na pungufu ya kilo moja na nusu. Kumbuka uzito wa kuku hawa sio kwasababu ya malisho duni, laah hasha, bali ni kutokana na vinasaba (genes) vyao kuwafanya kuwa na maumbo madogo madogo. kwa kuku wa aina hii, sitegemei mfugaji kama atafanikiwa kuwapeleka sokoni na kuweza kupata bei nzuri toka kwa mlaji wa mwisho.

Nini kifanyike?

Ili ufugaji uwe wenye tija kibiashara ufanyike, ni lazma wafugaji tuamke na kuachana na ufugaji wa kuku hawa asilia kwani hawana tija. Nikisema hivi simaanishi watu waache kufuga, hapana, ila wafuge aina /breeds za kuku zenye tija kibiashara. Kuku pekee unaoweza kuwafuga kwa mbinu za kienyeji na bado wakakuletea mfugaji faida nzuri kibiashara, ni kuku aina ya chotara (cross breeds). Hii ni aina ya kuku wenye sifa zote za ukienyeji kwa misingi ya mbinu zao za kuwafuga pamoja na namna walivyo nauwezo wa kuhimili mazingira hasa ya vijijini.

Kuna aina mbalimbali ya kuku hawa ikiwamo Black/ white australorps, kroiller, Rhodes island red, red hamshire, Sussex etc. Hawa ni kuku ambao wanaserve purpose zote za mayai na za nyama. Mfano kuku aina ya black/white australorps wao wanauwezo wa kutaga mpaka mayai 250 kwa mwaka, tofauti na wa kienyeji, mayai ya kuku hawa huwa makubwa na yenye kasha jeupe na kiini cha njano kama utawafuga kwenye mazingira na mbinu asilia (za kienyeji).

Ukilinganisha uwezo wa utagaji wa kuku hawa utagundua utagaji wao ni Zaidi ya asilimia 500% ukilinganisha na ule wa kienyeji pure. Idadi hii ya mayai toka kwa kuku mmoja kwa mwaka, anaweza kumwezesha mfugaji kuzalisha mayai kwa wingi na kushusha Zaidi bei ya mazao yake (mayai) kuwa chini kuweza kuliteka soko kwa urahisi Zaidi. Kumbuka, bei ya juu ya mayai ya kienyeji ni kwaajili ya kulipia gharama kubwa za utunzaji wa kuku huyu ilihali utagaji wake ni hafifu.

Pili, kuku hawa wana nyama nyingi Zaidi kuliko hawa wa kienyeji kwa majogoo hufikia mpaka uzito wa kilo 3-3.5. huku matetea hufikia kilo 2-2.5 na huwa na nyama nzuri, iliyokomaa vyema na yenye ladha. kwa uzito huu kwa majogoo, kuku hawa uuzwa kwa bei ya 20,000 - 25,000 wakiwa hai. bei ambayoni kwa mujibu wa bei ya soko kwa makadirio ya shilingi 8,000 kwa kilo kwa nyama nyeupe.

Mapungufu

Pamoja na ubora wa kuku hawa katika ufugaji wa kibiashara, kuku hawa pia wanachangamoto mbali mbali ikiwemo kutokuwa na uwezo wa kutamia. Pamoja na hii kuwa changamoto pia ni fursa kwani kwa yeye kutotamia kunamwongezea nafasi ya yeye kuendelea kutaga mara nyingi Zaidi bila kupumzika. Hivyo changamoto hii ni faida kwa mfugaji anaelenga kufuga kwa tija. Kwa vile mayai haya huwa yamerutubishwa na majogoo, nirahisi kwa mfugaji kuongeza idadi ya kuku kwa kupitia kutotolesha kwa mshine za kuangulia vifaranga au kumpa kuku mwingine ayatamie kwa niaba.


Neno la kufungia:


“ I think I touched a raw nerve when I said farming is NOT cool! I believe farming takes a lot of HARD work and dedication. Lets not lie to the youth that they'll become instant millionaires when they get into farming. It becomes "cool" once you master the trade......” caleb

Ufugaji unalipa ukiweza kuibudu biashara ya ufugaji,


Kwa ushauri Zaidi kuhusu shughuli za ufugaji, tuwasiliane kwa namba 0755815174. pia pata fursa kusoma ya Makala mbali na utaalamu kutoka kwenye mtandao wetu www.backyard.co.tz

Nimejaribu kuattach picha za baadhi ya kuku bora wanaofaakufugwa kienyeji na wakaleta tija kibiashara hapa chini. Neno langu si sharia, nakaribisha Michango

View attachment 385750
View attachment 385751
View attachment 385752
View attachment 385753
View attachment 385754
 
Kumekuwa na upotoshaji kwa baadhi wa watu wanaojiita wataalamu wa ujasiriamali, hasa wanaofanya shughuli za ufugaji kwa maandiko ya whatsapp bila kuwa na hata kuku mmoja bandani.

Nimesukumwa kuandika bandiko hili hapa kutokana na jumbe mbali mbali za uufugaji wa kimtandao unaoshawishi vijana kuwa watatajirika mapema kwa shughuli za ufugaji kwa kuanza na kuku wa kienyeji kumi na moja na kuweza kupata Zaidi ya kuku miatatu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa uzalishaji. Hoja yao inaweza kuwa sahihi, ila ningependa kusisitiza mafanikio katika ufugaji hayapo katika idadi ya kuku unayomiki, bali ni namna ulivyoweza kumanage biashara ya ufugaji.

Hoja yangu leo hapa ni kwamba, Biashara ya kuku wa kienyeji hailipi na nikupoteza muda wako. Na nitatetea hoja yangu kwa mifano hai na uzoefu wangu katika ufugaji.

Biashara ya Mayai. (idadi isiyo na tija kibiashara)

Kwa asili ya kuku wa kienyeji,huwa wanatabia ya utagaji wa mayai 7-10 na mara nyingi ni siku kwa siku 10 mfululizo, utamiaji -siku 21, na uleaji wa vifaranga - siku 50-60. Hii inampelekea kwa kuku mmoja kuweza kutaga wastani wa mayai 35-50 kwa mwaka kwani anapoteza muda mwingi kwa shughuli za utamiaji na malezi ya vifaranga badala ya kutaga. Idadi hii ya mayai haina tija kibiashara kwani kuku mmoja anaweza kukuzalishia tray 1 mpka mbili kasoro pekee kwa mwaka ambayo kwa bei ya soko si Zaidi ya shilingi za kitanzania 20,000 tu kwa mwaka.

Changamoto kwenye soko la mayai ya kienyeji. (Uhifadhi wa mayai)

Mayai ya kienyeji ni kati ya bidhaa ngumu Zaidi kuhifadhika. Ikumbukwe kuwa tofauti na mayai ya kisasa, mayai ya kienyeji huwa yamerutubishwa na majogoo. Hivyo kuharibika ndani ya muda ya week moja au pungufu kama hayatatuzwa katika mazingira salama kwaajili ya utunzaji. Kipindi cha joto kali, mayai haya huanza kujitenenezea kifaranga au mishipa ya damu ambayo baada ya muda mfupi hugeuka viza na kutofaa kwa matumizi tena.

Kwa uzoefu wangu binafsi, nilianza kusambaza mayai ya kienyeji kwenye supermarkets miaka mitatu iliyopita. Nilipata changamoto kubwa sana ya kubadilisha mayai mara kwa mara kwani mteja akichukua yai viza ni kumpoteza kabisa. Hii ni changamoto ya kwanza ambayo mpaka sasa bado inasumbua wafugaji wengi.

Bei juu kwa mayai ya kienyeji

Gharama za mayai husika, bei ya mayai ya kienyeji iko juu ukilinganisha na gharama za mayai ya kuku wa kisasa. Soko kubwa la mayai ni pamoja na vibanda vya chips, migahawa na hoteli. hawa wanauhitaji mkubwa sana wa mayai na soko liko juu muda wote wa mwaka.

Soko la mayai ya kienyeji lipo Zaidi kwenye households(soko la familia) hasa kwa vigezo vya kuzingatia afya zaidi. Soko hili la familia sio kubwa, ni soko dogo na mara nyingi hutumia tray moja kwa kipindi cha wiki mbili au Zaidi. Kwa mzalishaji mkubwa wa mayai ya kienyeji ni lazma awe na soko la familia pana Zaidi kuweza kupata faida ndogo, nasema faida ndogo maana ili kuzalisha mayai tray kumi (mayai 300) kwa siku, utahitaji Zaidi ya matetea 700 mpaka 1000 ya kienyeji pure. idadi ambayo ni kubwa kuliko idadi ya mayai yanayopatikana.

Biashara ya Nyama

Na declare interest, mimi pia ni msambazaji wa nyama ya kuku wa kienyeji, hivyo naongea kwa uzoefu, na niko tayari kukosolewa. Pamoja na kufugwa katika misingi ya kijani (organic rearing), iyo pekee haitoshi kumpa thamani inayostahili huyu kuku sokoni.

Thamani ya kuku sokoni ni uzito alio nao, organic component ni jambo la ziada lililo muhimu pia. tunavyo jadili bei ya soko ya kuku huyu ni lazma tumliganishe na gharama za bidhaa pinzani zilizoko sokoni. Haitawezekana kumuuza kuku mwenye kilo moja au pungufu kwa bei ambayo tunashawishiana humu ya 15,000-20,000 wakati bidhaa pinzani (nyama nyeupe) kama samaki sato toka mwanza wanauzwakwa 7,500 kwa kilo, au kitimoto, nyama ya ngombe ambazo nazo kilo ni 7,500-8,000.

Hivyo basi, hoja yangu hapa ni uzito wa kuku husika. Ukiachana na jamii chache za kuku wa kienyeji (kuchi etc) wenye uzito mzuri, majority ya kuku pure wa asili/kienyeji kwa majogoo huwa na pungufu ya kilo moja na nusu. Kumbuka uzito wa kuku hawa sio kwasababu ya malisho duni, laah hasha, bali ni kutokana na vinasaba (genes) vyao kuwafanya kuwa na maumbo madogo madogo. kwa kuku wa aina hii, sitegemei mfugaji kama atafanikiwa kuwapeleka sokoni na kuweza kupata bei nzuri toka kwa mlaji wa mwisho.

Nini kifanyike?

Ili ufugaji uwe wenye tija kibiashara ufanyike, ni lazma wafugaji tuamke na kuachana na ufugaji wa kuku hawa asilia kwani hawana tija. Nikisema hivi simaanishi watu waache kufuga, hapana, ila wafuge aina /breeds za kuku zenye tija kibiashara. Kuku pekee unaoweza kuwafuga kwa mbinu za kienyeji na bado wakakuletea mfugaji faida nzuri kibiashara, ni kuku aina ya chotara (cross breeds). Hii ni aina ya kuku wenye sifa zote za ukienyeji kwa misingi ya mbinu zao za kuwafuga pamoja na namna walivyo nauwezo wa kuhimili mazingira hasa ya vijijini.

Kuna aina mbalimbali ya kuku hawa ikiwamo Black/ white australorps, kroiller, Rhodes island red, red hamshire, Sussex etc. Hawa ni kuku ambao wanaserve purpose zote za mayai na za nyama. Mfano kuku aina ya black/white australorps wao wanauwezo wa kutaga mpaka mayai 250 kwa mwaka, tofauti na wa kienyeji, mayai ya kuku hawa huwa makubwa na yenye kasha jeupe na kiini cha njano kama utawafuga kwenye mazingira na mbinu asilia (za kienyeji).

Ukilinganisha uwezo wa utagaji wa kuku hawa utagundua utagaji wao ni Zaidi ya asilimia 500% ukilinganisha na ule wa kienyeji pure. Idadi hii ya mayai toka kwa kuku mmoja kwa mwaka, anaweza kumwezesha mfugaji kuzalisha mayai kwa wingi na kushusha Zaidi bei ya mazao yake (mayai) kuwa chini kuweza kuliteka soko kwa urahisi Zaidi. Kumbuka, bei ya juu ya mayai ya kienyeji ni kwaajili ya kulipia gharama kubwa za utunzaji wa kuku huyu ilihali utagaji wake ni hafifu.

Pili, kuku hawa wana nyama nyingi Zaidi kuliko hawa wa kienyeji kwa majogoo hufikia mpaka uzito wa kilo 3-3.5. huku matetea hufikia kilo 2-2.5 na huwa na nyama nzuri, iliyokomaa vyema na yenye ladha. kwa uzito huu kwa majogoo, kuku hawa uuzwa kwa bei ya 20,000 - 25,000 wakiwa hai. bei ambayoni kwa mujibu wa bei ya soko kwa makadirio ya shilingi 8,000 kwa kilo kwa nyama nyeupe.

Mapungufu

Pamoja na ubora wa kuku hawa katika ufugaji wa kibiashara, kuku hawa pia wanachangamoto mbali mbali ikiwemo kutokuwa na uwezo wa kutamia. Pamoja na hii kuwa changamoto pia ni fursa kwani kwa yeye kutotamia kunamwongezea nafasi ya yeye kuendelea kutaga mara nyingi Zaidi bila kupumzika. Hivyo changamoto hii ni faida kwa mfugaji anaelenga kufuga kwa tija. Kwa vile mayai haya huwa yamerutubishwa na majogoo, nirahisi kwa mfugaji kuongeza idadi ya kuku kwa kupitia kutotolesha kwa mshine za kuangulia vifaranga au kumpa kuku mwingine ayatamie kwa niaba.


Neno la kufungia:


“ I think I touched a raw nerve when I said farming is NOT cool! I believe farming takes a lot of HARD work and dedication. Lets not lie to the youth that they'll become instant millionaires when they get into farming. It becomes "cool" once you master the trade......” caleb

Ufugaji unalipa ukiweza kuibudu biashara ya ufugaji,


Kwa ushauri Zaidi kuhusu shughuli za ufugaji, tuwasiliane kwa namba 0755815174. pia pata fursa kusoma ya Makala mbali na utaalamu kutoka kwenye mtandao wetu www.backyard.co.tz

Nimejaribu kuattach picha za baadhi ya kuku bora wanaofaakufugwa kienyeji na wakaleta tija kibiashara hapa chini. Neno langu si sharia, nakaribisha Michango

View attachment 385750
View attachment 385751
View attachment 385752
View attachment 385753
View attachment 385754



IPO NJEMA KIMTAZAMO LAKINI NI LAZIMA KUWEPO MTAZAMO ZAIDI KUKUZA HUU UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KWANI NI CHAKULA MHIMU NA ASILI MWILINI MWETU
 
Kumekuwa na upotoshaji kwa baadhi wa watu wanaojiita wataalamu wa ujasiriamali, hasa wanaofanya shughuli za ufugaji kwa maandiko ya whatsapp bila kuwa na hata kuku mmoja bandani.

Nimesukumwa kuandika bandiko hili hapa kutokana na jumbe mbali mbali za uufugaji wa kimtandao unaoshawishi vijana kuwa watatajirika mapema kwa shughuli za ufugaji kwa kuanza na kuku wa kienyeji kumi na moja na kuweza kupata Zaidi ya kuku miatatu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa uzalishaji. Hoja yao inaweza kuwa sahihi, ila ningependa kusisitiza mafanikio katika ufugaji hayapo katika idadi ya kuku unayomiki, bali ni namna ulivyoweza kumanage biashara ya ufugaji.

Hoja yangu leo hapa ni kwamba, Biashara ya kuku wa kienyeji hailipi na nikupoteza muda wako. Na nitatetea hoja yangu kwa mifano hai na uzoefu wangu katika ufugaji.

Biashara ya Mayai. (idadi isiyo na tija kibiashara)

Kwa asili ya kuku wa kienyeji,huwa wanatabia ya utagaji wa mayai 7-10 na mara nyingi ni siku kwa siku 10 mfululizo, utamiaji -siku 21, na uleaji wa vifaranga - siku 50-60. Hii inampelekea kwa kuku mmoja kuweza kutaga wastani wa mayai 35-50 kwa mwaka kwani anapoteza muda mwingi kwa shughuli za utamiaji na malezi ya vifaranga badala ya kutaga. Idadi hii ya mayai haina tija kibiashara kwani kuku mmoja anaweza kukuzalishia tray 1 mpka mbili kasoro pekee kwa mwaka ambayo kwa bei ya soko si Zaidi ya shilingi za kitanzania 20,000 tu kwa mwaka.

Changamoto kwenye soko la mayai ya kienyeji. (Uhifadhi wa mayai)

Mayai ya kienyeji ni kati ya bidhaa ngumu Zaidi kuhifadhika. Ikumbukwe kuwa tofauti na mayai ya kisasa, mayai ya kienyeji huwa yamerutubishwa na majogoo. Hivyo kuharibika ndani ya muda ya week moja au pungufu kama hayatatuzwa katika mazingira salama kwaajili ya utunzaji. Kipindi cha joto kali, mayai haya huanza kujitenenezea kifaranga au mishipa ya damu ambayo baada ya muda mfupi hugeuka viza na kutofaa kwa matumizi tena.

Kwa uzoefu wangu binafsi, nilianza kusambaza mayai ya kienyeji kwenye supermarkets miaka mitatu iliyopita. Nilipata changamoto kubwa sana ya kubadilisha mayai mara kwa mara kwani mteja akichukua yai viza ni kumpoteza kabisa. Hii ni changamoto ya kwanza ambayo mpaka sasa bado inasumbua wafugaji wengi.

Bei juu kwa mayai ya kienyeji

Gharama za mayai husika, bei ya mayai ya kienyeji iko juu ukilinganisha na gharama za mayai ya kuku wa kisasa. Soko kubwa la mayai ni pamoja na vibanda vya chips, migahawa na hoteli. hawa wanauhitaji mkubwa sana wa mayai na soko liko juu muda wote wa mwaka.

Soko la mayai ya kienyeji lipo Zaidi kwenye households(soko la familia) hasa kwa vigezo vya kuzingatia afya zaidi. Soko hili la familia sio kubwa, ni soko dogo na mara nyingi hutumia tray moja kwa kipindi cha wiki mbili au Zaidi. Kwa mzalishaji mkubwa wa mayai ya kienyeji ni lazma awe na soko la familia pana Zaidi kuweza kupata faida ndogo, nasema faida ndogo maana ili kuzalisha mayai tray kumi (mayai 300) kwa siku, utahitaji Zaidi ya matetea 700 mpaka 1000 ya kienyeji pure. idadi ambayo ni kubwa kuliko idadi ya mayai yanayopatikana.

Biashara ya Nyama

Na declare interest, mimi pia ni msambazaji wa nyama ya kuku wa kienyeji, hivyo naongea kwa uzoefu, na niko tayari kukosolewa. Pamoja na kufugwa katika misingi ya kijani (organic rearing), iyo pekee haitoshi kumpa thamani inayostahili huyu kuku sokoni.

Thamani ya kuku sokoni ni uzito alio nao, organic component ni jambo la ziada lililo muhimu pia. tunavyo jadili bei ya soko ya kuku huyu ni lazma tumliganishe na gharama za bidhaa pinzani zilizoko sokoni. Haitawezekana kumuuza kuku mwenye kilo moja au pungufu kwa bei ambayo tunashawishiana humu ya 15,000-20,000 wakati bidhaa pinzani (nyama nyeupe) kama samaki sato toka mwanza wanauzwakwa 7,500 kwa kilo, au kitimoto, nyama ya ngombe ambazo nazo kilo ni 7,500-8,000.

Hivyo basi, hoja yangu hapa ni uzito wa kuku husika. Ukiachana na jamii chache za kuku wa kienyeji (kuchi etc) wenye uzito mzuri, majority ya kuku pure wa asili/kienyeji kwa majogoo huwa na pungufu ya kilo moja na nusu. Kumbuka uzito wa kuku hawa sio kwasababu ya malisho duni, laah hasha, bali ni kutokana na vinasaba (genes) vyao kuwafanya kuwa na maumbo madogo madogo. kwa kuku wa aina hii, sitegemei mfugaji kama atafanikiwa kuwapeleka sokoni na kuweza kupata bei nzuri toka kwa mlaji wa mwisho.

Nini kifanyike?

Ili ufugaji uwe wenye tija kibiashara ufanyike, ni lazma wafugaji tuamke na kuachana na ufugaji wa kuku hawa asilia kwani hawana tija. Nikisema hivi simaanishi watu waache kufuga, hapana, ila wafuge aina /breeds za kuku zenye tija kibiashara. Kuku pekee unaoweza kuwafuga kwa mbinu za kienyeji na bado wakakuletea mfugaji faida nzuri kibiashara, ni kuku aina ya chotara (cross breeds). Hii ni aina ya kuku wenye sifa zote za ukienyeji kwa misingi ya mbinu zao za kuwafuga pamoja na namna walivyo nauwezo wa kuhimili mazingira hasa ya vijijini.

Kuna aina mbalimbali ya kuku hawa ikiwamo Black/ white australorps, kroiller, Rhodes island red, red hamshire, Sussex etc. Hawa ni kuku ambao wanaserve purpose zote za mayai na za nyama. Mfano kuku aina ya black/white australorps wao wanauwezo wa kutaga mpaka mayai 250 kwa mwaka, tofauti na wa kienyeji, mayai ya kuku hawa huwa makubwa na yenye kasha jeupe na kiini cha njano kama utawafuga kwenye mazingira na mbinu asilia (za kienyeji).

Ukilinganisha uwezo wa utagaji wa kuku hawa utagundua utagaji wao ni Zaidi ya asilimia 500% ukilinganisha na ule wa kienyeji pure. Idadi hii ya mayai toka kwa kuku mmoja kwa mwaka, anaweza kumwezesha mfugaji kuzalisha mayai kwa wingi na kushusha Zaidi bei ya mazao yake (mayai) kuwa chini kuweza kuliteka soko kwa urahisi Zaidi. Kumbuka, bei ya juu ya mayai ya kienyeji ni kwaajili ya kulipia gharama kubwa za utunzaji wa kuku huyu ilihali utagaji wake ni hafifu.

Pili, kuku hawa wana nyama nyingi Zaidi kuliko hawa wa kienyeji kwa majogoo hufikia mpaka uzito wa kilo 3-3.5. huku matetea hufikia kilo 2-2.5 na huwa na nyama nzuri, iliyokomaa vyema na yenye ladha. kwa uzito huu kwa majogoo, kuku hawa uuzwa kwa bei ya 20,000 - 25,000 wakiwa hai. bei ambayoni kwa mujibu wa bei ya soko kwa makadirio ya shilingi 8,000 kwa kilo kwa nyama nyeupe.

Mapungufu

Pamoja na ubora wa kuku hawa katika ufugaji wa kibiashara, kuku hawa pia wanachangamoto mbali mbali ikiwemo kutokuwa na uwezo wa kutamia. Pamoja na hii kuwa changamoto pia ni fursa kwani kwa yeye kutotamia kunamwongezea nafasi ya yeye kuendelea kutaga mara nyingi Zaidi bila kupumzika. Hivyo changamoto hii ni faida kwa mfugaji anaelenga kufuga kwa tija. Kwa vile mayai haya huwa yamerutubishwa na majogoo, nirahisi kwa mfugaji kuongeza idadi ya kuku kwa kupitia kutotolesha kwa mshine za kuangulia vifaranga au kumpa kuku mwingine ayatamie kwa niaba.


Neno la kufungia:


“ I think I touched a raw nerve when I said farming is NOT cool! I believe farming takes a lot of HARD work and dedication. Lets not lie to the youth that they'll become instant millionaires when they get into farming. It becomes "cool" once you master the trade......” caleb

Ufugaji unalipa ukiweza kuibudu biashara ya ufugaji,


Kwa ushauri Zaidi kuhusu shughuli za ufugaji, tuwasiliane kwa namba 0755815174. pia pata fursa kusoma ya Makala mbali na utaalamu kutoka kwenye mtandao wetu www.backyard.co.tz

Nimejaribu kuattach picha za baadhi ya kuku bora wanaofaakufugwa kienyeji na wakaleta tija kibiashara hapa chini. Neno langu si sharia, nakaribisha Michango

View attachment 385750
View attachment 385751
View attachment 385752
View attachment 385753
View attachment 385754
kuna muda huwasijuti kupotezea muda wangu kwenye JF. Be blessed mengi na makubwa nimejifunza hapa. Shida sisi mazoea ya ufanyaji wa mambo sasa umekua utamaduni wetu. ntakutafuta for more clarification. i wishi kufuga kuku wa kienyeji kwa njia ya kisasa. big up Ginner
 
Wadau nina heka 10 eneo la MKATA njia panda ya handeni naomba ushauri wenu nifanyie nn kwa maeneo haya ili niweze kusonga mbele Kama ni kulima nilime nini Kama ni kufuga nifuge nini msaada tafadhali wadau Asante
 
Wakuu ahsanteni kwa ushauri wote waliochangia uzi huu shida yangu nina vifaranga vya siku tano tu mpaka sasa naona vingine vina kosa nguvu na dakika hii washakufa wawili msaada wenu tafadhali
 
Tunauza kuku wa kienyeji, kwa wakazi wa DSM onja msisimko wa kuku watamu wa kienyeji. Kuku ni wakubwa na wanauzito wa kilo 3-4. Bei nzuri kabisa. Unaweza ukaletewa mpaka ulipo kama utahitaji wengi. DM kama unahitaji
 
Maoni ya mleta mada ni conclusive pasipo kuwa na utafiti, inaonesha yeye ni mhanga wa kufanyabiashara bila kuomba ushauri wa wataalam wa sekta husika:

Angalia vidokezo kadhaa ambavyo amecoclude nje ukweli wa kutaalam:

1. Utagaji, uatamiaji na kuharibika kwa mayai:
Ili kupata mayaimengi yabidi kuku alishwe chakula cha kutosha, hapo kuku anaweza kutaga hata mayai 20 kwa round moja. Kama imterest ni kuuza mayai basi lazima utoe supplementation, kama interest ni vifaranga na mayai Mengi, kuku hunyanganywa vifaranga immediately baada ya kutotoa na ukifanya hivyo research zinaonesha kuwa after WK mbili anaweza kuanza kutaga round nyingine. Siyokweli kuwa mayai ya kienyeji huharibika haraka, kama wewe ni commercial dealer wa mayai unatakiwa kuyaokota immediately after being laid na kuyahifadhi kwenye ubaridi.
1. Uzito wa kuku:
Kama wewe ni commercial dealer wa Nyama unatakiwa kufanya line/breed selection kwani baadhi ya lines huwa na kuku wakubwa kwa muda mfupi, bila kusahau supplementation.
 
Maoni ya mleta mada ni conclusive pasipo kuwa na utafiti, inaonesha yeye ni mhanga wa kufanyabiashara bila kuomba ushauri wa wataalam wa sekta husika:

Angalia vidokezo kadhaa ambavyo amecoclude nje ukweli wa kutaalam:

1. Utagaji, uatamiaji na kuharibika kwa mayai:
Ili kupata mayaimengi yabidi kuku alishwe chakula cha kutosha, hapo kuku anaweza kutaga hata mayai 20 kwa round moja. Kama imterest ni kuuza mayai basi lazima utoe supplementation, kama interest ni vifaranga na mayai Mengi, kuku hunyanganywa vifaranga immediately baada ya kutotoa na ukifanya hivyo research zinaonesha kuwa after WK mbili anaweza kuanza kutaga round nyingine. Siyokweli kuwa mayai ya kienyeji huharibika haraka, kama wewe ni commercial dealer wa mayai unatakiwa kuyaokota immediately after being laid na kuyahifadhi kwenye ubaridi.
1. Uzito wa kuku:
Kama wewe ni commercial dealer wa Nyama unatakiwa kufanya line/breed selection kwani baadhi ya lines huwa na kuku wakubwa kwa muda mfupi, bila kusahau supplementation.

Umeeleweka GAMA, tunashukuru kwa ufafanuzi, ila concern ya mtoa mada sio juu ya mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji bali uko kwenye mbinu bora zaufugaji wa kibiashara. Tunapolenga ufugaji wa kibiashara ni muhimu kuachana na traditional technique za ufugaji bali kuadapt mbinu za kisasa Zaidi. kwenye swala la inbreeding au breeding selection iyo husaidia kupata ,begu nzuri Zaidi ya kuku, ila ikumbukwe breeding selections is not for every one, sio kila mtu anaweza kutengeneza mbegu bora ya kuku kwa kucross waliopo, na wakati mwengine breeding selection hutumia miaka kadhaa kupata mbegu bora. sasa why all that effort wakati kuna breeds nzuri tu zilizofanyiwa tafiti ziko sokoni tayari. kwanini mtu asifuge hao. Kwenye biashara muda nao ni Gharama.
 
Umeeleweka GAMA, tunashukuru kwa ufafanuzi, ila concern ya mtoa mada sio juu ya mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji bali uko kwenye mbinu bora zaufugaji wa kibiashara. Tunapolenga ufugaji wa kibiashara ni muhimu kuachana na traditional technique za ufugaji bali kuadapt mbinu za kisasa Zaidi. kwenye swala la inbreeding au breeding selection iyo husaidia kupata ,begu nzuri Zaidi ya kuku, ila ikumbukwe breeding selections is not for every one, sio kila mtu anaweza kutengeneza mbegu bora ya kuku kwa kucross waliopo, na wakati mwengine breeding selection hutumia miaka kadhaa kupata mbegu bora. sasa why all that effort wakati kuna breeds nzuri tu zilizofanyiwa tafiti ziko sokoni tayari. kwanini mtu asifuge hao. Kwenye biashara muda nao ni Gharama.
Ninaposema breed selection maana yake ni wewe kwenda kitaa kuchagua kuku wa kienyeji wakubwa,mf, kuchi, hii inachukua miaka mingapi?, hawa ukiwasupplement they are always big and heavier comparatively. My take: mleta mada ni copy cat na hajafanya consultation yoyote kwa wataalam, huu ni ugonjwa sugu kwa wajasiliamali wengi.

Addendum: hata kupeleka yai bovu sokoni kwa zama hizi ni aibu kwani kuna candling touch inayokuwezesha kujua kama yai ni bovu ama la, kauli ya mleta mada kuwa yai LA kienyeji (lililorutubishwa) huharibika haraka viz aviz lisilorutubishwa ni ulongo mtupu, the fact is yai lolote ukilitunza kwenye shelf temperature kama ya pwani huharibika haraka.
Kuhusu size ya kuku: kumbuka kuwa hata hawa kuku wa kisasa wanabodysize tofauti so is egg size na egg laying, kwa broiler for instance Ross ni wadogo kuliko arboacres, big dealers huchagua lines wa kufuga na siyo kujifugia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom