Ushuhuda hatari

Ushuhuda hatari

JOMI

Senior Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
144
Reaction score
118
Kuna mtu aliekwenda kanisani Jumapili akatoa ushuda kuwa alikuwa na ebola na Mungu akamponya. Alipomaliza akataka ampe 'mic' mtu anayefuata, jamaa akakataa.
Jamaa: Sina ushuhuda mpe pastor.
Pastor: Mimi sihusiki na shuhuda, mpe senior pastor.
Senior pastor: Ndugu katika kristo. Mic ni ya kwako. Ni zawadi kutoka kwa kanisa. Nenda nayo nyumbani.
 
Kuna mtu aliekwenda kanisani Jumapili akatoa ushuda kuwa alikuwa na ebola na Mungu akamponya. Alipomaliza akataka ampe 'mic' mtu anayefuata, jamaa akakataa.
Jamaa: Sina ushuhuda mpe pastor.
Pastor: Mimi sihusiki na shuhuda, mpe senior pastor.
Senior pastor: Ndugu katika kristo. Mic ni ya kwako. Ni zawadi kutoka kwa kanisa. Nenda nayo nyumbani.

Kwi kwiii sheedah
 
hahahahahah, asante kwa kunichekesha usiku huu
 
Kuna mtu aliekwenda kanisani Jumapili akatoa ushuda kuwa alikuwa na ebola na Mungu akamponya. Alipomaliza akataka ampe 'mic' mtu anayefuata, jamaa akakataa.
Jamaa: Sina ushuhuda mpe pastor.
Pastor: Mimi sihusiki na shuhuda, mpe senior pastor.
Senior pastor: Ndugu katika kristo. Mic ni ya kwako. Ni zawadi kutoka kwa kanisa. Nenda nayo nyumbani.

kwikwiiiiiii ....Chezea Ebola weye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom