House Wife, ndo maana mie naona urafiki wetu ni wa kiume. Mi nikikuona unapekua slip yangu kama staki ujue ntakuwasha kibao cha kishkaji mkononi nikuambie 'weeh acha uchawiii' na tuendelee kucheka. Lazma tukubaliane tunatoka familia tafauti, tumepitia makuzi tafauti na tuna mitizamo tafauti. Tena mtu mwinhine anaweza kuuliza unalipwa vizuri? Kama unataka utayaja salary, hutaki ukisema yah not so bad si kiutu uzima ushaelewa jamani?
Well, nikiri hawa ni very old friends. It seems ni kazi sana kuwa na new friends mnaoendana. Ila ukiishughulikia nafsi yako ikajua jinsi ya kukaa na watu mbona inakuwa easy tu. Unamjua flani ana wivu, unaweka mafanikio yako mbali. Unajua flani ni mchoyo, unaacha mkono wako mbali. Unajua flani mdaku, humuambia your dirty stories. Maisha very simple na matamu kwa siku chache hapa duniani