Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,663
- Thread starter
- #101
Jambo linalostua zaidi kwa mtazamo wangu ni kwamba,
Katika nchi zetu za kiafrika, mashoga walikuwepo tangu kale na jamii haikuwatenga na wala hawakuwa hatarini kimaisha. Nadhani wale waliokulia Dar miaka ya 80 hamtamsahau Aunty Mudy ambaye alikuwa maarufu sana Dar enzi hizo...
Kinachostua sasa ni kwamba, nchi za Magharibi zimeanza kushinikiza mataifa yetu kutambua haki za wapenzi wa jinsia moja kwa miongo kadhaa sasa. Najiuliza haya maslahi ya kuunga mkono tabia zinazopingana na maadili, utamaduni na mapokeo yetu ni ya nani? Kwa nini tulazimishwe kuishi kama watakavyo wao? Ni jambo gani Magharibi imewahi kukubali kutoka Afrika? Kwa nini Afrika ilazimishwe kukubali kila la kwao?
Maswali haya na mengine tunaweza kujibu na kupata mwelekeo mzuri kwa vizazi vyetu
Katika nchi zetu za kiafrika, mashoga walikuwepo tangu kale na jamii haikuwatenga na wala hawakuwa hatarini kimaisha. Nadhani wale waliokulia Dar miaka ya 80 hamtamsahau Aunty Mudy ambaye alikuwa maarufu sana Dar enzi hizo...
Kinachostua sasa ni kwamba, nchi za Magharibi zimeanza kushinikiza mataifa yetu kutambua haki za wapenzi wa jinsia moja kwa miongo kadhaa sasa. Najiuliza haya maslahi ya kuunga mkono tabia zinazopingana na maadili, utamaduni na mapokeo yetu ni ya nani? Kwa nini tulazimishwe kuishi kama watakavyo wao? Ni jambo gani Magharibi imewahi kukubali kutoka Afrika? Kwa nini Afrika ilazimishwe kukubali kila la kwao?
Maswali haya na mengine tunaweza kujibu na kupata mwelekeo mzuri kwa vizazi vyetu