USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

USHOGA nchini: Tuangaliane machoni sasa!

Jambo linalostua zaidi kwa mtazamo wangu ni kwamba,
Katika nchi zetu za kiafrika, mashoga walikuwepo tangu kale na jamii haikuwatenga na wala hawakuwa hatarini kimaisha. Nadhani wale waliokulia Dar miaka ya 80 hamtamsahau Aunty Mudy ambaye alikuwa maarufu sana Dar enzi hizo...

Kinachostua sasa ni kwamba, nchi za Magharibi zimeanza kushinikiza mataifa yetu kutambua haki za wapenzi wa jinsia moja kwa miongo kadhaa sasa. Najiuliza haya maslahi ya kuunga mkono tabia zinazopingana na maadili, utamaduni na mapokeo yetu ni ya nani? Kwa nini tulazimishwe kuishi kama watakavyo wao? Ni jambo gani Magharibi imewahi kukubali kutoka Afrika? Kwa nini Afrika ilazimishwe kukubali kila la kwao?

Maswali haya na mengine tunaweza kujibu na kupata mwelekeo mzuri kwa vizazi vyetu
 
je mna uhakika kuwa ikiwekwa adhabu kali ushoga utaisha au mnaweza tu kupoteza muda wenu!hebu fikirie vibaka au wezi wanapokamatwa wanauwawa mchana kweupe wanapigwa sana lakini kesho mwizi mwenzie aliyekuwepo kwenye eneo la tukio anaiba tena je kuna cha kujifunza hapo!kwani wauaji hawajui kuwa ukiua na wewe unauwawa!mbona kila siku wanaua_!!!!!!!!!je mashoga ndo watacha kwa kuogopa kifungo wakati mapenzi yenyewe yanafanywa kifichoni! watu wawili tu wanakuwa kifichoni na wanajua kuwa wakikutwa wote ni wahalifu je wataogopa kwa style hiiiiiii
1
 
Tumesikia na kuona hivi karibuni kwa jirani zetu Uganda. ambapo rais wa nchi hiyo akisaini kuidhinisha kuanza kutumika kwa sheria dhidi ya matendo ya ushoga nchini humo. Ikumbukwe kwamba adhabu kali zitawaandama ikiwemo vifungo vya maisha kwa wanaojiushisha na mapenzi ya jinsia moja. Ingawa sambamba na hilo, sheria hiyo imewabana wanawake ambao uvaaji wao unakiuka maadili kwa kuwawekea vifungu vya adhabu. Mwangwi wake umesikika dunia nzima ambapo tayari sasa nchi wahisani (wanavyopenda kujiita) wameanza kuondoa kitu kinachoitwa misaada kwa serikali ya Museveni. Waholanzi wamekenda mbali zaidi kwa kusema fedha walizoziondoa kwenye bajeti ya serikali watazielekeza kwenye taasisi zinazofanya kampeni za haki za binadamu (hasa hasa zinazotetea maslahi ya mapenzi ya jinsia moja).... Turudi hapa nchini kwetu. Ambapo kumesikika wanaharakati wakipambana na mawazo ya jamii kuhusiana uhalali na uharamu wa mapenzi ya jinsia moja. Tayari tangu kale yameshajitokeza mashirika ambayo yame. mashoga walikuepo lakini si ndoa za jinsia moja.
 
Nashindwa kuelewa kwanini mwanaume mmoja anakubali uboo wa mwanamme mwingine umingie kwenye utumbo wake mkubwa.
Ingawa, watu wakiamua kubanduana hyo kimpango wao, ili mradi wasifanyie hadharani. Wapigiane simu wajifiche chumbani kwao wabokoane wanavyotaka, lakini harufu ya kinyesi chao wasiilete mtaani kama wale madume changudoa/kakapoa wa mitaani.
 
Jambo linalostua zaidi kwa mtazamo wangu ni kwamba,
Katika nchi zetu za kiafrika, mashoga walikuwepo tangu kale na jamii haikuwatenga na wala hawakuwa hatarini kimaisha. Nadhani wale waliokulia Dar miaka ya 80 hamtamsahau Aunty Mudy ambaye alikuwa maarufu sana Dar enzi hizo...

Kinachostua sasa ni kwamba, nchi za Magharibi zimeanza kushinikiza mataifa yetu kutambua haki za wapenzi wa jinsia moja kwa miongo kadhaa sasa. Najiuliza haya maslahi ya kuunga mkono tabia zinazopingana na maadili, utamaduni na mapokeo yetu ni ya nani? Kwa nini tulazimishwe kuishi kama watakavyo wao? Ni jambo gani Magharibi imewahi kukubali kutoka Afrika? Kwa nini Afrika ilazimishwe kukubali kila la kwao?

Maswali haya na mengine tunaweza kujibu na kupata mwelekeo mzuri kwa vizazi vyetu

Wewe ms.enge uliyekiri kuwa na tabia iliyokubuhu ya "kurusha wanaume wenzako ukuta" nawe eti leo unatamka haya? Rudia posting yangu hapo juu, pamoja na ushahidi uliyodai. Shoga mkubwa na mnafiki usiye na aibu!
 
Nashindwa kuelewa kwanini mwanaume mmoja anakubali uboo wa mwanamme mwingine umingie kwenye utumbo wake mkubwa.
Ingawa, watu wakiamua kubanduana hyo kimpango wao, ili mradi wasifanyie hadharani. Wapigiane simu wajifiche chumbani kwao wabokoane wanavyotaka, lakini harufu ya kinyesi chao wasiilete mtaani kama wale madume changudoa/kakapoa wa mitaani.

Hili swali muulize muanzisha maada, maana naye ni shoga mfiraji Wanaume wenziye tena anayejisifia.
 
Kikwete kimyaaa lol

Hayuko kimya...nilimsikia kwenye hotuba juzi akiongelea wajumbe wa katiba wawe makini kuisoma, kuichambua na kuielewa hii rasimu ya katiba mpya.

Aliwaambia wasiangalie muundo wa serikali tu ziwe ngapi..alisema kuna mambo mengi na ya ajabu wasipo angalia vizuri itakuwa balaa.

Na ni ukweli rasimu mpya imetoa nafasi na vipaumbele vikubwa vya kuthamini haki za binadamu. Na ukitizama kwa mapana zaidi sheria hiyo ya kutetea haki za binadamu inaweza kuwa na loop hole ya kurasimisha ushoga. Tusubiri kuona wajumbe wa katiba kama watafumbia macho au watapinga huu ufirauni.
 
ole wao,...ole wao wautukuzao ushoga,..maana kitanz kitakua juu yao,..narudia tena ,ole wao,maana usenge hatutak,kwanza hata kuongelea inatia ki
nyaa,..aanze kugongwa bas huyo o...ma.
 
Ushoga ni ufedheha....mk.undu hautumiki kwa ajili ya kufilwa hiyo ni dhambi na Mungu amelaani kitendo hicho kwanini sisi binadamu tuhalalishe what is already banned? Use.nge ni moja ya sababu iliyofanya mpaka mwenyezi Mungu akatokomeza wale viumbe wa Sodoma na Gomorah, sie tunataka kumpiku Mungu na kuhalalisha kuf.ilwa au kulambana mik.undu, for what? Ni kweli hakuna any gene inayolink us.enge kuwa ni kitu cha kuzaliwa nacho. Usenge ni chaguo la mtu na linaweza kutibika at any time. Sasa turuhusu watu wafi.lane, where are we going?
 
Back
Top Bottom