Ushoga Makongo Sekondari

Ushoga Makongo Sekondari

Wachangiaji wengine hapa ni soo......yani waachwe wale raha zao....ha ha ha hii kali.
 
Nyie mnahaikia nn wakati mpaka kuna vyama vya siasa zenye mlengo wa kiliberali! Watoto wa watu wanawashwa huko nyuma,waache wakunaji wakune
 
watawachuzaje sasa?.au wataangalia kabang zao?,ni issue ngumu kwakweli,jitihada kubwa zinahitajika kunusulu kizazi na uigaji wa kila kitu ulaya.

Hata wakiamua kupima diameter ya kabang nahisi inaweza kutoa ufumbuzi. Kama diameter ya kawaida itakuwa inajulikana basi kila ongezeko la kipenyo = ushoga.
 
Kama wapo wapeni haki yao ni watu pia mbona mnawapinga lakini kila siku mnaenda kwao kujifunza teknolojia na kuomba omba pesa na wanawpa titles za Udocta mnakuja zao ?
 
wametumia tigo zao tatizo nini? haki za binadamu mnazifahamu? kwahiyo ukizaa mtoto shoga utamuua?
 
sio makongo tu jaman wazaz muwe makini mapopeleka watoto shule za boarding maana kuna uchafu wa kila aina mm ni mwalimu na niliwah kuwa patron nafaham hzo kesi zipo nyingi sana
 
'ile ni shule ya wenye vipaji kwa hiyo kila mtu na kipaji chake hata ku.fi.rwa pia ni kipaji coz wengine hawawezi na hawana kipaji hiko asee...'
Jamani acheki kutania ushoga, , sio kipaji ni hali ya kuzaliwa.
 
una mtoto wa kiume ndugu?kama huna naomba uteme mate chini na kama unaye em mpeleke mtoto wako akapate haki sawa ya kuwa mke wa mwanaume mwenzie afu uje utupe matokeo yake.
Haki sawa kwa wote,waacheni watu wapate mambo wanayoyataka
 
olewa basi na wewe au tayari ushaoa lidume lenzio na ndo maana unaunga mkono?hivi jamani hata Mungu hamumuogopi tena au mnaamini kabisa kuwa Mungu ni shetani?
aiseeeee babayangu naunga mkono hoja
 
Si wanajifanya 'waziri mkuu' wa nchi moja ya huko ulaya (ya kifalme) ambaye jina lake la ukoo lafanana na nchi moja ya Afrika magharibi.

Hahahaha!! Mkuu umezunguuuka kumtaja huyo Mliberali, hahaha, nimecheka sana aisee.
 
una mtoto wa kiume ndugu?kama huna naomba uteme mate chini na kama unaye em mpeleke mtoto wako akapate haki sawa ya kuwa mke wa mwanaume mwenzie afu uje utupe matokeo yake.

Hata kama anaye lakiki yeye mwenyewe ni mliberali haitapunguza wala kuongeza cho chote.
 
Hakika tuwe makini sana na watoto hasa wanapokuwa boarding, tufuatilie mienendo yao. Walimu peke yao HAITOSHI.
 
unajua huwa wanasema mkuki kwa nguruwe..........anaweza akawa mribelali lkn akijua mwanaye wa kiume analiberaliwa hapo ndo atakuja juu kifuu cha nazi nyuma ikibidi hata kuua,sasa dawa ya hao ni kuwatafutia mabasha yawaoe na wenyewe watoto wao wa kiume ili kutoka pasu pasu si wanaona kuwa hayo ni mazuri.
Hata kama anaye lakiki yeye mwenyewe ni mliberali haitapunguza wala kuongeza cho chote.
 
Back
Top Bottom