Ushoga Makongo Sekondari

Ushoga Makongo Sekondari

Wachangiaji wengine hapa ni soo......yani waachwe wale raha zao....ha ha ha hii kali.

Ndio kila mtu ana raha yake wengine pia raha zao kubaka kuku na hao muwaache wale raha zao

Regards,
Jonathan.
 
Nchi yetu ina maadui wawili wakubwa;
1.mateja
2.ushoga.

Vijana hawawezi kufanya kazi. Kijana.ameharibiwa na.ushoga hawezi hata kunyanyua kitu kizito hewa yote inatoka.

Zamani tulikuwa na maadui wakubwa watatu,ujinga,umaskini na maradhi.
 
Siku hizi hii tabia inakuwa sana afu na ndugu zangu wa kaskazini haswa kilimanjaro nako katabia haka kanashamiri sana sijui hizi mila wanaiga wapi?? Sio ajabu nyakati hizi kukuta mtoto wa kichaga sio rizki ama ndo m bahashiaji.
 
Siku hizi hii tabia inakuwa sana afu na ndugu zangu wa kaskazini haswa kilimanjaro nako katabia haka kanashamiri sana sijui hizi mila wanaiga wapi?? Sio ajabu nyakati hizi kukuta mtoto wa kichaga sio rizki ama ndo m bahashiaji.

Umefanya vizur research yako mkuu?

Mungu alinde vizaz vyetu maana ni zaid ya hatar
 
hahaha :smile-big:
.jpg
.jpg
 
Tena imekuwa kama desturi ya wanafunzi hao kushindana na kugombania mabwana
 
Hii ni hatari inalinyemelea taifa letu maana kama wameanza ushoga wakiwa huko sekondari je wakishakuwa watu wazima si ndo itakuwa balaa??? Mola tuepushie mbali balaa hili
 
hili jambo linahitaji ufuatiliaji wa kina maana hicho kijiwe kilichosemwa ni balaaa tupuuu hata wahusika wapo pia wanajua kinachoendea kwa vijana wa sasa si wa kiume wala kikee
 
Back
Top Bottom