Ushoga Makongo Sekondari

Ushoga Makongo Sekondari

kuna post moja hivi ya kitambo niliona kama unatetea hivi. dah kwahiyo umeolewa?
mungu aepushie mbali
 
Kuna uzi kule jukwaa la elimu kuwa baadhi ya wanafunzi pale makongo wanajihusisha na ushoga. Hii ni shule ya jeshi so inabid uchunguz ufanyike ili kugundua ukweli na wapewe adhabu kali kwani sheria inakataza.
 
watawachuzaje sasa?.au wataangalia kabang zao?,ni issue ngumu kwakweli,jitihada kubwa zinahitajika kunusulu kizazi na uigaji wa kila kitu ulaya.
 
Haki sawa kwa wote,waacheni watu wapate mambo wanayoyataka
 
Kufuatilia wale suspects then kuwapa adhabu kali kwani sheria zipo.
 
Kuna uzi kule jukwaa la elimu kuwa baadhi ya wanafunzi pale makongo wanajihusisha na ushoga. Hii ni shule ya jeshi so inabid uchunguz ufanyike ili kugundua ukweli na wapewe adhabu kali kwani sheria inakataza.

Yaani ndo umeishia hapo!?
 
Badala ya kuomba wasaidie kupunguza majambazi waliozidi kuharibu maisha ya watu, unasema mambo ya ngono kwani wamekuchukulia mtu au.

Kwa nchi hii huu muda wa kupoteza kufatilia watu na raha zao na uamuzi wao kweli ni sawa kwani wanakusumbueni nini wakifanya hayo? Embu waacheni na jeshi letu lifanye kusaidia wananchi tuwaowahitaji zaidi na tuwe na nchi salama zaidi as hawataweza kuzuia majanga yote.
 
Arooo! we mtoto! utadeki Nyambizi kwa leso we reta utani nyanyua mguu aroooo!
 
Back
Top Bottom