Sasa wewe unaona ajabu Kuwanga, Wakati kijijini kwenu umeacha kilingeSema kwako wewe ndio hakuna cha ajabu maana kila siku unawanga na wenzako
Hirizi ikipumua si inaondoa Uhai kabia?Kama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.
Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?
Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?
Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?
Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
Mambo ya Simba na Orlando yameshapita subiri jumamosi utalala na viatu.Sio tu ilijambo ni la kushangaza katika mashindano ya klabu bingwa ya Africa ngazi ya robo fainali Tena likiwa na Live coverage Bali linahitaji roho ya kichawi yenye uzoefu wa kiwango Cha juu sana.
Ikiwa Yale yamefanyika hadharani Sasa uko gizani uwa wanafanya Nini?
Maana ata timu zetu za ligi kuu apa Tanzania hazijawahi kufanya upuuzi huu.
Naunga mkono hojaKama siri ya Simba kwa Mkapa ipo kwenye mambo haya tunapaswa kuwaiga, tena sisi tulete wachawi kutoka Gambia kabisa.
Simba haijafika robo final mara tatu kwa sababu ya uwezo wa kucheza mpira, kama kitu kinaleta mafanikio kina ubaya gani?
Hivi kwanza kuna watu wanapenda ushirikina kuwazidi hao Wazulu?
Au hujui kazi ya Uganga wa kienyeji Sangoma ni bonge la dili South Africa?
Halafu utakuta watu kama wewe una chale mpaka matakoni na kiunoni una hirizi linapumuwa kabisa.
Ufiche nini wakati ni imani kama imani zingine... Au wewe unaficha msaafu ama QuranKuna mambo mengine mtu unaweza kuyapenda lakini inabidi uyafiche kidogo unapokuwa nje ya nchi.
Hao orlando pirates ni mechi ipi nje ya nchi yao wametambika uwanjani kama huo upuuzi waliofanya simba.
uje na facts, so stori
Mfa maji….Ni wakati sasa kwa TFF kutoa adhabu kali kwa hawa washirikina. Jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Yaani tunaonekana Watanzania ni watu wa juju! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
Unafanyaje ushirikina mbele ya makamera yote yale ukiwa nchi ya ugenini ?
Hiki kilichofanyik ni kinyume kabisa na mashabiki wanaowaombea misikitini na makanisani.
Off course tunajua Africa kuna mambo ya kihirikina lakini hata hayo mambo hufanyika kwa siri, inakuwaje nyie mfanye huu ushirikina hadharani,
alafu bila aibu mnasingizie ni "mindgame", hio mindgame gani inahusisha nguvu za giza ?
View attachment 2200002
Hadi pumbu zinachale na ndani kajaza matunguli anakuja huku kujifanya yeye ni Yesu au MohamedAu Ka chanjwa hadi pumbu!
Naunga mkono hona hizo ni ibada kama ibada zingineHakuna ushirikina,ni mila zetu nzuri za kiafrika,acheni kujidharau