Ushirikina katika ngono na Manii

Ushirikina katika ngono na Manii

Ni vigumu kwakuwa ni kitu cha siri ila mienendo yake katika jamii mtajua tu kuwa huyu sie
Kuna usemi wa kiswahili unasema mkataa wengi mchawi... Wachawi ni watu wa kujitenga hawana marafiki wengi na muda mwingi anapokuwa kwenye kundi la watu wengi hujistukia
Unawezakuwa mchawi bila kujijua?
 
Kivipi? Hebu fafanua japo kidogo mkuu.
Pengine ili ujijue/kumjua mtu unapaswa kuona nini, kujisikia vipi ama kukutwa na hali gani!

Thanx in advance
Kuna vitu utakuwa unafanya si vya kawaida au watu watakuwa wanakuambai na wewe hujijui
 
nmekuelewa mkuu mshana jr
hivi inakuaje hawa wanaotafuta watoto kwa kwenda kwa waganga baadhi yao hupata watoto wenye dosari
mfano kuwa na upande mmoja wa mwili mkubwa kuliko mwengine,unakuta mkono mmoja,shavu na mguu mmoja kuwa mkubwa kiasi sio sana .je,hawa watotot nao ni majini??
samahani swali langu linawezaonekana la kijinga
 
nmekuelewa mkuu mshana jr
hivi inakuaje hawa wanaotafuta watoto kwa kwenda kwa waganga baadhi yao hupata watoto wenye dosari
mfano kuwa na upande mmoja wa mwili mkubwa kuliko mwengine,unakuta mkono mmoja,shavu na mguu mmoja kuwa mkubwa kiasi sio sana .je,hawa watotot nao ni majini??
samahani swali langu linawezaonekana la kijinga
Kuna mada yake hili nikiipata takutag. . ni lazima wawe na kasoro kwakuwa ule si uumbaji wa Mungu... Nadhani ile mada inaitwa watoto wa kuzimu
 
Somo hili lingekua published au kutumwa kwenye groups za watsup zingepunguza waume zetu kuchepuka.
Ndo ushakua mwanga hivyo
Aisee kaka Mshana,Mimi ni mdau sana wa jamii forum ila ni mdau msomaji tu hasa
Post zako uwa nazitafuta kila cku nizisome but hii mada imenilazimu kuchangia,aisee hiyo issue naamini ni kweli kabisa nina mf wangu hapa chini;
-Kipindi wife wangu km miaka minne ilopita akiwa mjamzito ilitokea akanichukia ghafla kiasi cha kukosa huduma ile muhimu kwa muda mrefu kadhaa,(eti mimba ilinikataa)hali yangu ilikuwa mbaya sana kwangu nikaamua kutafuta mbadala nje ya uwanja(mchepuko),ebwanae yule mdada tulianza mambo km marafiki na mara zote nilijitahid kutumia kinga(kondom)pia alijua kabisa nina wife tena mjamzito.Nashangaa sk moja nikiwa cjielewi japo nilikuwa nimetia bia kadhaa tukiwa ktkt ya sex ile wadudu wanakuja akachomoa kondom na kufanya manii yazame kwake,sikuwa na jinsi(nadhan kila mtu anajua hali iliyopo ukiwa ktk harakati za kumwaga wazungu,huna maamuzi).Kitendo hicho kilinikera na hatukuendelea tena na mahusiano but baada ya km mwezi akanitumia ujumbe kuwa tayari ni mjamzito na kuanza kunipa masharti kuwa mimba ile ni yangu but nisahau kabisa km nshawah kumpa mimba na kamwe nisimwambie ndugu yangu yeyote.Sasa mtoto amezaliwa binti nikapata bahati kumwoona na hakika anafanana na wanangu home lakini mama hataki kabisa niwe na mazoea na mwanangu.Sasa cha ajabu mtoto anaishi na bibi yake wakati mama kaolewa na jamaa mwingine,kila nikiangalia tabia za huyu binti c za kawaida na nimejarbu nimnasue kutoka kwa bibi imekuwa ngumu nahsi km mwanangu anaweza kuwa target ya KISHIRIKINA kwan ht historia ya mama na bibi huyu naioona km haileweki!!Pamoja na kukazia Uzi wa Mshana naombeni pia ushauri wa kumwokoa mwanangu kwan hawataki nimsaidie kwa namna yoyote na 4yrs now.Naomba pia mniwie radhi wapendwa kwan Mimi si mwandishi mzuri ndo maana uwa napenda kusoma sana post zenu wapendwa

Mi naomba kuuliza kwa mfano nikilala siku nyingine nakuta kama nipo sehemu tofauti na nilipo lala au nakuta kama naelea Elea hivi nimejiuliza sana jibu nimeshindwa kupata Je tatizo litakuwa nini? mshana jr.
 
Kweli wanaume wajitahidi kulinda manii zao
Nilishawahi kusikia mahali limbwata la kukanyagia shahawa.Mwanamke akifanya hilo limbwata basi huyo aliefanyiwa atakua kama amekanyagiwa akili na mfanya limbwata
Hili ni kweli kabisa lipo na madhara yake ni makubwa mno
 
Mshana swali langu kwako
Ww ni mchawi ?
Ulianza lini ?
Unakusaidia nini ?
Hapana mimi sio mchawi hivyo haya maswali mengine yanayofuatia yanakuwa hayana majibu tena
 
Back
Top Bottom