Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,678
- 218,188
=====
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, leo amejumuika na wananchi kufanya usafi katika soko la Sido.
Katika zoezi hilo, Mh. Sugu pia amejumuika na baadhi ya wananchi, wengi wao wakiwa vijana, katika kupata kifungua kinywa.
Siku kadhaa zilizopita Sugu alieleza wazi kuwa chama chake cha Chadema kitashinda jimboni kwake katika uchaguzi mkuu ujao, hata bila ya Tume Huru ya Uchaguzi.