Kwa mujibu wa ushaidi na maelezo uliotolewa na upande wa mashtaka dhidi ya G Lema ninaamini kama judge atasimamia haki na sheria bila kuweka unazi basi Lema aka Jembe anashinda kesi hiyo
kwa bahati mbaya ameshindwa Jimbo la Arusha liko wazi. G. Lema usikate tamaa. tuko pamoja. Naungana na Kauli ya Nassari "Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.