Muulize Janeth taabu aliyopata na watoto wake dhidi ya mwanamke aitwaye Kabula.
Muulize Salma alivyokuwa anagombana na vimada wa mumewe na kwa nini yule mwimbaji aliyeimba "Wanawake na maendeleo" alipewa ubunge viti maalum na baadaye ndoa yake kuota mbawa?
Muulize Hadija kwa nini mumewe aliitwa "Shemeji" na wanafunzi.?