Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Fresh sana bro ila uliponiangusha ni hapo ulipokula sembe badala ya dona.
 
Atakwambia ugali hauna chumvi naongeza kidogo😳😳😳😳 ugali na chumvi wapi na wapi 😂😂😂😂😂

Hatari sana mkuu....
Wavulana wa kisasa hawawezi hizi show za kibabe aiseeee
 
Mie bila mlima wa ugali sishibi Mkuu. Nawashangaa sana wanaokula chips yai kama lunch/dinner.
Na hii ni moja ya sababu ya kushuka kwa vijana kwenye end of the day performance...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom