Nilivyosoma "nilivyopiga show ya kibabe" nikashtuka nikajua mambo ya Zero IQ.
Hongera mkuu umejitahidi sana ila nina mashaka kama hilo tembere umeweza kulichambua. Itakuwa umepika na kamba zake
Sema wanaume ni wasafi sana kwenye kupika japo sio wote.
Hongera sana mkuu, mimi najua kukaanga.mayai tu.
Asante kwa pongezi zako chief.Nilivyosoma "nilivyopiga show ya kibabe" nikashtuka nikajua mambo ya Zero IQ.
Hongera mkuu umejitahidi sana ila nina mashaka kama hilo tembere umeweza kulichambua. Itakuwa umepika na kamba zake
Sema wanaume ni wasafi sana kwenye kupika japo sio wote.


Mie siku nikiwa napika tembele sinaga muda wa kuchambua kwa kweli
Nakata kabisa hio sijui nini,napika majani yake tu
Usintanie chief, Ushirombo hatukulagi misosi laini kama huko Dar....hahaahaaaa....
Kwani anashindwa nini kujivisha pete kama ya ndoa ?Kumbe umeoa?
Naona Pete hapo
😂😂😂😂😂😂😂vitajuana na kuchambuana vyenyewe huko huko tumboni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ni beef iliyo chemchwa na ikaivya hadi ikaanza kama kujikaanga na mafuta yake yenyewe, kisha nikaiweka kwenye jokofu.
Hahahhahaha unakuwaga unakimbilia wapi?Mie siku nikiwa napika tembele sinaga muda wa kuchambua kwa kweli
Nakata kabisa hio sijui nini,napika majani yake tu


Next time nikaribishe.Asante kwa pongezi zako chief.
I wish ningekukaribisha, lakini ndio hivyo nimebonyeza ndonga yote hadi vyombo nikaosha kibabe....teh![]()
Hahaaahaaaaaa.......Yaani nimeona mguu wa Achieng exactly kweli duniani wawili wawili .........
Unaendeleza fani,Hongera kwa upishi ukipika tena nikaribishe....View attachment 1152667


Hahahhahaha unakuwaga unakimbilia wapi?
Raha ya tembere miti yake![]()