Ushawahi pitia kama hii single father?

Ushawahi pitia kama hii single father?

Kimkakati sana hili bandiko.

Ila sijaona ni wakati gani unafuatilia maendeleo yake Mkuu, kama mzunguko wa maisha yenu upo hiv ulivyoelezea huyo binti yupo kwenye mazingira hatarishi sana tofauti na vile unavyoweza kufikiri.

Huyo binti muda wowote anaweza kuwa mhanga wa ukatili na wala wewe usifahamu/kujua au ukaja kujua ikiwa ushachelewa.

Mtengenezee mazingira rafiki kwa umri wake Mkuu. Usimpore utoto wake ili tu wewe uweze kuishi kwa amani, kuna hatua muhimu sana hasa ikizingatiwa huyo ni mtoto wa kike. Anahitaji kuandaliwa vyema aje kuwa mama wa wanawe pia.

Ni ngumu kwa wengi kuelewa hili swala.
Ni kweli usemayo ni heri aoe au amuweke katika mazingira ambayo ni ya kifamilia itamsaidia vyenginevyo anamkomaza akiwa mdogo sana, kuna mawili yatatokea, ama mazingira yatamjenga aweze kujitegemea au atakuwa muhanga wa majangili ya jamii inayomzunguka. Elewa neno MAJANGILI.
 
Brother hauna mzazi yoyote ambaye yuko hai ?
Kama bibi yake yuko hai jaribu kumpeleka akapate maradhi mazuri, huyo mtoto una mduhurumu vitu vya msingi baadae atakuja kukulahumu huyo 🥹
Maradhi mazuri ni yepi tena mkuu hivi kuna maradhi mazuri na mabaya, labda kwa kujaribu kukisia maradhi mazuri ni nyege tu maana hakuna dawa tamu kama dawa ya kutibu nyege
 
Naona kama inakuja mara inakata, ukipenda boga penda na ua Lake, hakuna mtoto mwenye tabia mbaya, mtoto hujifunza tabia kwa watu waliomzunguka.
hasa baba ake anaeishi nae
shida ni mtoto kuwa kipaumbele sana mpaka akajua hapo ndo tabu ipo
 
Maradhi mazuri ni yepi tena mkuu hivi kuna maradhi mazuri na mabaya, labda kwa kujaribu kukisia maradhi mazuri ni nyege tu maana hakuna dawa tamu kama dawa ya kutibu nyege
Huyu alimaanisha malezi mazuli,
 
Shida sio kujua mtoto ndio kipaumbele,
swali langu huyu mtoto awe wetu mm na ww alafu itokee awe tabia yeyote mbaya je utaondoka nyumbani. Utashauli nimfukuze mtoto wa miaka 8 jaribu we kuwa mm kwanza ,
nimejaribu kujibu naona maelezo marefu mana mjadala mpana
 
Mtafutie mfanyakazi, huku ukijipanga taratibu katika kupata mke sahihi
 
Kimkakati sana hili bandiko.

Ila sijaona ni wakati gani unafuatilia maendeleo yake Mkuu, kama mzunguko wa maisha yenu upo hiv ulivyoelezea huyo binti yupo kwenye mazingira hatarishi sana tofauti na vile unavyoweza kufikiri.

Huyo binti muda wowote anaweza kuwa mhanga wa ukatili na wala wewe usifahamu/kujua au ukaja kujua ikiwa ushachelewa.

Mtengenezee mazingira rafiki kwa umri wake Mkuu. Usimpore utoto wake ili tu wewe uweze kuishi kwa amani, kuna hatua muhimu sana hasa ikizingatiwa huyo ni mtoto wa kike. Anahitaji kuandaliwa vyema aje kuwa mama wa wanawe pia.

Ni ngumu kwa wengi kuelewa hili swala.
Kama mama yake mzazi Yuko hai ni Bora ampeleke akaishi naye.
 
Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo Dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo Mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??
Duh
 
Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo Dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo Mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??

Mama wa mtoto yuko okay na maisha anayoishi binti ake? Weka basi hata binti wa kazi,
 
Kijana wa miaka 7 naishi nae geto mwaka wa pilii huu .
Nataman kuwekaa picha hapa ninazopiga naye Kila cku tukiwa zetu geto ,tukipika,tukifua,tukiangalia mpira yaan n full burudanii,,

Changamoto niliyonayo n yy ajuagi muda maalumu wa kusomaa anaweza shtuka usingizi saa Saba usiku akawasha taa akaanza kusomaa vitabu vyake mpk achoke ,ss mm akishawasha taa tu usingizi kwisha NAMI kumkataza kutokusoma nashindwa najisemeaga labda akisomaa muda huu ndio anaelewa zaidii

Kiukwel n msela wangu ,n rfk pia n mshikaji...
Ni mwanao au?
 
Brother hauna mzazi yoyote ambaye yuko hai ?
Kama bibi yake yuko hai jaribu kumpeleka akapate maradhi mazuri, huyo mtoto una mduhurumu vitu vya msingi baadae atakuja kukulahumu huyo 🥹
Atamlaumu nn? Yaan baba ashindwe kumpa malezi binti yake, afu babu au bibi ndo awezee??
 
Kimkakati sana hili bandiko.

Ila sijaona ni wakati gani unafuatilia maendeleo yake Mkuu, kama mzunguko wa maisha yenu upo hiv ulivyoelezea huyo binti yupo kwenye mazingira hatarishi sana tofauti na vile unavyoweza kufikiri.

Huyo binti muda wowote anaweza kuwa mhanga wa ukatili na wala wewe usifahamu/kujua au ukaja kujua ikiwa ushachelewa.

Mtengenezee mazingira rafiki kwa umri wake Mkuu. Usimpore utoto wake ili tu wewe uweze kuishi kwa amani, kuna hatua muhimu sana hasa ikizingatiwa huyo ni mtoto wa kike. Anahitaji kuandaliwa vyema aje kuwa mama wa wanawe pia.

Ni ngumu kwa wengi kuelewa hili swala.
Nakazia hii.
 
Mazingira hatarishi sana hayo kwa mtoto wa kike. Nashauri fanya mchakato wa kumpata mtu atakae kua anamfatilia mtoto, eidha uoe ama umepeleke mtoto akakulie kwa babu/bibi yake huko atakua salama zaidi kuliko hapo kwako. Hapo n rahisi sana kupatwa na mambo ya ubakaji etc
 
Unaandaa barmsid mtarajiwa,peleka mtoto akaishi kwa bibi yake acha ujinga
 
Mpende mwanao halafu kuwa na huruma nae.

Mtoto wa miaka nane aamke mwenyewe bila kuamshwa afanye usafi, akaoge anywe chai, avae alafu aende shule?

Unalea mtoto wa kike kama unalea muhuni mwenzako?
Dada zako walilelewa hivyo?

Unamtesa huyo mtoto ni vile yeye hajui na bahati mbaya Baba yake ni mjuaji.

Tafuta mfanyakazi wa kumuangalia huyu mtoto baadae usije fungua uzi wa kulalamika hapa.

Mtoto wa miaka 8 hajui anahitaji nini kwenye maisha yake, usisubiri madhara ndo akili irudi.

Daaah bob umenisikitisha sana, unavyomfanyia huyo mtoto sio vizuri kabisa.

TAFUTA MWANAMKE WA KUMUANGALIA HUYO MTOTO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom