Ushawahi pitia kama hii single father?

Ushawahi pitia kama hii single father?

Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??
Huyo mwanao ana tabia gani mbaya?
 
Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??
Ni ngumu kwa sana kwa mama wa kambo kumpenda mtoto asiye wake. Hii kitu sikia tu kwa wengine. Tena mbaya zaidi ukute huyo mama wa kufikia hana mtoto. Naanza kukuelewa mkuu. Story saingine ikiwa nusu ni rahisi mtu kuhukumu
 
Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??
Duh mbona una changamoto mkuu tatzo ni nini adi inakuwa hiv? Huyo mkeo wa pili ujazaa nae ?
 
Mama yake yupo hai lkn hana makazi maalum, mama yake tulitengana miaka mingi iliopita binti akiwa mdogo baadae nikaja owa mwanamke mwingine, kutoka na maisha alikuwa anaishi kwa mama yake ilibidi nimchukue dogo nikae nae, baada kama miaka 4 ya kuishi mke niliekuwa nae amesema eidha aondoke yeye au mtoto arudi kwa mama yake,

Mama yake ni muhangaikaji leo yupo dar anaweza kaa miezi miwili kesho ukasikia yupo mbeya ,

Kiukweli mm nimekataa kumtoa mtoto ili nibaki na mwanamke kupitia hili mwanamke akaamua arudi kwao nimebaki na mtoto , kama ww unafanyaje??

Brother hauna mzazi yoyote ambaye yuko hai ?
Kama bibi yake yuko hai jaribu kumpeleka akapate maradhi mazuri, huyo mtoto una mduhurumu vitu vya msingi baadae atakuja kukulahumu huyo 🥹
 
Unafikili mtoto wa miaka 8 tena bint atakuwa na tabia mbaya ambayo ww mzazi mwenye miaka 30 na kuendelea kushindwa kuirekebisha?? Waza hili kwanza.
Nimewaza kwa mapana: iwaje mama wa kambo afikie kukuchagulisha kati yake na mtoto

Usikute mtoto ndo wale dady's princess kama ndo hivo hata mimi mama wa kujitolea ntashindwa! mana mi ndo nataka mtoto anyooke kama rula usafi ndo usafi mtoto aweza ona yuko jehanam
 
Kimkakati sana hili bandiko.

Ila sijaona ni wakati gani unafuatilia maendeleo yake Mkuu, kama mzunguko wa maisha yenu upo hiv ulivyoelezea huyo binti yupo kwenye mazingira hatarishi sana tofauti na vile unavyoweza kufikiri.

Huyo binti muda wowote anaweza kuwa mhanga wa ukatili na wala wewe usifahamu/kujua au ukaja kujua ikiwa ushachelewa.

Mtengenezee mazingira rafiki kwa umri wake Mkuu. Usimpore utoto wake ili tu wewe uweze kuishi kwa amani, kuna hatua muhimu sana hasa ikizingatiwa huyo ni mtoto wa kike. Anahitaji kuandaliwa vyema aje kuwa mama wa wanawe pia.

Ni ngumu kwa wengi kuelewa hili swala.
Konk ujumb mzuri
 
Kimkakati sana hili bandiko.

Ila sijaona ni wakati gani unafuatilia maendeleo yake Mkuu, kama mzunguko wa maisha yenu upo hiv ulivyoelezea huyo binti yupo kwenye mazingira hatarishi sana tofauti na vile unavyoweza kufikiri.

Huyo binti muda wowote anaweza kuwa mhanga wa ukatili na wala wewe usifahamu/kujua au ukaja kujua ikiwa ushachelewa.

Mtengenezee mazingira rafiki kwa umri wake Mkuu. Usimpore utoto wake ili tu wewe uweze kuishi kwa amani, kuna hatua muhimu sana hasa ikizingatiwa huyo ni mtoto wa kike. Anahitaji kuandaliwa vyema aje kuwa mama wa wanawe pia.

Ni ngumu kwa wengi kuelewa hili swala.
Konk ujumb mzuri
 
Mkuu huna ndugu kama mama yako, dada yako au ndugu yeyote wa kike anayeweza kukaa na mtoto wako huyo na wewe ukawa unapeleka mahitaji yake huko?
 
nimewaza kwa mapana: iwaje mama wa kambo afikie kukuchagulisha kati yake na mtoto

usikute mtoto ndo wale dady's princess kama ndo hivo hata mimi mama wa kujitolea ntashindwa! mana mi ndo nataka mtoto anyooke kama rula usafi ndo usafi mtoto aweza ona yuko jehanam
uoneshe upendo mkubwa kana kwamba umemzaa wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom