Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Habari JF,
Ningependa kujua subjective experiences zenu kuhusu kichaa.
Ushawahi kuumwa kichaa? Ushawahi kukumbana na kichaa? Ulijuaje huyu ni kichaa? Wewe au familia yenu mshawahi kuwa na kichaa? Mlienda wapi kutafuta msaada? Hospitalini? Kanisani? Kwa Mganga?
Alipona? Alipona kabisa, au alirudia kuumwa?
Nini mtazamo wako kifanyike kusaidia vichaa na familia zao, at Individual level, family support and at national level?
I know its a taboo subject, ila ningependa kuona uzoefu wenu. LETS TALK ABOUT IT hapa, tuko anonymous usiogope, kama vipi njoo na ID yako afu utiririke. 😂 😂
Ningependa kujua subjective experiences zenu kuhusu kichaa.
Ushawahi kuumwa kichaa? Ushawahi kukumbana na kichaa? Ulijuaje huyu ni kichaa? Wewe au familia yenu mshawahi kuwa na kichaa? Mlienda wapi kutafuta msaada? Hospitalini? Kanisani? Kwa Mganga?
Alipona? Alipona kabisa, au alirudia kuumwa?
Nini mtazamo wako kifanyike kusaidia vichaa na familia zao, at Individual level, family support and at national level?
I know its a taboo subject, ila ningependa kuona uzoefu wenu. LETS TALK ABOUT IT hapa, tuko anonymous usiogope, kama vipi njoo na ID yako afu utiririke. 😂 😂