Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2016, kuna binti nilijikuta naanzisha mahusiano na yeye lakini nilikuwa sina malengo nae ya ndoa ila yeye alikuwa na malengo na mimi ya ndoa, alikuwa anapigania sana nimuoe.
Ila mahusiano yetu hayakudumu binti aliniacha kwa sababu alikuwa anaona simtunzi, simpi hela, simjali lakini pia kuna hela ya mtaji niimpromisi nitampa ila sikumpa basi aliamua kuniacha kisa mimi mbahili.
Ila mahusiano yetu hayakudumu binti aliniacha kwa sababu alikuwa anaona simtunzi, simpi hela, simjali lakini pia kuna hela ya mtaji niimpromisi nitampa ila sikumpa basi aliamua kuniacha kisa mimi mbahili.