Heri ya x mass wakuu.
Mimi nilikuwa na mpenzi maeneo ya Kigogo Dar,lakini kutokana na umbali na mawasiliano mabovu [yeye ndiye aliyenionyesha kutokuwa interested na kuwasiliana na mimi maana nilimpigia sana simu lakini hata msg hakuandika]niliacha kuwasiliana naye miezi kadhaa iliyopita.
Nina uhakika hali yake kiuchumi si nzuri.Kutokana na mafuriko kutokea Dar nina wasiwasi huenda amepata shida,
Ninafikiria kuwasiliana naye tena na bila shaka itanitoka pesa.Je,wakuu hili halitanifanya kuenedelea kuumia zaidi?
Nimsaidie au nimwache aendelee kutaabika?
Plz nishaurini nipo njiapanda
Huo msaada c upelekee watoto yatima mkuu?
Mbali ya wapi,mkoa au nchi,kaka? Kama upo dar popote pale si mbali na kigogo,HILO MOJA.pili unaishi kwa hisia? kwa nini uhisi amepigika wakati mwenyewe ulishasema kuwa hajibu wala kupokea simu.Kama amelipata lijamaa liko fresh,si unajua watoto wa dar! Tatu,nashauri cheki naye sijui kwa njia gani,mana umesema simu hapokei wala sms hajibu au tumia jamaa yako wa karibu kujua anaendeleaje au tia timu mwenyewe maskani kwake kwani najua ni msimu wa likizo huu.Asante!Heri ya x mass wakuu.
Mimi nilikuwa na mpenzi maeneo ya Kigogo Dar,lakini kutokana na umbali na mawasiliano mabovu [yeye ndiye aliyenionyesha kutokuwa interested na kuwasiliana na mimi maana nilimpigia sana simu lakini hata msg hakuandika]niliacha kuwasiliana naye miezi kadhaa iliyopita.
Nina uhakika hali yake kiuchumi si nzuri.Kutokana na mafuriko kutokea Dar nina wasiwasi huenda amepata shida,
Ninafikiria kuwasiliana naye tena na bila shaka itanitoka pesa.Je,wakuu hili halitanifanya kuenedelea kuumia zaidi?
Nimsaidie au nimwache aendelee kutaabika?
Plz nishaurini nipo njiapanda
Heri ya x mass wakuu.
Mimi nilikuwa na mpenzi maeneo ya Kigogo Dar,lakini kutokana na umbali na mawasiliano mabovu [yeye ndiye aliyenionyesha kutokuwa interested na kuwasiliana na mimi maana nilimpigia sana simu lakini hata msg hakuandika]niliacha kuwasiliana naye miezi kadhaa iliyopita.
Nina uhakika hali yake kiuchumi si nzuri.Kutokana na mafuriko kutokea Dar nina wasiwasi huenda amepata shida,
Ninafikiria kuwasiliana naye tena na bila shaka itanitoka pesa.Je,wakuu hili halitanifanya kuenedelea kuumia zaidi?
Nimsaidie au nimwache aendelee kutaabika?
Plz nishaurini nipo njiapanda
Sina mazoea ya kisasi ,Hatukugombana isipokuwa nilihisi najipenedekeza nikapotea tu.
Heri ya x mass wakuu.
Mimi nilikuwa na mpenzi maeneo ya Kigogo Dar,lakini kutokana na umbali na mawasiliano mabovu [yeye ndiye aliyenionyesha kutokuwa interested na kuwasiliana na mimi maana nilimpigia sana simu lakini hata msg hakuandika]niliacha kuwasiliana naye miezi kadhaa iliyopita.
Nina uhakika hali yake kiuchumi si nzuri.Kutokana na mafuriko kutokea Dar nina wasiwasi huenda amepata shida,
Ninafikiria kuwasiliana naye tena na bila shaka itanitoka pesa.Je,wakuu hili halitanifanya kuenedelea kuumia zaidi?
Nimsaidie au nimwache aendelee kutaabika?
Plz nishaurini nipo njiapanda
Mbali ya wapi,mkoa au nchi,kaka? Kama upo dar popote pale si mbali na kigogo,HILO MOJA.pili unaishi kwa hisia? kwa nini uhisi amepigika wakati mwenyewe ulishasema kuwa hajibu wala kupokea simu.Kama amelipata lijamaa liko fresh,si unajua watoto wa dar! Tatu,nashauri cheki naye sijui kwa njia gani,mana umesema simu hapokei wala sms hajibu au tumia jamaa yako wa karibu kujua anaendeleaje au tia timu mwenyewe maskani kwake kwani najua ni msimu wa likizo huu.Asante!