Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 697
Nenda kasomeee "ukamataji wa dhahabu" inalipa sanaHabari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.
Cheti changu kipo kama ifuatavyo.
MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C
Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.
Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.
Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.
Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?
Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kasomeee "ukamataji wa dhahabu" inalipa sana
Daah mkuu unaweza kufunguka kwamba kuna hasara gani za kusoma vyuo private dhidi ya serilali?Nimefikiria kwa muda,,nikaona upon serious,, binafsi nakushauri kasome kitu unachokipenda hata kama utaanza level ya certificate naamin utajituma zaidi kuliko kusoma course kwa kufata mkumbo Fulani kasema.... Na kama ni kozi za afya kwanza fahamu umepoteza nafasi ya kusoma vyuo vya serikali hivyo private zitakuhusu,,na courses nyingi wanahitaji uwe umesoma PHYSICS,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasomewa vipi dada anguNakushauri usomee utajiri tuu!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kilimo wao wana sifa zipi mkuu wanazohitajia.Kama unauwezo wa kufanya biashara komaa tu na biashara ila shule haina muda maalum wa kusoma ila kutafuta kuna umri ukifika ndio bas tena , ila kama huwez biashara kasome mambo ya kilimo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu napiga kazi sehemu hvyo nataka nipate sehemu ya kusoma ambayo itanipa mda wa kwenda kibaruani kwa sababu nataka nifanye kibarua na masomo.Mkuu nenda Kasome Veta kapige Driving kisha nenda NIT baada mda mfupi tu utakuwa mbali usijichoshe kwenda five six utapoteza hela tu na mda
Au kapige Veta mambo ya Electricity Installation uunge nayo mpaka chuo
Somea Ujuzi usijisumbue kutafuta Credit au kuendelea na 5&6 utajuta baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi zinazotrendHabari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.
Cheti changu kipo kama ifuatavyo.
MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C
Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.
Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.
Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.
Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?
Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwa STEM, yaani science, Technology, Economics and MathematicsHabari.mimi ni kijana wa kawaida nimemaliza form 4 miaka zaidi ya 7 huko nyuma,nimetanua weeee mtaani,ila sasa nimeona nijiendeleze kielimu lakini watu walionizunguka naona hawafiti kunishauri ndyo maana nimeona nije hapa.
Cheti changu kipo kama ifuatavyo.
MATH-F
HISTORY-D
ENGLISH-D
KISW-C
BIOS-C
CHEMIS-D
CIVICS-D
GEOG-C
Sasa hapa nilitaka nikasome afya lakini jamaa wananismbia nina mkia wa hesabu siwezi kuendele,wakuu nishaurini nikaongeze elimu,kwa kada ipi wakuu elimu muhimu japo sio lazima,mimi nimeona ni muhimu nikasome.
Nilikuwa nasoma dini ili watu kama kina kiranga na wana falsafa wengine wasiniyumbishe mana ukienda mtupu huko vyuoni mara unarudi kama kiranga,sasa nipo fiti nataka kusoma elimu dunis wakuu.
Ushauri wenu wadau mbali mbali humu akiwemo mams yangu mpeeeeeenzi FaizaFoxy na wengineo.
Na vipi suala la kurudia form four tenaa likoje,taratibu faida na hasara zake?
Asanteni nategemea majibu kutoka kwenu wasomi mbali mbali wa humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah unajus mkuu ushauri wako ni mzuri sana.Kuna kitu kinaitwa STEM, yaani science, Technology, Economics and Mathematics
Hizi ndizo highly paying fields katika dunia!
Kama unataka kusoma ili uje uajiriwe, basi gusa mojawapo hapo!
Kuna hawa jamaa wanaitwa IT people, wako poa sana na wanahitajika sana dunia ya kwanza, anza kuwafuatilia nao uone kama utaendana nao!
All in all, biashara inalipa sana!
Kasome certificate ya commerce and book keeping hapo cbe kisha rudi mtaani endelea kupiga biashara kielimu zaidi.
*changanya na zako*
Wewe mkuu acha maskhara ,Pambana na Majukumu yako tuu mkuu
Maisha ni mafupi kurudi shule Umri umeshakutupa mkono mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app