Malimi Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,243
- 2,666
Heri ya mwaka mpya wakuu. Naenda moja kwa moja kwenye mada.
Hii ni baada ya harakati za hapa pale za kusoma kwa kuungaunga hatimaye nimepata vigezo vya kujiunga na digrii.
Na digrii yangu nitasoma facult ya elimu hilo sina namna nalo, nalazimika kusoma kitivo hicho kwa sababu mbalimbali ambazo sitazitaja hapa.
Ushauri naohitaji kutoka kwenu ni course gani nisomee ambayo kwa sasa ina manufaa maana sina uzoefu wa mambo haya.
Ikumbukwe sisomi kutafuta ajira ila nasoma kupanua maarifa na pia nijiongezee kipato kupitia elimu.
Nitaheshimu sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Hii ni baada ya harakati za hapa pale za kusoma kwa kuungaunga hatimaye nimepata vigezo vya kujiunga na digrii.
Na digrii yangu nitasoma facult ya elimu hilo sina namna nalo, nalazimika kusoma kitivo hicho kwa sababu mbalimbali ambazo sitazitaja hapa.
Ushauri naohitaji kutoka kwenu ni course gani nisomee ambayo kwa sasa ina manufaa maana sina uzoefu wa mambo haya.
Ikumbukwe sisomi kutafuta ajira ila nasoma kupanua maarifa na pia nijiongezee kipato kupitia elimu.
Nitaheshimu sana ushauri wenu wakuu.
Ahsanteni.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app