Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

Onana na mume wa huyo dada kisha muombe ushauri katika hili.
 
Timiza ahadi mkuu, kumbuka ulianza kuoa wewe ukamuumiza sana pamoja nae kuolewa na tu mwingine ni kukosa options ndo akaamua kuolewa.. Lakini kwakua uliahidi timiza ahadi yako na huo ndo uanaume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom