Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.

Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.

Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.

UGUMU UNAANZIA HAPA.

Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).

Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.

NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
Kati ya vitu ambavyo tutaenda kuulizwa na Allah Subhannah ni ahadi zetu!Muumin wa kweli anaweza kuzini,muumin wa kweli anaweza kusengenya,na mapugufu yote yaliyo na mtu ambaye sio muumin,ila muumin wa kweli hawez kua mnafik,mnafika ni nani?ana alama 3.Ya kwanza akizungumza huzungumz uwongo(wakenya Urongo).Ya pili akiweka ahadi hatimizi(ni uwongo ule ule).Ya tatu,akiaminiwa hufanya hiana!(uwongo ule ule)sasa ndugu yangu niambie ww sio mnafiki?Umetimiza ahad?ndio umezini hayo ni mapungufu,lakini muumin wa kweli hawi mnafik!
 
Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.

Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.

Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.

UGUMU UNAANZIA HAPA.

Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).

Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.

NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
sasa unahis M2 ni nyingi mpaka ashindwe kuweka au umebadili mawazo kumpa,wewe mpe cash usitume tigo pesa wala kokote kutakako onyesha mahusiano na mwambie asikufate tena...
 
ukiona mpaka umekuja uku ujue huna hela ya kumfungulia saloon yani ungekuwa nazo ungetoa hela tu kazi kwishaaaaa
 
Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.

Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.

Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.

UGUMU UNAANZIA HAPA.

Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).

Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.

NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
Promise does not mean delivery. . .. Hiyo saloon si bora umfungulie hata dadaako.
 
1- Wewe ndie unamuendekeza.
2- Unaonekana hauna msimamo.
3- Unaonekana hauwezi kusimamia kile unacho kiamua.
4- Kuna dalili za kwamba bado unampenda huyo mchepuko wako/mke wa mtu.

Hili halihitaji kushauriwa ikiwa wewe mwenyewe bado hauna utayari wa kusimamia kile unacho kitaka
Tena mwambie kabisa mke wa mtu ni sumuuuuu
 
Nkuulze swal moja tu... Alkuomba au ulsema mwenyewe na baada ya kusema hvo kama kwel ulkua na nia ya dhat ungemfungulia afu ukamwambia muishie hapo.... Na kama ulsema hvo meaning ulkua na nia ya dhat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom