Sijakutupa ndugu yangu tatizo sioni hata kamchango kako pande hizi.Nipo mkuu !
Sema wewe umenitupa sana...!
Pita na kule makapuku utupe hi
Kati ya vitu ambavyo tutaenda kuulizwa na Allah Subhannah ni ahadi zetu!Muumin wa kweli anaweza kuzini,muumin wa kweli anaweza kusengenya,na mapugufu yote yaliyo na mtu ambaye sio muumin,ila muumin wa kweli hawez kua mnafik,mnafika ni nani?ana alama 3.Ya kwanza akizungumza huzungumz uwongo(wakenya Urongo).Ya pili akiweka ahadi hatimizi(ni uwongo ule ule).Ya tatu,akiaminiwa hufanya hiana!(uwongo ule ule)sasa ndugu yangu niambie ww sio mnafiki?Umetimiza ahad?ndio umezini hayo ni mapungufu,lakini muumin wa kweli hawi mnafik!Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.
Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.
Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.
UGUMU UNAANZIA HAPA.
Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).
Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.
NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
Inatokeaga tuDah miaka 4 yoote alikuwa plan B yako?
Nyie viumbe hamnaga aibu kweli.
Huku nakuja mara moja moja mkuu..! Ili nisiwatengee...Sijakutupa ndugu yangu tatizo sioni hata kamchango kako pande hizi.
Usijali ntapita


sasa unahis M2 ni nyingi mpaka ashindwe kuweka au umebadili mawazo kumpa,wewe mpe cash usitume tigo pesa wala kokote kutakako onyesha mahusiano na mwambie asikufate tena...Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.
Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.
Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.
UGUMU UNAANZIA HAPA.
Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).
Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.
NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia
Hahaaa! Hachelewi punde atapita pande hizi.Oooh!
Emmyta..
Nitafutie sakayo basi
Promise does not mean delivery. . .. Hiyo saloon si bora umfungulie hata dadaako.Habari zenu wana wa MMU!!! Kwa heshima kubwa, naombeni msaada wa mawazo.
Mimi ni mume wa mtu. Ila kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi ambaye nilidumu nae kwa takribani miaka 4, lakini bahati haikuwa yetu, hatukuweza kuoana.
Nilipomueleza kuwa naoa mwanamke mwingine, aliumia sana na alilia sana. Katika kupooza, nilimpa ahadi kuwa sitamuacha hivi hivi. Nikamwambia achague, nimfanyie nini? Yeye akachagua, nimfungulie saluni ya kike, na baada ya kufanya quotation tukabaini kuwa shilingi milioni 2 zingetosha. Mimi kiasi hicho cha pesa, ninakimudu.
UGUMU UNAANZIA HAPA.
Huyu dada (mpenzi wa zamani), alipata mwanaume akaolewa kwa ndoa kabisa. Baada ya ndoa yake, amekuwa akinipigia mara kwa mara, na mara zote anaulizia ahadi yangu kwake (kumfungulia saluni).
Kila nikimueleza kuwa, wewe sasa ni mke wa mtu nitakufunguliaje saluni? Hanielewi. Na amekuwa akinifuata, hadi kazini kwangu.
NIFANYAJE? Ni kweli niliahidi, na nilikuwa na nia hiyo. Ila, kwa sasa ni mke wa mtu. Ni hatari kwa mustakabali wa maisha ya ndoa yake na kwangu pia


Tena mwambie kabisa mke wa mtu ni sumuuuuu1- Wewe ndie unamuendekeza.
2- Unaonekana hauna msimamo.
3- Unaonekana hauwezi kusimamia kile unacho kiamua.
4- Kuna dalili za kwamba bado unampenda huyo mchepuko wako/mke wa mtu.
Hili halihitaji kushauriwa ikiwa wewe mwenyewe bado hauna utayari wa kusimamia kile unacho kitaka

nitampa ndio si alikua mpnz wanguVaa uhusika wa huyo mwanaume..!
With free mind kabisa niambia utatoa 2m umpe mke wa mtu..?
![]()
Huku nakuja mara moja moja mkuu..! Ili nisiwatengee...
Afu si unajua sakayo yuko based huku sana...
Nafuata nyuki nile asali ..![]()
Oooh!
Emmyta..
Nitafutie sakayo basi
Mdogo mbona unashika kichwa
Mtag kabisa ajeee! Manake anarusha rusha mateke sana...Hahaaa! Hachelewi punde atapita pande hizi.


Muonee! Nafsi inakusuta shunie..nitampa ndio si alikua mpnz wangu
Ana wivu na dada yake ! She knows everything..Mdogo mbona unashika kichwa
Nini sasa? Umefiwa ?