Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,599
Wakuu, habari za mchana?, natumaini wote mko njema!
Kuna siku nilileta uzi humu, uliosomeka; 'nimeutua mzigo mzito jana usiku'
Na kweli nilipitia mawazo yenu, na nikayafanyia kazi. Kutokana na changamoto za hapa na pale, ile pisi kali imeomba kuonana na mimi leo jioni (usiku); na kwa sababu tupo kwenye umbali wa masaa matano kwa gari mpaka kunifikia, imebidi nimtumie nauli ili aje nimsikilize anataka nini.
Na lengo kuu la kuja, ni kwa ajili ya kupata shoo pamoja na mengineyo.
Sasa wakuu, mimi nataka nimalizie hasira zangu zote kwa nyodo alizonifanyia huko nyuma; sasa nitumie vitu gani ili shoo iwe ya muda mrefu, na mzee awe ngangari kweli kweli muda wote?
Ushauri wenu ni muhimu wakuu.
Kuna siku nilileta uzi humu, uliosomeka; 'nimeutua mzigo mzito jana usiku'
Nimeutua mzigo mzito jana usiku
Nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja mrefu (aliyenizidi), mwenye shepu yake. Kusema kweli, amejaliwa kwa kiasi fulani. Nimekuwa naye kwenye mahusiano kama miezi miwili hivi. Changamoto aliyokuwanayo, ili awe na hisia na wewe inabidi uwe mwepesi wa kutoa hela pale anapohitaji. Nimepambana...
www.jamiiforums.com
Na kweli nilipitia mawazo yenu, na nikayafanyia kazi. Kutokana na changamoto za hapa na pale, ile pisi kali imeomba kuonana na mimi leo jioni (usiku); na kwa sababu tupo kwenye umbali wa masaa matano kwa gari mpaka kunifikia, imebidi nimtumie nauli ili aje nimsikilize anataka nini.
Na lengo kuu la kuja, ni kwa ajili ya kupata shoo pamoja na mengineyo.
Sasa wakuu, mimi nataka nimalizie hasira zangu zote kwa nyodo alizonifanyia huko nyuma; sasa nitumie vitu gani ili shoo iwe ya muda mrefu, na mzee awe ngangari kweli kweli muda wote?
Ushauri wenu ni muhimu wakuu.