Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,402
- 79,644
Angesema anakupenda ningeelewa na sio kuomba ndoa. Huyo yupo desperate kuolewa. Tunawaambiaga wanaume tunawapenda lkn sio kuwataka watuoe. Ndoa inapaswa kutangazwa na mwanaume.nae hakunifuata direct, alimwambia rafiki angu ambae anaukaribu nae tena wakiwa kwenye story za kawaida bt mkuu kama kueleza hisia tu unaona ngumu mbona mnang'ang'ana na 50/50?
Kasome upya 50/50 inazungumzia nini.