The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
na Masopakyindi ni malaika?
Imagine, wakati yeye ndio alikua wa kwanza kumpiga sound Clara wa watu.
Naona jumba bovu anadondoshewa Clara peke yake.
na Masopakyindi ni malaika?
Binadamu tuna unafiki na ubinafsi usiopimikaImagine, wakati yeye ndio alikua wa kwanza kumpiga sound Clara wa watu.
Naona jumba bovu anadondoshewa Clara peke yake.
Ha ha!na Masopakyindi ni malaika?
Clara ni mkeo? 😁Ha ha!
Jamani mbona nakula Clara tu miaka yote!
Kitu kimoja hujuiClara ni mkeo? 😁
mmejaa ubinafsi sana
Ha ha!
Jamani mbona nakula Clara tu miaka yote!
Ila mwamba inabidi Clara apate cheo kingine tofauti na alichonacho kwa Sasa. I can imagine Mme Halali wa Clara yupo kwenye Hali mbaya Sana, Lazima Hana amani na ndoa yake.Ha ha!
Jamani mbona nakula Clara tu miaka yote!
Familia kurudi kwako kwa msaada wa matibabu haikumaanisha ukapashe kiporo we ungefanya kinachopaswa then utembee na miaLakini familia iliyomuoza ikarudi kwangu kwa msaada wa matibabu. Mi nilishasepa.
Ngumu sana kumesa!Familia kurudi kwako kwa msaada wa matibabu haikumaanisha ukapashe kiporo we ungefanya kinachopaswa then utembee na mia
Halafu tukishauri hapa mtu aachane na habari za single parent tunaonekana hatujui kitu.... single parent ni mpenzi wa mtuKitu kimoja hujui
Nampenda na nina wivu sana naye!
Ninasubiri kutoa ushauri baada ya clinic kufelTunafungua kituo kinaitwa " We repair the broken hearts "
Kwa hiyo mtumishi wa Bwana unataka twisheni?Dah! Hspa mbona haya ni maradhi ya kawaida kabisa kwa wanaume mkuu?
Huyo mzazi mwenzio anakupenda sema tamaa na gubu vimemponza. Tukirudi kwenye maadili huyo Mama yake Clara na Clara mwenyewe sio watu wa ndoa, wangelitambua hilo wala asingehangaika na ndoa, ingekua una mke asiye rasmi.
Wife hajawahi kushtukia hata kwa mbali tu kwamba umezama sehem kwa Clara?
Yaani haijawahi kabisa kukuletea tafran kwenye familia yako? Kama jibu ni ndio itabidi ufungue tuisheni tuje kupata somo.
Ntatoa ushauri baadae sasa hivi ngoja kwanza tumalize jambo na Evelyn Salt
Ni kwa sababu ya dini, lakini penzi huwa lipo palepale na maisha huwa yanaendelea kama ilivyokuwa kwa mababu zetu.Halafu tukishauri hapa mtu aachane na habari za single parent tunaonekana hatujui kitu.... single parent ni mpenzi wa mtu
Dogo kafunga ndoa na mke wa mtu, pana ndoa hapo wakati mke ana mtoto wa mtu?
Tunarudi kulekule, single mother huwa wanapasha viporo na wazazi wenzao
Kitu kimoja hujui
Nampenda na nina wivu sana naye!
Hapo ndipo watu wengi, hasa wanawake wanashindwa kuwaelewa wanaume.Muache mkeo, umuoe Clara