mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 903
Wewe ndo maana unaitwa kizwezwe maana yake huna akili...Mkuu hv ushahidi unaozingumzia ni wa picha za gold zilizo kwenye ipad na sio picha halisi za Gold...au picha za pesa zilisaviwa kwenye Ipad kuliko picha halisi za fedha?Au kile cheti feki cha UN (Na hapo hujiulizi UN imeingiaje tena hapo?) Halafu eti dola 16milioni zisafirishwe kwa dola 70 na kampuni ya ulinzi??ujinga wote huu ndo unauita evidencw???....unaamini kweli dunia ya leo unaweza kusafirisha pesa kwenye masanduku unapita nayo airpoti?Una elimu gani kwanza Mkuu?wewe unataka uthibitisho gani mtu ametaja vyombo ,bank na ametia documents sasa wewe unataka ushaidi gani tena ushahidi hufutwa kwa vielelezo wewe unatoa vielelezo gani kuwa jamaa dk shika hajapata mpunga