Ushauri wangu kwa watumishi wa umma

Ushauri wangu kwa watumishi wa umma

Mmi nafanya biashara halali nimeianza kuanzia mwaka 2000 na nimejizoesha kuishi maisha ya halali tu nalipa kodi na ninafuata sheria japo kuna kipindi wenzangu waliniona mjinga ika sasa ndio wanaisoma namba na mbaya zaidi wakiwa umri umeenda sasa
Lakini bado ni mjinga sababu mazingira ya biashara sio rafiki kwako japo huoni ,ujue hata shida hujenga mazoe kwa muhusika wakati fulani
 
Ku
Taarifa kwa wapiga dili na janja janja nyingi, zama zenu zilikwishapita na awamu ya Nne, niwakumbushe hii ni Awamu ya Tano.Na ndio kwanza mwaka umeisha, mpaka miaka tisa ijayo, namba zitasomeka kwa lugha zote.
Kumbe kuna awamu mnafanya za wapiga deal,je nani aliwafunga midomo wakati uliopita??ujinga ni mzigo
 
Bora elimu bure kwani nyinyi watumishi wa uma mlikuwa na viburi kwa kutumia kodi zetu,mlijiita pedeshee kwa kodi za Mama ntilie aliyeshindwa kumsomesha mtoto wake,pesa yake ya kodi mlijiita Papa
Ila wale wakuu walio jisahau mpaka ikafikia hali hii ambayo huyohuyo mamalishe anaendelea kulimwa kodi hadi mahali alipotakiwa awenaunafuu wanaachwa walale usingizi mtamu,ujinga ni mzigo
 
Umeshasaini posho leo, unakuja kubwatuka hapa. Ngoja ziishe hizo.
Wanaolalamika sio watumishi pekee, uliza wakulima, wafanyabiashara, wavuvi, wanasiasa. Ndio utajua utamu wa elimu bure unavyotusomesha namba.
Acha uwongo wk hapa, mm ni mkulima na juzi tuu nimefanya sherehe ya kuuaga umaskini bada ya kupata million s zangu za korosho....!. Sema ukiwa mvivu kwa Serikali hii lazma uisome No.
 
UFAFANUZI.
1/Sio kweli kuwa Ugumu wa Maisha unawapata zaidi wapiga dili kwa kipindi hichi. Karibu kila mtanzania kwa sasa analalamika ugumu wa maisha.

2/Watumishi wa Umma kwa sasa wanakumbana na
- Makato makubwa kwenye Mshahara
-Kutokupandishwa Vyeo
-Kutokuongezwa Mshahara
-Kutokulipwa kwa stahili zao
-Kuzuiwa uhamisho
-Kufutwa kwa Marupurupu yao yaliyokuwepo kisheria
-Kutumikishwa kama Punda
-Kufanya kazi kwa Woga wa kufukuzwa
-kufutwa kwa fao la kujitoa
-Kutokujua hatma yao ya kesho na keshokutwa.

Mambo hayo yote yanamkuta mtumishi yoyote wa Umma, uwe mpiga dili au mtakatifu, chamoto lazima ukipate.

3/Sio Kweli kabisa kuwa ugumu wa maisha ya sasa ya mtanzania umeletwa na kupungua kwa madili. Ni suala la Mfumo mzima wa utawala kushindwa kuhimili mdororo wa kiuchumi kilioutengeneza.
Kama Hospitali kumefikia hatua ya kukosa mpaka chanjo, Maelfu ya wanachuo kukosa Mkopo, Benki za serikali kufilisika, Pesa za rambirambi kuliwa na serikali nk. Hatuwezi kusema ni matokeo ya madili kupungua.

ONYO.
-Tusije na majibu rahisi kwenye maswali magumu.
-Tusidhihaki watumishi wa Umma wanaolia njaa kwa kuwaambia "Wafanye kazi kwa bidii ili wafanikiwe", wakati mshahara ni ule ule hata kama watafanya kazi usiku na mchana kila siku.
Kutumikishwa kama punda...!, nna mashaka na hiyo sentensi. Labda ufafanue kwa kina.
 
Jamani naomba tuache UNAFKI!!! Hivi ili neno la wapiga dili mnalitoa wapi??? Hem tutumieni vichwa vyetu bas kupembua mambo!!!! Mfano:-

A) uhamisho wa watumishi wa umma kwa kujiamisha wenyewe (kujigharamia) umezuiliwa, hivi kuna uhusiano gani kati ya kuzuia uhamisho kwa watumishi na wapiga dili na maisha kuwa magumu???

B) kusitishwa kwa ajira mpya za vijana, amabao idadi yake inajulikana tena kwa muda wa miaka miwili kuna husiana nini na hali ya maisha kuwa ngumu????


C)kukosekana kwa incriment ambayo imetajwa kisheria, narudia KISHERIA kuna husiano gani na wapiga dili???

D)Kuzuia upandishwaji wa madaraja ya watumishi(promotion) hasa kundi la watumishi wenye mishahara midogo na wapiga madili Kuna uhusiano gani???

E) hivi hao wapiga madili wanao kwamisha hayo yote mpkasasa ni wangapi wamesha fikishwa mahakamani kujibu tuhuma na usumbufu kwa kundi kubwa la watu hawa????


F)Hivi hao wapiga dili walikua chini ya serikali ya chama gani??? Na kwa muda gani? Nakama wamelelewa na hiyo serikali, iyo serikali iko wapi, na serikali iliyopo inafanya nini kuhakikisha hawa watu wanakwenda jela kwa upigaji dili wao???

G)kama sheria inamtaka mwajiri kutimiza matakwa ya kupandisha madaraja watumishi, kuongeza incriment kwenye mishahara kwa kila mwaka wa fedha, serikali inatumia sheria ipi, iliyotungwa na bunnge lipi kusitisha yote hayo yaliyotamkwa na sheria ya sasa iliyopitishwa na hao hao serikali???

F)ivi ni mabadiliko gani yanayofanywa yanayo hitaji kuzuia haki za msingi zote za kisheria za mtumishi wa umma bila kutoa ukomo ama waraka wa kiutumishi kuhusu mabadiliko fatwa????


Ifike mahala tusiwe wanafki!!!! Serikali inakosea! na inadharau watumishi wake kwa makosa na uzembe wake yenyewe!!!!


Nyie mnao sema wafanyakazi walizoea vya bure ama madili,,, naomba niwape mda!!! Maaana hawa ndio mnawauzia sabuni, mafuta ya kula, mnawapangisha nyumba, mnawauzia nguo, simu, mnawalimia mashamba, mnawasaidia kazi za nyumbani, mnawajengea vibanda na nk!!! hawa mnaowacheka leo na kufuraia kushuka kwao wakikosa leo kesho mrija niuleule utawafikia!!!


Bahati nzuri wao watakua washaizoea hali hii maaana ni almost mwaka mzima mpaka sasa wao wanaendelea kupata maumivu!!! Zamu yenu yaja!!!! Subirini mtaona!!!! Muda ni msema kweli!!!!


SERIKALI MNAPASWA KUBADILIKA!!! HUU MFUMO UNA MAZURI MACHACHE NA MAPUNGUFU MENGI!!!! JITAFAKARINI!!! Iyo heshima mnayo itafuta mtaijutia maana umasikini unarudi kwa kasi ya ajabu!!!! Alamsiki
Mi naomba tu unisaidie kujibu hili swali lng; "HV KWAN LENGO HASA LA SERIKALI HII YA MAGU KUFANYA YOOTE HAYO ULOYAJATA NI NN???".
 
Mmm siwezi kiongoz yyto ndani ya ccm maana hata walihaidi ktk company na kwenye wanayakana mchana kweupe!! Nchi hii maskini ataendelea kuw maskini na mtaji wa kura kwa wajanja!
 
Bora elimu bure kwani nyinyi watumishi wa uma mlikuwa na viburi kwa kutumia kodi zetu,mlijiita pedeshee kwa kodi za Mama ntilie aliyeshindwa kumsomesha mtoto wake,pesa yake ya kodi mlijiita Papa
Na wale waliokosa mikopo vyuo vikuu wote ni watoto wa watumishi? Usitumie kichwa kufugia nywele wewe, fikiria.
 
Jamani naomba tuache UNAFKI!!! Hivi ili neno la wapiga dili mnalitoa wapi??? Hem tutumieni vichwa vyetu bas kupembua mambo!!!! Mfano:-

A) uhamisho wa watumishi wa umma kwa kujiamisha wenyewe (kujigharamia) umezuiliwa, hivi kuna uhusiano gani kati ya kuzuia uhamisho kwa watumishi na wapiga dili na maisha kuwa magumu???

B) kusitishwa kwa ajira mpya za vijana, amabao idadi yake inajulikana tena kwa muda wa miaka miwili kuna husiana nini na hali ya maisha kuwa ngumu????


C)kukosekana kwa incriment ambayo imetajwa kisheria, narudia KISHERIA kuna husiano gani na wapiga dili???

D)Kuzuia upandishwaji wa madaraja ya watumishi(promotion) hasa kundi la watumishi wenye mishahara midogo na wapiga madili Kuna uhusiano gani???

E) hivi hao wapiga madili wanao kwamisha hayo yote mpkasasa ni wangapi wamesha fikishwa mahakamani kujibu tuhuma na usumbufu kwa kundi kubwa la watu hawa????


F)Hivi hao wapiga dili walikua chini ya serikali ya chama gani??? Na kwa muda gani? Nakama wamelelewa na hiyo serikali, iyo serikali iko wapi, na serikali iliyopo inafanya nini kuhakikisha hawa watu wanakwenda jela kwa upigaji dili wao???

G)kama sheria inamtaka mwajiri kutimiza matakwa ya kupandisha madaraja watumishi, kuongeza incriment kwenye mishahara kwa kila mwaka wa fedha, serikali inatumia sheria ipi, iliyotungwa na bunnge lipi kusitisha yote hayo yaliyotamkwa na sheria ya sasa iliyopitishwa na hao hao serikali???

F)ivi ni mabadiliko gani yanayofanywa yanayo hitaji kuzuia haki za msingi zote za kisheria za mtumishi wa umma bila kutoa ukomo ama waraka wa kiutumishi kuhusu mabadiliko fatwa????


Ifike mahala tusiwe wanafki!!!! Serikali inakosea! na inadharau watumishi wake kwa makosa na uzembe wake yenyewe!!!!


Nyie mnao sema wafanyakazi walizoea vya bure ama madili,,, naomba niwape mda!!! Maaana hawa ndio mnawauzia sabuni, mafuta ya kula, mnawapangisha nyumba, mnawauzia nguo, simu, mnawalimia mashamba, mnawasaidia kazi za nyumbani, mnawajengea vibanda na nk!!! hawa mnaowacheka leo na kufuraia kushuka kwao wakikosa leo kesho mrija niuleule utawafikia!!!


Bahati nzuri wao watakua washaizoea hali hii maaana ni almost mwaka mzima mpaka sasa wao wanaendelea kupata maumivu!!! Zamu yenu yaja!!!! Subirini mtaona!!!! Muda ni msema kweli!!!!


SERIKALI MNAPASWA KUBADILIKA!!! HUU MFUMO UNA MAZURI MACHACHE NA MAPUNGUFU MENGI!!!! JITAFAKARINI!!! Iyo heshima mnayo itafuta mtaijutia maana umasikini unarudi kwa kasi ya ajabu!!!! Alamsiki
Uchambuzi mzuri,kila kitu kinatakiwa kifanywe kwa kufuata SHERIA. Ni jambo la ajabu sana kuwahukumu watu kwa makosa ya watu wengine, kama dili zilipigwa na wapiga dili na hao wapiga dili wanajulikana, sasa kwanini wapiga dili wasishughulikiwe? kingine, hatuwezi kuleta maendeleo kwa kubana matumizi au kushusha watu mishahara na kuwanyima stahili zao, hizo ni fikra za hali ya chini sana. JIONGEZENI KIMAARIFA
 
Jamani naomba tuache UNAFKI!!! Hivi ili neno la wapiga dili mnalitoa wapi??? Hem tutumieni vichwa vyetu bas kupembua mambo!!!! Mfano:-

A) uhamisho wa watumishi wa umma kwa kujiamisha wenyewe (kujigharamia) umezuiliwa, hivi kuna uhusiano gani kati ya kuzuia uhamisho kwa watumishi na wapiga dili na maisha kuwa magumu???

B) kusitishwa kwa ajira mpya za vijana, amabao idadi yake inajulikana tena kwa muda wa miaka miwili kuna husiana nini na hali ya maisha kuwa ngumu????


C)kukosekana kwa incriment ambayo imetajwa kisheria, narudia KISHERIA kuna husiano gani na wapiga dili???

D)Kuzuia upandishwaji wa madaraja ya watumishi(promotion) hasa kundi la watumishi wenye mishahara midogo na wapiga madili Kuna uhusiano gani???

E) hivi hao wapiga madili wanao kwamisha hayo yote mpkasasa ni wangapi wamesha fikishwa mahakamani kujibu tuhuma na usumbufu kwa kundi kubwa la watu hawa????


F)Hivi hao wapiga dili walikua chini ya serikali ya chama gani??? Na kwa muda gani? Nakama wamelelewa na hiyo serikali, iyo serikali iko wapi, na serikali iliyopo inafanya nini kuhakikisha hawa watu wanakwenda jela kwa upigaji dili wao???

G)kama sheria inamtaka mwajiri kutimiza matakwa ya kupandisha madaraja watumishi, kuongeza incriment kwenye mishahara kwa kila mwaka wa fedha, serikali inatumia sheria ipi, iliyotungwa na bunnge lipi kusitisha yote hayo yaliyotamkwa na sheria ya sasa iliyopitishwa na hao hao serikali???

F)ivi ni mabadiliko gani yanayofanywa yanayo hitaji kuzuia haki za msingi zote za kisheria za mtumishi wa umma bila kutoa ukomo ama waraka wa kiutumishi kuhusu mabadiliko fatwa????


Ifike mahala tusiwe wanafki!!!! Serikali inakosea! na inadharau watumishi wake kwa makosa na uzembe wake yenyewe!!!!


Nyie mnao sema wafanyakazi walizoea vya bure ama madili,,, naomba niwape mda!!! Maaana hawa ndio mnawauzia sabuni, mafuta ya kula, mnawapangisha nyumba, mnawauzia nguo, simu, mnawalimia mashamba, mnawasaidia kazi za nyumbani, mnawajengea vibanda na nk!!! hawa mnaowacheka leo na kufuraia kushuka kwao wakikosa leo kesho mrija niuleule utawafikia!!!


Bahati nzuri wao watakua washaizoea hali hii maaana ni almost mwaka mzima mpaka sasa wao wanaendelea kupata maumivu!!! Zamu yenu yaja!!!! Subirini mtaona!!!! Muda ni msema kweli!!!!


SERIKALI MNAPASWA KUBADILIKA!!! HUU MFUMO UNA MAZURI MACHACHE NA MAPUNGUFU MENGI!!!! JITAFAKARINI!!! Iyo heshima mnayo itafuta mtaijutia maana umasikini unarudi kwa kasi ya ajabu!!!! Alamsiki
Hiyo 'A' inanisononesha sana. Uko sahihi ktk maelezo yako.
 
Umeshasaini posho leo, unakuja kubwatuka hapa. Ngoja ziishe hizo.
Wanaolalamika sio watumishi pekee, uliza wakulima, wafanyabiashara, wavuvi, wanasiasa. Ndio utajua utamu wa elimu bure unavyotusomesha namba.
Kweli mkuu
 
Habarini wanajamvi. Nimejitokeza baada yakusikia watumishi wa umma wakilalamika maisha magumu na pia wakilalamika hawatendewi haki. Naombeni niwashauri kitu ndugu zetu. Hiki ni kipindi cha mpito hiki ni kipindi ambacho iga dili wataumia sana na waliokua wakiteseka watafaidimatunda ya matendo mema ya viongozi wetu. Ni imani yangu zamu yenu ninyi watumishi wa umma itakuja ila subira ni ngumu hasa kipind8 ambacho haujui utasubiri kwa muda gani. Jitahidini kufanya kazi kwa bidiii tena kwa moyo mkuu tuachane na malalamiko ya wapiga dili na walio zoea vya bure wachache. Pamoja nchi yetu itaenda mbele. Asanteni
Ingekuwa kipindi cha mpito na mabadiliko tunaanza kuyaona ingekuwa sawa lakini hali mbaya ni kwa wrote sio mkulima au mfanyakazi, pia hata hayo mabadiliko yanatakiwa yasiwabane sana wananchi, kwa taarifa yako tu jua hali ni ngumu
 
Habarini wanajamvi. Nimejitokeza baada yakusikia watumishi wa umma wakilalamika maisha magumu na pia wakilalamika hawatendewi haki. Naombeni niwashauri kitu ndugu zetu. Hiki ni kipindi cha mpito hiki ni kipindi ambacho iga dili wataumia sana na waliokua wakiteseka watafaidimatunda ya matendo mema ya viongozi wetu. Ni imani yangu zamu yenu ninyi watumishi wa umma itakuja ila subira ni ngumu hasa kipind8 ambacho haujui utasubiri kwa muda gani. Jitahidini kufanya kazi kwa bidiii tena kwa moyo mkuu tuachane na malalamiko ya wapiga dili na walio zoea vya bure wachache. Pamoja nchi yetu itaenda mbele. Asanteni
Nyie ndo mnampotosha Mh. Rais!
Ukijua kitu inaitwa multiplier effect kwenye uchumi usinge specify kuwa ni watumishi pekee wanaolalama hali ngumu.

Nasisitiza tena Nyie ndo mnaompotosha mh. Rais.
 
Nyie ndo mnampotosha Mh. Rais!
Ukijua kitu inaitwa multiplier effect kwenye uchumi usinge specify kuwa ni watumishi pekee wanaolalama hali ngumu.

Nasisitiza tena Nyie ndo mnaompotosha mh. Rais.
Unamaanisha nni? Unataka kusema Raisi wetu anapotoshwa ? Kijana angalia kauli zako
 
Back
Top Bottom