Ushauri wangu kwa watu wanaotafuta wachumba mitandaoni

Ushauri wangu kwa watu wanaotafuta wachumba mitandaoni

UMUNYU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
762
Reaction score
626
Nianze kwa kusema kuwa si lengo langu kukatisha tamaa watu ila ninashauri tu hasa kulingana na kilichonipata.

Mimi niliwahi kupata mchumba kupitia mitandao ya kijamii. Baada ya kuchat kwa takribani mwaka mmoja nikajiridhisha kuwa ninampenda. Tukapanga kuonana. Ajabu baada ya kuonana nikagundua kuwa alikuwa tofauti sana na jinsi alivyokuwa amenieleza na kujifafanua hata kwenye picha!

Zaidi ya yote alikuwa muongo. Akidai hana watoto na kumbe alikuwa nao.
KIMSINGI KAMA KWELI UMEMPENDA MTU JITAHIDI MUONANE USO KWA USO. MAANA NI AFADHALI MTU UNAYEMFAHAMU KULIKO UNAYEMDHANIA!!! MIMI WANGU HATUKUENDELEA KWANI BAADA YA KUFIKA KWAKE NILIKUTANA NA HALI AMBAZO NISINGEWEZA KUVUMILIANA NAZO!
 
mwaka mzima hamjaonana mnatumiana tu picha [emoji23][emoji23] pole sana mkuu mlivyoonana tu ndoa

hivi unajua ndoa si jambo la kukurupuka kabla ya kuingia kwenye ndoa lazima mchunguzane tabia ujue mwenzio ana tabia zipi
 
Back
Top Bottom