The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,733
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, napenda kuutumia muda huu kuwaomba na kuwashauri wanaume wenzangu kuwa, ikitokea umempa binti/msichana mimba katu usiikatae lea mimba kisha lea mtoto hata kama hautaki kumuoa huyo mwanamke. Single mothers wanateseka sana jamani; kulea mimba na pia kulea mtoto.
Kama kuna ambaye amewahi tekeleza mtoto please fanya hima umchukue kisha umuombe msamaha mtoto pamoja na mama yake kisha wape support na Mungu wetu aliye juu atakubariki.
Nimeandika haya leo baada ya kufuatilia visa kadhaa vya single mothers hakika roho wa huruma alinitembelea, huku machozi ya uchungu yakinilenga. Nilitamani kuwa na uwezo wa kuwasaidia ili nao waweze kuendesha maisha yao but nimeshindwa ila naamini kuna ka msaada hata wa faraja kutoka kwangu wameupata.
Kama kuna ambaye amewahi tekeleza mtoto please fanya hima umchukue kisha umuombe msamaha mtoto pamoja na mama yake kisha wape support na Mungu wetu aliye juu atakubariki.
Nimeandika haya leo baada ya kufuatilia visa kadhaa vya single mothers hakika roho wa huruma alinitembelea, huku machozi ya uchungu yakinilenga. Nilitamani kuwa na uwezo wa kuwasaidia ili nao waweze kuendesha maisha yao but nimeshindwa ila naamini kuna ka msaada hata wa faraja kutoka kwangu wameupata.