Ushauri wangu kwa hali hii inayoendelea

Ushauri wangu kwa hali hii inayoendelea

Kama baba wa familia, kijana,mke, au kiongozi wa familia nunua vyakula weka ndani hasa wale mlio zoea kununua mchele kilo moja kila siku nunua vya kula vya mwezi mambo yana weza badirika watoto wakafa njaa

Unaenda kupambana njee uko lakini una jua familia yako ina chakula cha kutosha ata wewe utakapo rudi una kuta chakula

Wafanya biashara anzeni kuweka vitu vyenu vizuri nikimaanisha bidhaa na wale mnao acha pesa ya mauzo dukani mka zifungia chukuenu tahadhari mapema sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo haya ndio ya maana🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Sio uoga ila ukweli siwezi kwenda kuandamana nikaacha familia haina chakula that why nasema mapema sana hili watu wajue

Leo una poteza biashara ya milion 40 una mkopo bank watu wameiba mali zako una anzia wapi?
Kwako maana ya kuandamana ni kuiba vitu madukani?
 
Back
Top Bottom