MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kuna Mtu tokea akiwa Masomoni Chuo Kikuu niliambiwa kuwa alikuwa ni Mhuni ( Mpenda Ngono hovyo hovyo ) nikawa bado mgumu Kuamini.
Mtu huyo huyo tena akaniambia kuwa Mwanaume aliyenae sasa siyo wa Kwanza kwani alishakuwa na mwingine ila walishindwana kwa tabia yake ya kupenda Uhuni ( Ngono ) na akasema ipo Siku nitakuja Kumuamini.
Leo kuna Picha nimeiona mahala na kilichonichukiza zaidi ni kwamba Picha ya Nguo hiyo hiyo aliyoivaa akifanyia Uhuni wake wa Awali ( Denda ) ndiyo nimemuona akiwa nayo mahala fulani akihutubia ( akizungumza ) na Watendaji fulani fulani na sijajua hata alioga Saa ngapi kwani kuna wengine Wakilana Madenda Sirini ( Ikuluni ) mwao vile Vilainika vya Kibaiolojia huwa vinatoka ili kuonyesha Ushirikiano.
Nasikia kuna Cabinet Reshuffle Wikiendi hii au Wiki ijayo na kama nikiona Mheshimiwa Rais Samia hajambadilisha / hajamtoa hapo huyu Muhuni ( Mpenda Ngono ) basi nitaamini kweli kuna Watanzania wanajua Kuroga au wana Mizimu mikali.
Hakuna Jambo ambalo huwa linanikwaza zaidi Mightier Mimi pale kama nikiwa nampenda na Kumheshimu Mtu fulani na nikawa hata namtetea pale akisemwa vibaya nikaja kukuta kumbe ni kweli ana Matatizo na tabia za Kihuni ( Kifirauni )
Nimesitika huenda kuliko wengi wenu.
Mtu huyo huyo tena akaniambia kuwa Mwanaume aliyenae sasa siyo wa Kwanza kwani alishakuwa na mwingine ila walishindwana kwa tabia yake ya kupenda Uhuni ( Ngono ) na akasema ipo Siku nitakuja Kumuamini.
Leo kuna Picha nimeiona mahala na kilichonichukiza zaidi ni kwamba Picha ya Nguo hiyo hiyo aliyoivaa akifanyia Uhuni wake wa Awali ( Denda ) ndiyo nimemuona akiwa nayo mahala fulani akihutubia ( akizungumza ) na Watendaji fulani fulani na sijajua hata alioga Saa ngapi kwani kuna wengine Wakilana Madenda Sirini ( Ikuluni ) mwao vile Vilainika vya Kibaiolojia huwa vinatoka ili kuonyesha Ushirikiano.
Nasikia kuna Cabinet Reshuffle Wikiendi hii au Wiki ijayo na kama nikiona Mheshimiwa Rais Samia hajambadilisha / hajamtoa hapo huyu Muhuni ( Mpenda Ngono ) basi nitaamini kweli kuna Watanzania wanajua Kuroga au wana Mizimu mikali.
Hakuna Jambo ambalo huwa linanikwaza zaidi Mightier Mimi pale kama nikiwa nampenda na Kumheshimu Mtu fulani na nikawa hata namtetea pale akisemwa vibaya nikaja kukuta kumbe ni kweli ana Matatizo na tabia za Kihuni ( Kifirauni )
Nimesitika huenda kuliko wengi wenu.