Ushauri: Wakulima wa korosho uzeni korosho zenu kwa bei unayoona ina maslahi kwenu, msisubiri bei ya Serikali

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Wakulima mnabidi mtambue kuwa siasa na biashara ni vitu viwili tofaut. Huyu mdudu siasa anayeingilia biashara ya korosho kuweni makini naye sana. Mwisho wa siku mtaumia nyinyi.

Serkali ya Tanzania haiwezi panga bei ya mazao yoyote yanayouzwa kimataifa. Zao kma korosho bei yake inapangwa na forces of demand and supply.

Mwaka jana bei ilkuwa kubwa had kufikia 4000 kwa kg ni kwasababu demand ilkuwa kubwa kuliko supply. Yan kuna nchi kubwa zilzokuwa zikizalisha korosho kwa wing kukumbwa na shambulio la wadudu ambao walipunguza uzalishaji katika nchi izo. Hivyo bas supply ikawa ndogo kuliko mahitaji ya soko la korosho. Hata hivyo hii ilikuwa tu mwanzoni mwa msimu wa mavuno, kuja kufika mwishoni mwa msimu mwaka jana, korosho ilishuka bei had kufikia 2000 kwa Kg.

Wengi waliokuwa hawaelewi au walijitoa fahamu tu, walisifu serkal ya awamu ya tano kuwa ndyo imepandisha bei wakati haikuwa ivyo na haitaweza hata siku moja kupandisha bei ya korosho kuwa zaid ya bei ya kimataifa.

Kama Tanzanite inayopatkana Tanzania tu, tumeshindwa ipangia bei ya kmataifa, je ya korosho tunawezaje?

USHAUR WANGU.
Wakulima uzeni korosho kwa bei unayoona inakupa masilahi wewe. Mkisubiri bei ya magufuli itakula kwenu. Magufuli mwenyewe hawezi nunua kwa iyo bei aliyoelekeza. Mtaishia kukopwa na malipo mtayasotea kama wastaafu wanavyosotea viinua mgongo vyao.

PIA
kumbukeni korosho inavyozidi kukaa, ndivyo inavyozidi kupungua na uzito pamoja na ubora.

Mwisho wa siku mtaambiwa mzile wenyewe kama wakulima wa mbaazi walivyoambiwa.

Alafu serkali ya magufuli haijawahi kufanikiwa katika swala la kupanga bei elekezi kuanzia kwenye Sukari, tumbaku, Mahindi, mbaazi, Mafuta na hata ada za shule private.

Siku zote serkal hii inapoingilia bei za vitu ndyo hali inavyozidi kuwa mbaya zaid. Hili lipo wazi kabisa.

Waulizeni wakulima wa tumbaku, mwisho wa siku waliuza kwa bei gani baada ya serkal kupanga bei!


Kama mwaka jana mlinywesha mbuzi bia, mwaka huu jiandaeni kuwalisha korosho.
Cashew exports may fall to 25-year low
 
Ushauri mujarab, uzeni korosho zisiwaozee ghalani. Uzeni kwa bei iliyoko sokoni ilimradi msipate hasara. Vumilieni maumivu misimu huwa haifanani, bahati ya msimu uliopita msiitarajie msimu huu. Komaeni na hali zenu sababu serikali haiwezi kuwabeba!
 
CCM ni chama cha waongo tena waongo kwelikweli...uongo huu ikishtukiwa wanakuja na uongo mwingine..mwingine ukishtukiwa wanakuja na wanawapeleka kwenye matangazo ya vifo ili msikitike..wakiwatoa hapo wanafukuzana wenyewe kwa wenyewe wanaita ati kutumbuana...yaaani kuweni macho Unganeni komaeni.
 
Serikali ilisema kuwa itanunua korosho za wakulima kama wafanyabiashara watashindwa kununua eti serikali wana hela nyingi. Badala ya kuzinunua kama ilivyoahidi inawapiga biti. Dr Mpango alikuwa sahihi.
 
" Msema ukweli ni 'mpenzi'''wa Mungu"
Mbona hawaambii ukweli wakulima wa korosho kuwa hana uwezo wa kupanga bei ya dunia?
 
Bodies ya korosho imeshindwa kutafuta solo la kimataifa? Kama huko being imeporomoka wanadhani nani atakubali kununua apate hasara.
 
Kama hakuna wanunuzi wa bei zaidi ya lf 3 kwa kilo, kwa nini wakulima wasiishinikize serikali izinunue kama mkuu alivyotamka?
 
Bodies ya korosho imeshindwa kutafuta solo la kimataifa? Kama huko being imeporomoka wanadhani nani atakubali kununua apate hasara.

Kila biashara huwana utaratibu wake. Huwezi ukanyanyuka tu hapaunakorosho ukadhani utaziuza kirahisi hivyo. Hao wanaoitwa wanunuzi wakubwa wana mikataba na watu wawaleteee korosho tani na tani namikataba mingine huwa ni ya miaka hawa wanao nunua hapa mostlikely wanawauzia wachuuzi wakubwa ambao ndio wanye mikataba huko si rahisikuwa by pass. Kuna wakati tuliwahi kusema tutanunua magari moja kwa moja Toyota kukwepa madalali.Umeshasikia tena hiyo hadithi? Mwenye makatawake na Toyota hela yake ilikuwa palepale. Tulipotaka kununua sukari moja kwa moja kwa wazalishaji kilitukuta nini? Bei ya sukari iko kiasi gani? Utoke hapa na almasi zakoukauze moja kwa moja hakikautarudi nazo. Hata hapa kwetu kuna mkulima aliwahi kuleta nyanya akitaka auze Kariakoo sokoni mojakwamoja kwa wauzaji akwepe midle men nyanya zilimuozea na yumba yake iliuzwa.Kilabiashara na utaratibu.wake.
 
Hivi pesa ya wakulima wa korosho ths billion 200 serikali ilipeleka wapi? Ndege nini wakati wananchi na mazao yao hawana pesa. Hivi serikali ina shamba gani la korosho mpaka wachukuwe billion 200 halafu sasa wenye pesa wanashida serikali inasema tatizo ni soko la dunia wakati wamechukuwa billion 200 kwanini msiwape hizo pesa zao kama rusuku🤔
 
Wakulima mnabidi mtambue kuwa siasa na biashara ni vitu viwili tofaut. Huyu mdudu siasa anayeingilia biashara ya korosho kuweni makini naye sana. Mwisho wa siku mtaumia nyinyi.

Serkali ya Tanzania haiwezi panga bei ya mazao yoyote yanayouzwa kimataifa. Zao kma korosho bei yake inapangwa na forces of demand and supply.

Mwaka jana bei ilkuwa kubwa had kufikia 4000 kwa kg ni kwasababu demand ilkuwa kubwa kuliko supply. Yan kuna nchi kubwa zilzokuwa zikizalisha korosho kwa wing kukumbwa na shambulio la wadudu ambao walipunguza uzalishaji katika nchi izo. Hivyo bas supply ikawa ndogo kuliko mahitaji ya soko la korosho. Hata hivyo hii ilikuwa tu mwanzoni mwa msimu wa mavuno, kuja kufika mwishoni mwa msimu mwaka jana, korosho ilishuka bei had kufikia 2000 kwa Kg.

Wengi waliokuwa hawaelewi au walijitoa fahamu tu, walisifu serkal ya awamu ya tano kuwa ndyo imepandisha bei wakati haikuwa ivyo na haitaweza hata siku moja kupandisha bei ya korosho kuwa zaid ya bei ya kimataifa.

Kama Tanzanite inayopatkana Tanzania tu, tumeshindwa ipangia bei ya kmataifa, je ya korosho tunawezaje?

USHAUR WANGU.
Wakulima uzeni korosho kwa bei unayoona inakupa masilahi wewe. Mkisubiri bei ya magufuli itakula kwenu. Magufuli mwenyewe hawezi nunua kwa iyo bei aliyoelekeza. Mtaishia kukopwa na malipo mtayasotea kama wastaafu wanavyosotea viinua mgongo vyao.

PIA
kumbukeni korosho inavyozidi kukaa, ndivyo inavyozidi kupungua na uzito.

Mwisho wa siku mtaambiwa mzile wenyewe kama wakulima wa mbaazi walivyoambiwa.

Alafu serkali ya magufuli haijawahi kufanikiwa katika swala la kupanga bei elekezi kuanzia kwenye Sukari, tumbaku, Mahindi, mbaazi, Mafuta na hata ada za shule private.

Siku zote serkal hii inapoingilia bei za vitu ndyo hali inavyozidi kuwa mbaya zaid. Hili lipo wazi kabisa.

Waulizeni wakulima wa tumbaku, mwisho wa siku waliuza kwa bei gani baada ya serkal kupanga bei!


Kama mwaka jana mlinywesha mbuzi bia, mwaka huu jiandaeni kuwalisha korosho.
na ndo itakavyo kuwa
 
Kilichonifurahisha katika hili sakata ni wananchi kujua ukweli kwamba serekali haina uwezo wowote wa kupanga bei ya mazao yenye maslahi kwao. Hivyo hizo sifa walizojipatia mwaka jana kwamba wao ndio walipandisha bei ya korosho imefahamika ni uongo. Na ile mikwara mbuzi eti serekali ina hela ya kununua korosho pia hiyo imefahamika ni uongo. Hizo korosho serekali ikae kimya maana imeonekana haiwezi, kuliko kuweka gundu kwenye korosho waachie watu serious wafanye biashara.
 
Back
Top Bottom