Ushauri wako, nini kifanyike? Vijana wanapukutika

Ushauri wako, nini kifanyike? Vijana wanapukutika

Ni kweli na tuanzie mapambano hapa hapa JF maana kuna mtandao mkubwa wa vijana
Tutangaze rasmi vitu hivyo ndo adui wa maendeleo ya vijana na tuwekeze katika vita
 
Ni kweli na tuanzie mapambano hapa hapa JF maana kuna mtandao mkubwa wa vijana

ni kweli mkuu,binafsi natambua mchango wa JF ktk kuonya na kuelimisha.Inasikitisha leo kuona kila kukicha mara Mtanzania kakamatwa Misri mara South mara China,mwisho wa siku ukisafiri wakajua wewe ni wa Tz basi utakaguliwa hadi ukose raha
 
Haraka ya maisha inatufanya tuwe na msongo, ishu ni kujipanga na kupunnguza mambo
 
Mi naona tugonge sana mademu especially KABAANG,pombe kali ndio tiba ya ukweli wazeeya,kwa ma-men tuhakikishe tuwe na mademu >20 ,kwa madem hakikisheni kwamba munakuwa na wanaume wengi sana >50,wenye magari pigeni speed kinoma>100km/hour,pombe kali ndio mpango atleast usikose viroba tisa kwa siku,Alafu masuala ya kupoteza hela kutoa sadaka ni ushamba nani kasema mungu yupo;Ni hayo tu mazee ndiyo yanaprolong life span.......mwenye macho haambiwi tazama,isitoshe mimacho yenyewe haina pazia
 
The bluest, kwanza nikukaribishe JF na zaidi nikukaribishe jukwaani MMU, naona comment yako ya kwanza imeanzia hapa, ni jambo jema. Point uliyotoa hapo ni muhimu sana hasa hapo kwenye kujipanga
Haraka ya maisha inatufanya tuwe na msongo, ishu ni kujipanga na kupunnguza mambo
 
sidhani kama ni akili zako zinakusaidia kunena haya, kesho ukiamka ebu pita hapa ufanye marekebisho kwenye comment yako
Mi naona tugonge sana mademu especially KABAANG,pombe kali ndio tiba ya ukweli wazeeya,kwa ma-men tuhakikishe tuwe na mademu >20 ,kwa madem hakikisheni kwamba munakuwa na wanaume wengi sana >50,wenye magari pigeni speed kinoma>100km/hour,pombe kali ndio mpango atleast usikose viroba tisa kwa siku,Alafu masuala ya kupoteza hela kutoa sadaka ni ushamba nani kasema mungu yupo;Ni hayo tu mazee ndiyo yanaprolong life span.......mwenye macho haambiwi tazama,isitoshe mimacho yenyewe haina pazia
 
Tujifunze stadi za maisha zitakazobadilisha mtindo wetu wa maisha. Mtindo wa maisha ambao ni hatarish unajumuisha
1. Ulaji, soda, vinywaji baridi sana, mayai ya kuku wa kisasa, matumizi ya mafuta mengi ya kula, GMOs n.k, vyote hvyo ni hatari kwa afya yako
2. Ulevi, utakupelekea kufanya mambo hatarish ambayo yamkini hungefanya kama hujalewa
3. Uasherati, tb, kisonono, kaswende, pangusa, saratani ya koo, ya kizazi, hepatitis, n.k, yote hayo yanaweza kuwa ignited na uasherati
4. Utumizi madawa ya kulevya, athari zake zipo wazi
5. Unrealistic expectations , inasababisha stress kila mahala ktk mwili wako
6. Ulalaji na afya ya uzazi; kupiga madawa ya mbu vyumbani, kulala muda mfupi, kulala chini ya chandarua chenye dawa, matumizi ya madawa ya uzazi wa mpango. Vyote hvyo ni vichapushaji vya maradhi hasa saratani ya damu, ya ngozi, ya kizazi, ya matiti, ya mapafu n.k.
Inshort, maisha yako, chaguo lako. Ishi kwa tahadhari, ishi kwa kujilinda, mtukuze Mwenyezi MUNGU.
 
Wengi wetu hatuishi maisha halisi. Tunapenda kuwa na maisha ya kufanikiwa haraka bila kazi. Tunataka tuwe na mali kuliko kipato chetu. Lakini pia wengi tumemsahau Mungu na kudhani tunaishi kwa ujanja wetu. Kila mtu anaishi maisha yake hivyo ni lazima kuyalinda.
 
You are very right galindas
Wengi wetu hatuishi maisha halisi. Tunapenda kuwa na maisha ya kufanikiwa haraka bila kazi. Tunataka tuwe na mali kuliko kipato chetu. Lakini pia wengi tumemsahau Mungu na kudhani tunaishi kwa ujanja wetu. Kila mtu anaishi maisha yake hivyo ni lazima kuyalinda.
 
Kudekezwa dekezwa na kujifanya watoto wakati ni watu wazima wenye uthubutu wa kufanya lolote lenye manufaa.

Kingine ni kubweteka na kulewa na starehe za ujana na kusahau kwamba kuna uzee.
 
Kudekezwa dekezwa na kujifanya watoto wakati ni watu wazima wenye uthubutu wa kufanya lolote lenye manufaa.

Kingine ni kubweteka na kulewa na starehe za ujana na kusahau kwamba kuna uzee.
hili ni tatizo kubwa sana, in the bold :yell::nod:
 
madawa ya kulevya ndio mpango wa vijana wa kibongo sasa, sad
 
imefika mahali vijana tumrudie muumba,ndio njia pekee itakayotuponya
 
Waliimba ..... kama ingelikuwa eee binaadamu anakata rufaa ya kifo kinapotokea na mimi ningekataa rufaa .....
 
^^
Chanzo cha yote ni kuingia ktk teknolojia pasipo kujitambua.
Mawasiliano yamerahisisha uovu.
Tufikiri namna ya kuziba hapo
^^
 
Back
Top Bottom