Sikilizeni vijana wanapukutika sana,
Vifo vingi ni vya vijana below 40 years,
Shida ni nini, tatizo ni nini?
Kwanini vijana wanakwisha hivyo,
Magonjwa yanamaliza vijana,
Ajali zinamaliza vijana,
Msongo wa mawazo unamaliza vijana,
Wengine wanaacha wake/waume zao wabichi kabisa,
Wengine wanaacha watoto wao wadogo hata hawajawatambua,
Nenda makaburini kasome zile namba kwenye makaburi, utalia
Vijana wamekosea wapi, wamekengeuka wapi?
Najua hapa MMU wengi ni vijana, tushauriane,
Tuonyane kama ni kuonyana, tushauriane kama ni ndio inafaa
Mokoyo
Vifo vingi ni vya vijana below 40 years,
Shida ni nini, tatizo ni nini?
Kwanini vijana wanakwisha hivyo,
Magonjwa yanamaliza vijana,
Ajali zinamaliza vijana,
Msongo wa mawazo unamaliza vijana,
Wengine wanaacha wake/waume zao wabichi kabisa,
Wengine wanaacha watoto wao wadogo hata hawajawatambua,
Nenda makaburini kasome zile namba kwenye makaburi, utalia
Vijana wamekosea wapi, wamekengeuka wapi?
Najua hapa MMU wengi ni vijana, tushauriane,
Tuonyane kama ni kuonyana, tushauriane kama ni ndio inafaa
Mokoyo