Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's

Bongo ni elfu 22
 
2012 kote huko mzee. Si ununue tu ingine matoleo yanatoka mapya kila siku
 
Used Inauzwa Laki Mbili Mkuu
Nilitaka Kujua Ubora Wake Maana Wengine Tunaangalia Muhimu Inaonyesha Picha
hapo mkuu hakuna hata cha kuhadithia. ni tv ya kawaida tu. kioo cha TFT resolution karibia HD etc. kama unataka tu kuangalia sio mbaya ila kama unataka tv nzuri hio sio nzuri.
 
Na box gani zuri kwa ajili ya kufanya simu iwe ina support android yaani iwe kama smart Tv najua yapo mengi ila nataka ambalo zuri litakidhi
la bei nafuu ambalo linakidhi mahitaji basic ni fire stick la amazon. ni kama flash au modem ukubwa wake unachomeka tu kwenye port ya HDMI na umeme unatokea port ya usb. inatumia remote na inakubali voice command.



bei around $30 mpaka $40 hivi.

ambalo ni zuri kwa specs na bei si kubwa sana angalia la xiaomi around $50 mapaka $60



na best kabisa ambalo kuanzia games, emulation, movie kila kitu unachotupia linafanya ni nvidia shield unalipata hadi $150.

 
Ko nikiwa na la xiaomu naweza cheza game je hili linahitaji msaada wa net au nikishaunga au chomeka tu linafanya kazi na tv inakuwa imewezeshwa ku install vitu mbalimbali na je vipi nikilitoa tv inakata system ya smart ebu nifumbulie hapo
 
Ko nikiwa na la xiaomu naweza cheza game je hili linahitaji msaada wa net au nikishaunga au chomeka tu linafanya kazi na tv inakuwa imewezeshwa ku install vitu mbalimbali na je vipi nikilitoa tv inakata system ya smart ebu nifumbulie hapo
yap ukilitoa na tv haiwi smart inabidi muda wote iwe imechomekwa.

internet utahitaji ukitaka kutumia internet, mfano unaingia youtube. ila ukiwa unafanya kitu ambacho sio cha internet kama game la offline na kuangalia video hutahitaji internet.
 
Amazon tv box inatumia os gani?
 
hizo sticker hubandikwa dukani ukisema nataka sumsung wanakubandikia cha sumsung, ukitaka cha LG wanakubandikia ukitaka cha sony pia wanabandika
 
Umemaliza kabisa.. umetumia hadi mifano na inaeleweka.. tujifunze kutoka kwa huyu jamaa namna ya kuelekeza, sio unataja tu sijui 3d, mara sijui hd.. sio wote tupo familia na.hivyo vitu
 
Asante kwa comment hii nitaifanyia kazi sina mpango wa kutumia startimes nitabaki na DSTV yangu miaka100
 
Msaada wa magic remote ya LG 32LJ550B 32 naweza pata wapi mkuu na je zinaingiliana au lah na je mtandao gani ntazipata uliachana na amazon na ebay!
Chief-Mkwawa
Chief-Mkwawa
Chief-Mkwawa

Mkuu nimeangalia online zinaingiliana ila ki series na wanaandika tu selected smart tv hawa specify.

Alternative nenda playstore na smartphone yako search LG TV PLUS, hio ni app official toka lg ambayo inaweza ku act kama remote.

Kuhusu pa kununulia zipo pia aliexpress mpaka around 20,000
Online Shop for lg magic remote control Wholesale with Best Price
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…