Ushauri wakati unanunua flat screen Tv's



Watu wengi wanasifia vile walivyo navyo. Mtu anasema LG ni nzuri kuliko samsung wakati hata hiyo samsung hajawahi kuitumia, au tu ameiona kwa jirani. Na hata hizo wanazosema ni nzuri bado mtu akenda dukani akiona aina nyingine anaanza kuisifia hapo hapo.

Uzuri wa TV 📺 ninini?
1. Picha angavu?
2. Functionalities
3. Interfaces?
4. Overcoming power problems?
5. Sound?
6. Size?
7. Power consumption?

Nasema Tv ikikosa hata moja ya sifa hizo haiyakuwa bora. TV hata iwe na picha angavu kiasi gani, lakini kama haina Audio out, USB port etc etc basi sio bora.
 
Mi natumia hisense - led ni sana, ina miaka miwili haijawahi nisumbua na si ghari sana unaweza kuimudu
 

Ooh yangu ni boss kuna jamaa alitoka nayo south,ina direct king'amuzi,picha clear,had chanel z kulipia inashik free,kama citizen n.k
 
Tafuta HISENCE kaka utaenjoy sana..hizo ndo tv za kisasa
 
Nunua Samsung ila nenda kwa maagent wa Samsung sio wale wanaouza mojamoja kuna feki nyingi kwao utapa original
 
Ndo maeneo gani hayo mzee?

 

Nahisi umenena vema. Wacha nilifanyie kazi hili. Dealers wake wanapatikana wapi hawa jamaa?
 
mkuu unatumia brand gani kwani wewe? Tusaidie tusaidike
 
Teknolojia ya LED ipo mbele na ni bora zaidi ya LCD na hii ni kuwa TV yenye LED muonekano unakuwa bora zaidi.
Ningekushauri utafute LED na kuwa makini na brand unazotafuta.
 
Ooh yangu ni boss kuna jamaa alitoka nayo south,ina direct king'amuzi,picha clear,had chanel z kulipia inashik free,kama citizen n.k

Mkuu hebu tuandikie model ya hiyo Samsung hapa tuione tuitafute.
 
Teknolojia ya LED ipo mbele na ni bora zaidi ya LCD na hii ni kuwa TV yenye LED muonekano unakuwa bora zaidi.
Ningekushauri utafute LED na kuwa makini na brand unazotafuta.
Mkuu umesahau kuwa TV brands zote sasa hivi wanatengeneza LED TVs na isitoshe dunia sasa hivi inaelekea kwenye tecnolojia ya Ultra High Definition. Sijui kama unayo habari. Come mid this year Ultra HD ndo itakuwa talk ya dunia so you need to update zaidi mzee coz hata movie zinazokuja itabidi waproduce katika hiyo tech ili watumie hiyo technology zaidi.
 
ultra HD ni resolution tu so tv inaweza kuwa UHD na vile vile ikawa LED
 
Kwa hapa bongo naweza pata tv ambayo ni UHD??
aa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…