Ushauri wa Profesa Janabi kuhusu lishe ni mzuri sana lkn upo too general

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Jan 8, 2015
19,331
14,259
Wakubwa habari za mchana?

Bila shaka mnaendelea vema na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Moja kwa moja kwenye mada, Mimi ni moja ya watu ambao wanamfuatilia sana Prof. Janabi, Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Huyu mtaalamu anatoa ushauri mzuri sana juu ya watu kuzingatia ulaji wa chakula kwaajili ya Afya zao.

Lakini mimi binafsi naona yupo too general, kwasababu watu tunatofautiana kazi tunazofanya,mazingira,hali zetu kiafaya,N.K.

Matharani kuna mtu anasukuma mkokoteni na mwingine anafanya kazi nyepesi(Sedentary jobs) mfano kazi km za benki, halafu wote unawashauri kuwa wawe wanakula mlo mmoja au miwili, halafu unawaambia kuwa waepuke vyakula vya wanga, sasa huyu msukuma mkokoteni au mchanganya zege atapata wapi nguvu za kufanyia kazi?

Mimi nimejaribu kufanyia mazoezi ushauri wa Prof. Kweli mwili unakuwa mwepesi na unajisikia vizuri lakini mwili unakuwa hauna nguvu kiasi kwamba hata mzigo mdogo ambao ulizoea kuubeba unaweza kujikuta unakushinda,

Hata nguvu na stamina ya kuwashughulikia kisawasawa wanawake kwenye 6*6 inapungua sana, nilikuwa napiga bao tatu za fasta lkn sasa moja lenyewe nalitafuta kwa tochi,manii nilikuwa namwaga namlowanisha wife vizuri sana, lkn sasa namwaga kidogo sana.

Mimi ngoja niachane na huu utaratibu nikazane kujilia karanga mbichi,nazi,supu ya pweza,ugari wa dona na maharage, dagaa, samaki, nyama nyama, matunda na mbogamboga, niwe nakula milo mitatu km mwanzo ili nirudishe urijali wangu.

Namkubali sana Prof.Janabi lkn hii challenge imenishinda.Kila la heri Profesa wetu.
 
Naomba password yako nikuwekee paragraph vizuri kaka mkubwa 🤣 🤣 🤣
 
Wakubwa hbr za mchana?;Bila shaka mnaendelea vema na majukumu ya ujenzi wa Taifa.Moja kwa moja kwenye mada,Mimi ni moja ya watu ambao wanamfuatilia sana Prof.Janabi,Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili;Huyu mtaalamu anatoa ushauri mzuri sana juu ya watu kuzingatia ulaji wa chakula kwaajili ya Afya zao.
Lakini mimi binafsi naona yupo too general,kwasababu watu tunatofautiana kazi tunazofanya,mazingira,hali zetu kiafaya,N.K.Matharani kuna mtu anasukuma mkokoteni na mwingine anafanya kazi nyepesi(Sedentary jobs) mfano kazi km za benki,halafu wote unawashauri kuwa wawe wanakula mlo mmoja au miwili,halafu unawaambia kuwa waepuke vyakula vya wanga,sasa huyu msukuma mkokoteni au mchanganya zege atapata wapi nguvu za kufanyia kazi?.Mimi nimejaribu kufanyia mazoezi ushauri wa Prof. Kweli mwili unakuwa mwepesi na unajisikia vizuri lakini mwili unakuwa hauna nguvu kiasi kwamba hata mzigo mdogo ambao ulizoea kuubeba unaweza kujikuta unakushinda,Hata nguvu na stamina ya kuwashughulikia kisawasawa wanawake kwenye 6*6 inapungua sana,nilikuwa napiga bao tatu za fasta lkn sasa moja lenyewe nalitafuta kwa tochi,manii nilikuwa namwaga namlowanisha wife vizuri sana,lkn sasa namwaga kidogo sana.Mimi ngoja niachane na huu utaratibu nikazane kujilia karanga mbichi,nazi,supu ya pweza,ugari wa dona na maharage,dagaa,samaki,nyama nyama,matunda na mbogamboga,niwe nakula milo mitatu km mwanzo ili nirudishe urijali wangu.

Namkubali sana Prof.Janabi lkn hii challenge imenishinda.Kila la heri Profesa wetu.
tuwe makini na ushauri wa hawa wataalam,
tule balanced diet
kuna jamaa analalamika kichwa cha chini kimetulia kwa muda, mpaka anahisi hakipo, kumbe ni mavyakula ya kupunguza mwili anayokula
 
Mimi naona jamaa ni mgonjwa kama sio depression basi wehu
Huku kwa wenzetu wanakushauri ule milo 3
Mpaka watoto shuleni wameamua kuwapa milo 3 na kuna mjadala unaendelea hapa 🇬🇧

Sasa hizo calories 2000 nizitoe wapi bila milo?
Screenshot_20240228_114241_Google~2.png
 
Wakubwa habari za mchana?

Bila shaka mnaendelea vema na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Moja kwa moja kwenye mada, Mimi ni moja ya watu ambao wanamfuatilia sana Prof. Janabi, Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Huyu mtaalamu anatoa ushauri mzuri sana juu ya watu kuzingatia ulaji wa chakula kwaajili ya Afya zao.

Lakini mimi binafsi naona yupo too general, kwasababu watu tunatofautiana kazi tunazofanya,mazingira,hali zetu kiafaya,N.K.

Matharani kuna mtu anasukuma mkokoteni na mwingine anafanya kazi nyepesi(Sedentary jobs) mfano kazi km za benki, halafu wote unawashauri kuwa wawe wanakula mlo mmoja au miwili, halafu unawaambia kuwa waepuke vyakula vya wanga, sasa huyu msukuma mkokoteni au mchanganya zege atapata wapi nguvu za kufanyia kazi?

Mimi nimejaribu kufanyia mazoezi ushauri wa Prof. Kweli mwili unakuwa mwepesi na unajisikia vizuri lakini mwili unakuwa hauna nguvu kiasi kwamba hata mzigo mdogo ambao ulizoea kuubeba unaweza kujikuta unakushinda,

Hata nguvu na stamina ya kuwashughulikia kisawasawa wanawake kwenye 6*6 inapungua sana, nilikuwa napiga bao tatu za fasta lkn sasa moja lenyewe nalitafuta kwa tochi,manii nilikuwa namwaga namlowanisha wife vizuri sana, lkn sasa namwaga kidogo sana.

Mimi ngoja niachane na huu utaratibu nikazane kujilia karanga mbichi,nazi,supu ya pweza,ugari wa dona na maharage, dagaa, samaki, nyama nyama, matunda na mbogamboga, niwe nakula milo mitatu km mwanzo ili nirudishe urijali wangu.

Namkubali sana Prof.Janabi lkn hii challenge imenishinda.Kila la heri Profesa wetu.
Kula sana ugali lakini sio wa mahindi
 
Mimi naona jamaa ni mgonjwa kama sio depression basi wehu
Huku kwa wenzetu wanakushauri ule milo 3
Mpaka watoto shuleni wameamua kuwapa milo 3 na kuna mjadala unaendelea hapa

Sasa hizo calories 2000 nizitoe wapi bila milo?View attachment 2919168
Yaani mimi mwenyewe najiuliza,km hili zoezi nimelifanya kwa Wiki moja na hali iliyonikuta ndio hiyo;Sasa je,ikiwa kwa Mwaka si Afya inazorota kabisa?!!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
tuwe makini na ushauri wa hawa wataalam,
tule balanced diet
kuna jamaa analalamika kichwa cha chini kimetulia kwa muda, mpaka anahisi hakipo, kumbe ni mavyakula ya kupunguza mwili anayokula
Umeona eenhh?!!,Mimi imenikuta hiyo;Nilianza kupoteza hamu ya tendo la ndoa,na nikisema nijilazimishe ni kabao kamoja chali kule,Halafu najikuta nimekojoa tu shawaha kiduchu sana,Tofauti na nilivyokuwa Kabla ya kuanza kujinyima msosi;Nilikuwa napiga wastani bao tatu,halafu namwaga manii za kutosha tena zilizorutubishwa Vizuri.Aisee Siwezi tena Kufanya kosa hilo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Wakubwa habari za mchana?

Bila shaka mnaendelea vema na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Moja kwa moja kwenye mada, Mimi ni moja ya watu ambao wanamfuatilia sana Prof. Janabi, Mkurugenzi mkuu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Huyu mtaalamu anatoa ushauri mzuri sana juu ya watu kuzingatia ulaji wa chakula kwaajili ya Afya zao.

Lakini mimi binafsi naona yupo too general, kwasababu watu tunatofautiana kazi tunazofanya,mazingira,hali zetu kiafaya,N.K.

Matharani kuna mtu anasukuma mkokoteni na mwingine anafanya kazi nyepesi(Sedentary jobs) mfano kazi km za benki, halafu wote unawashauri kuwa wawe wanakula mlo mmoja au miwili, halafu unawaambia kuwa waepuke vyakula vya wanga, sasa huyu msukuma mkokoteni au mchanganya zege atapata wapi nguvu za kufanyia kazi?

Mimi nimejaribu kufanyia mazoezi ushauri wa Prof. Kweli mwili unakuwa mwepesi na unajisikia vizuri lakini mwili unakuwa hauna nguvu kiasi kwamba hata mzigo mdogo ambao ulizoea kuubeba unaweza kujikuta unakushinda,

Hata nguvu na stamina ya kuwashughulikia kisawasawa wanawake kwenye 6*6 inapungua sana, nilikuwa napiga bao tatu za fasta lkn sasa moja lenyewe nalitafuta kwa tochi,manii nilikuwa namwaga namlowanisha wife vizuri sana, lkn sasa namwaga kidogo sana.

Mimi ngoja niachane na huu utaratibu nikazane kujilia karanga mbichi,nazi,supu ya pweza,ugari wa dona na maharage, dagaa, samaki, nyama nyama, matunda na mbogamboga, niwe nakula milo mitatu km mwanzo ili nirudishe urijali wangu.

Namkubali sana Prof.Janabi lkn hii challenge imenishinda.Kila la heri Profesa wetu.
Ni suals la muda tuuu.
Mwanzoni lazima uteseke sababu unaulazimisha kuhamia kwenye mfumo mpya wa upokeaji chskula na ulaji, na mwili ukishazoea mfumo mpya unakuwa vizuri na nguvu nyingi, stable na stamina kuliko awali.

Tatizo lililopo hapo ni inshu ya mazoea tu basi.
 
Back
Top Bottom