"Hawa wanachama wa vyama vingine tusiwaone kama madui, bali tuwaone kama wenzetu ambao hatujafanya jukumu la msingi la kuwahamasisha na kuwaelimisha waweze kuunderstand umuhimu wa kujiunga na CHADEMA.
Tuone kama tunajukumu la ziada, tuna kazi ya ziada ambayo pengine hatujaitekeleza ya kuwashawishi na kuondoa kiza chochote ambacho kiko mbele yao ambacho kinawakwaza katika kujiunga na harakati za CHADEMA.
Tunahitaji kura ya kila mmoja wetu, tunahitaji busara ya kila mmoja wetu, bila kujali dini yake, bila kujali kabila lake,bila kujali itkadi yake ambayo siku zote alikuwa anaisimamia.
Basi niwaombe Watanzania wenzangu, endeleeni kuwaelimisha hawa wenzetu walio ktk vyama vingine,
endeleni kuwavumilia,
endeleeni kuzisikiliza hoja zao za msingi, yapo mambo mengine ya msingi wa hoja nayo,
pale wanapokosoa tuwaelewe,
tuwaelewe kuwa wanaweza
kuwa wanakosoa kwa nia njema, au wanaweza kuwa wanakosoa kwa misingi ya tumikia kafiri upate mradi wako.
Tukubali yote hayo ni sehemu ya siasa".
Tuzingatie hili wanaCHADEMA wenzangu ili kuzidi kuimarisha chama.
Tuone kama tunajukumu la ziada, tuna kazi ya ziada ambayo pengine hatujaitekeleza ya kuwashawishi na kuondoa kiza chochote ambacho kiko mbele yao ambacho kinawakwaza katika kujiunga na harakati za CHADEMA.
Tunahitaji kura ya kila mmoja wetu, tunahitaji busara ya kila mmoja wetu, bila kujali dini yake, bila kujali kabila lake,bila kujali itkadi yake ambayo siku zote alikuwa anaisimamia.
Basi niwaombe Watanzania wenzangu, endeleeni kuwaelimisha hawa wenzetu walio ktk vyama vingine,
endeleni kuwavumilia,
endeleeni kuzisikiliza hoja zao za msingi, yapo mambo mengine ya msingi wa hoja nayo,
pale wanapokosoa tuwaelewe,
tuwaelewe kuwa wanaweza
kuwa wanakosoa kwa nia njema, au wanaweza kuwa wanakosoa kwa misingi ya tumikia kafiri upate mradi wako.
Tukubali yote hayo ni sehemu ya siasa".
Tuzingatie hili wanaCHADEMA wenzangu ili kuzidi kuimarisha chama.