Vanlizerfx__
Senior Member
- Jul 7, 2021
- 114
- 189
Habari wana Jamii forums
Kwenye maisha tunapitia changamoto nyingi ambazo kuna kuanguka na kukosa wa kukushika mkono, wa kukufariji hata wa kuona thamani yako hata kidogo.
Unakumbuka wakati ambao wewe ambaye ulikuwa unatoka kijijini kwenda mjini ni hali gani ambayo ulikuwa unajisikia? Unatamani japo ungekua wale wenye magari mazuri, maisha mazuri lakin unajipa moyo unajiona kama Elon musk wakati huna hata hela ya kula.
Weka uso wako kila wakati kuelekea jua na vivuli vitaanguka nyuma yako ni misemo inayotumika kuwapa moyo vijana wengi.
Wewe kama msomaji andika changamoto uliowahi kuipitia kwenye maisha ikataka kukufanya ukate tamaa lakini ukajipa moyo ukaishinda ili iwe fundisho kwa wengine.
Thread in a nutshell
Kwenye maisha tunapitia changamoto nyingi ambazo kuna kuanguka na kukosa wa kukushika mkono, wa kukufariji hata wa kuona thamani yako hata kidogo.
Unakumbuka wakati ambao wewe ambaye ulikuwa unatoka kijijini kwenda mjini ni hali gani ambayo ulikuwa unajisikia? Unatamani japo ungekua wale wenye magari mazuri, maisha mazuri lakin unajipa moyo unajiona kama Elon musk wakati huna hata hela ya kula.
Weka uso wako kila wakati kuelekea jua na vivuli vitaanguka nyuma yako ni misemo inayotumika kuwapa moyo vijana wengi.
Wewe kama msomaji andika changamoto uliowahi kuipitia kwenye maisha ikataka kukufanya ukate tamaa lakini ukajipa moyo ukaishinda ili iwe fundisho kwa wengine.
Thread in a nutshell