Ushauri wa Harusi ya gharama ndogo

Ushauri wa Harusi ya gharama ndogo

Mwanza life ni simple sana; hata mimi niko Mwanza; nitakupa hesabu ambazo zitakusaidia kufanikisha suala lako.
Nipe muda kidogo nikimbie Mahakamani kusikiliza kesi ya Diwani Matata

Tutor B, nakutegemea sana kaka, usiniache umeshanionjesha ma ujanja, kama bipi mm niko tayari kuku PM namba yangu kwa mawasioliano zaidi na kama uko Mwanza nikutafute.
 
Kwa Mwanza hiyo ela mbona inatosha kabisa na kubaki maana kuna kumbi nzuri tu za mpaka laki moja na wapambaji wa kiaina wasio na complication, kikubwa ni kuchukua michango kwa rafiki zako wale ambao mnasaidiana katika shida na raha kama alivyokuambia TutorB pia angalia na baadhi ya ndugu tu wakukusaidia ila wawe waelewa maana ndugu ndio husababisha harusi ikaharibika wakati mwingine

Hapo kwenye red; umenena! Atwambie ni Mwanza pande za wapi ili tumtajie kumbi za free / cheap
 
Tutor B, nakutegemea sana kaka, usiniache umeshanionjesha ma ujanja, kama bipi mm niko tayari kuku PM namba yangu kwa mawasioliano zaidi na kama uko Mwanza nikutafute.

usijali; baadaye!
 
Kwa Mwanza hiyo ela mbona inatosha kabisa na kubaki maana kuna kumbi nzuri tu za mpaka laki moja na wapambaji wa kiaina wasio na complication, kikubwa ni kuchukua michango kwa rafiki zako wale ambao mnasaidiana katika shida na raha kama alivyokuambia TutorB pia angalia na baadhi ya ndugu tu wakukusaidia ila wawe waelewa maana ndugu ndio husababisha harusi ikaharibika wakati mwingine

Hee, jamani ninafarijika sana kuona napata ushauri mzuri kiasi hiki, duh JF its real a Great Thinkers.
 
Habarini za majukumu wana JF

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya, jamani mimi ninakaribia kuolewa, ila kutokana na hali ya maisha tumekubaliana na mwenzangu tufanye harusi ya gharama ndogo.


Nimeamua kuomba ushauri wa jinsi ya kufanya sherehe hiyo kwa gharama ndogo sana, kwanzia mavazi mpaka chakula nisaidien wana jukwaa.


Karibuni.

Tafuta resort/hotel/baa yenye garden, kisha fanya yafuatayo...
1. Nunua nyama ya ng'ombe kilo 30 --- sh 180,000
2. Nunua bia/soda chupa 2 kila mtu --- sh 200,000
3. Nunua ndizi mzuzu --- sh 50,000
4. Nunua keki --- sh 100,000
5. Nunua shampeni chupa 10 --- sh 100,000
6. Tafuta mtu mwenye mziki --- sh 200,000
7. Kama huna rafiki mwenye v.camera, kodisha --- 200,000
8. Tafuta mchoma nyama na jiko na mkaa --- 70000

Jumla 1,000,000/=

Achana na mambo ya Mc, Tarumbeta wala mapambo. Usiweke jukwaa, viti visipangwe, itakuwa kama cocktail party... Kadi za mwaliko tengeneza mwenyewe, au fanya kwa sms... Marafiki zako uwataarifu kuwa mtu akifika ukumbini, kama anaweza achangie kununua kinywaji chochote..., kama ni chupa moja hya, kama ni kreti haya... Marafiki zako wataimba, watawarushia maua, watajenga tunnel kwa mikono yao nyie mtapita chini yake n.k, ili mradi itakuwa shamrashamra. Mtakata hiyo keki, na mtahakikisha mmewalisha wote, shampeni kumi zitafunguliwa na watu tofauti na zitaongeza shmrashamra, nyama za kuchoma na ndizi zitakuwepo mda wote jikoni, mtu anaenda kujichukulia anavyotaka, vinywaji vitasambazwa kwenye meza moja, mtu anajichukulia anavyotaka, ndugu jamaa na marafiki watakuwa na wasaa wa kuongea chochote wanachojisikia kuongea (kusiwe na formality), mtacheza sana mziki... nk...
Natamani ningekuwa na uwezo wa kukutumia mkanda wa arusi yangu ilivyokuwa simple, but ilipendeza...
 
Habarini za majukumu wana JF

Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya, jamani mimi ninakaribia kuolewa, ila kutokana na hali ya maisha tumekubaliana na mwenzangu tufanye harusi ya gharama ndogo.


Nimeamua kuomba ushauri wa jinsi ya kufanya sherehe hiyo kwa gharama ndogo sana, kwanzia mavazi mpaka chakula nisaidien wana jukwaa.


Karibuni.

Nendeni kanisani au kwa shehe baada ya hapo mnasepa zenu hotelini. haki ya nani hata laki mbili hazifiki
 
Nendeni kanisani au kwa shehe baada ya hapo mnasepa zenu hotelini. haki ya nani hata laki mbili hazifik
 
Tafuta resort/hotel/baa yenye garden, kisha fanya yafuatayo...
1. Nunua nyama ya ng'ombe kilo 30 --- sh 180,000
2. Nunua bia/soda chupa 2 kila mtu --- sh 200,000
3. Nunua ndizi mzuzu --- sh 50,000
4. Nunua keki --- sh 100,000
5. Nunua shampeni chupa 10 --- sh 100,000
6. Tafuta mtu mwenye mziki --- sh 200,000
7. Kama huna rafiki mwenye v.camera, kodisha --- 200,000
8. Tafuta mchoma nyama na jiko na mkaa --- 70000

Jumla 1,000,000/=

Achana na mambo ya Mc, Tarumbeta wala mapambo. Usiweke jukwaa, viti visipangwe, itakuwa kama cocktail party... Kadi za mwaliko tengeneza mwenyewe, au fanya kwa sms... Marafiki zako uwataarifu kuwa mtu akifika ukumbini, kama anaweza achangie kununua kinywaji chochote..., kama ni chupa moja hya, kama ni kreti haya... Marafiki zako wataimba, watawarushia maua, watajenga tunnel kwa mikono yao nyie mtapita chini yake n.k, ili mradi itakuwa shamrashamra. Mtakata hiyo keki, na mtahakikisha mmewalisha wote, shampeni kumi zitafunguliwa na watu tofauti na zitaongeza shmrashamra, nyama za kuchoma na ndizi zitakuwepo mda wote jikoni, mtu anaenda kujichukulia anavyotaka, vinywaji vitasambazwa kwenye meza moja, mtu anajichukulia anavyotaka, ndugu jamaa na marafiki watakuwa na wasaa wa kuongea chochote wanachojisikia kuongea (kusiwe na formality), mtacheza sana mziki... nk...
Natamani ningekuwa na uwezo wa kukutumia mkanda wa arusi yangu ilivyokuwa simple, but ilipendeza...

Umemaliza kiongozi; karibu Mwanza; nitajitahidi nihudhurie then niwape updates za hiyo harusi kwani nitahudhuria na ka-laptop kangu kujumuisha wanaJF watakaokuwa online.
 
Habarini za majukumu wana JF Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya, jamani mimi ninakaribia kuolewa, ila kutokana na hali ya maisha tumekubaliana na mwenzangu tufanye harusi ya gharama ndogo. Nimeamua kuomba ushauri wa jinsi ya kufanya sherehe hiyo kwa gharama ndogo sana, kwanzia mavazi mpaka chakula nisaidien wana jukwaa. Karibuni.
Kwanza hongera kwa jambo njema unaloelekea kulifanya. Sherehe ya harusi ya gharama ndogo ni kufanyia kijijini alikozaliwa mumeo tarajali maana naamini huyu mchumba wako ana kijiji chake cha asili pelekeni huko shughuli yenu hii,itakuwa ya gharama ndogo na full blessings. Nakueleza hivi kwa kuwa mimi nilifanya hivyo pamoja na kuwa naishi na kufanya kazi jijini Dsm,iliniokolea gharama nyingi sana na kupata baraka nyingi pia.
 
Kwanza hongera kwa jambo njema unaloelekea kulifanya. Sherehe ya harusi ya gharama ndogo ni kufanyia kijijini alikozaliwa mumeo tarajali maana naamini huyu mchumba wako ana kijiji chake cha asili pelekeni huko shughuli yenu hii,itakuwa ya gharama ndogo na full blessings. Nakueleza hivi kwa kuwa mimi nilifanya hivyo pamoja na kuwa naishi na kufanya kazi jijini Dsm,iliniokolea gharama nyingi sana na kupata baraka nyingi pia.
 
Baadhi ya ushauri ni mzuri sana aksante kwa aliyeanzisha hii thread na mimi nimepata ufahamu kwa mambo ya gharama za sherehe. Maana muda si mrefu na mimi natarajia kuoa hila nilikua sitaki masuara ya sherehe. Mwenzangu anasema sherehe lazima. Kama baadhi ya watu mnasema million 2 inatosha basi naamini nitaweza.
 
Hongera kwa uamuzi mzuri! Tulifunga ndoa na kufanya sherehe ndogo ya watu 120 last Novemba,iligharimu 3M,ambapo 2.5M zilichangwa na marafiki wapatao 50 kwa short notice ya wiki 3 tu,awali tulipanga iwe kimya kimya but wanajamii wakakataa!
 
Tafuta resort/hotel/baa yenye garden, kisha fanya yafuatayo...
1. Nunua nyama ya ng'ombe kilo 30 --- sh 180,000
2. Nunua bia/soda chupa 2 kila mtu --- sh 200,000
3. Nunua ndizi mzuzu --- sh 50,000
4. Nunua keki --- sh 100,000
5. Nunua shampeni chupa 10 --- sh 100,000
6. Tafuta mtu mwenye mziki --- sh 200,000
7. Kama huna rafiki mwenye v.camera, kodisha --- 200,000
8. Tafuta mchoma nyama na jiko na mkaa --- 70000

Jumla 1,000,000/=

Achana na mambo ya Mc, Tarumbeta wala mapambo. Usiweke jukwaa, viti visipangwe, itakuwa kama cocktail party... Kadi za mwaliko tengeneza mwenyewe, au fanya kwa sms... Marafiki zako uwataarifu kuwa mtu akifika ukumbini, kama anaweza achangie kununua kinywaji chochote..., kama ni chupa moja hya, kama ni kreti haya... Marafiki zako wataimba, watawarushia maua, watajenga tunnel kwa mikono yao nyie mtapita chini yake n.k, ili mradi itakuwa shamrashamra. Mtakata hiyo keki, na mtahakikisha mmewalisha wote, shampeni kumi zitafunguliwa na watu tofauti na zitaongeza shmrashamra, nyama za kuchoma na ndizi zitakuwepo mda wote jikoni, mtu anaenda kujichukulia anavyotaka, vinywaji vitasambazwa kwenye meza moja, mtu anajichukulia anavyotaka, ndugu jamaa na marafiki watakuwa na wasaa wa kuongea chochote wanachojisikia kuongea (kusiwe na formality), mtacheza sana mziki... nk...
Natamani ningekuwa na uwezo wa kukutumia mkanda wa arusi yangu ilivyokuwa simple, but ilipendeza...

Nimekupenda umeshauri vyema na really am going 2 follow ur advice hata miye.. Lakini miye nipo Dar na cwajua Palivyo pagumu? Nitahitaji zaidi msaada wako Hivi karibuni..
 
Okay, tulipanga iwe ya kwanzia M 1 - 2 sizidi hapo ikiwezekana ipungue M 2, tutatumia za amfukon kwa kias kikubwa kwan mpaka sasa tunaona zoez la michango halitofanikiwa.

Waalikwa wasizid 50, Music kidogo na MC kwa ajili ya kunogesha shughuli, tusisahau Camera man, Na Vidio Camera.

Karibu tena kiongozi

Jaribu kufuatilia bei ya vitu hivyo vichache ambavyo binafsi huona ndio vina umuhimu nadhani utapata muongozo, sijaweka gharama ili list hiyo uitumie kama muongozo na ufanye utafiti

Ukumbi
Mapambo
Keki
Chakula
Vinywaji
MC + Music
Mpiga picha (Mnato + Video)
Gari
Gauni la Harusi + Viatu + Salon
Suti ya Harusi + Salon + Viatu
Pete
Nguo za wapambe
 
Back
Top Bottom