The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
ndugu zangu wana Jf,
kuna rafiki yangu yamemkuta ya mwaka!
Ameoa miezi mitatu ilopita na wazazi wake wakaja kwenye harus mjini pamoja na shangaz yake,baada ya harusi sasa huu ni mwezi wa3 hawana dalili ya kurudi nyumbani wote watatu,yaani baba,mama na shangazi.
Jamaa ni mwalimu wa sekondari ya serikali hapa jijini,imefika kipindi kuendesha maisha imekuwa kazi sana na ameajiriwa mwaka huu,january.
Amekaa na wazazi wake pamoja na shangaz yake na kujaribu kuwaelewesha jinsi maisha ya mjini yalivyo,na ukizingatia anaish kwenye vyumba vya kupanga.mkewe hana kazi,ni mama wa nyumbani,wazaz wamesema hawaondoki kurudi nyumban na kumshauri aende yeye kijijini akauze mashamba aje na pesa mjini waendelee kuishi,wameendelea kudai kuwa wamemsomesha kwa shida kwa kuuza pombe haramu ya gongo na kama wangekamatwa na polisi yeye asingeipata hiyo kazi,amejaribu kuongea na ndugu yke mwngne alieko morogoro ili waende kule angalau abaki mmoja,hakuna anaetaka kutoka dar,rafiki yangu sasa maisha yanaelekea kumshinda na ameshakopa sana hadi anatia huruma.
Kilichobaki anaomba angalau msiba utokee huko nyumbani pengine wanaweza kurudi nyumbani.
Wakuu,ushauri wenu ni muhimu sana hapa,
nawasilisha!
kuna rafiki yangu yamemkuta ya mwaka!
Ameoa miezi mitatu ilopita na wazazi wake wakaja kwenye harus mjini pamoja na shangaz yake,baada ya harusi sasa huu ni mwezi wa3 hawana dalili ya kurudi nyumbani wote watatu,yaani baba,mama na shangazi.
Jamaa ni mwalimu wa sekondari ya serikali hapa jijini,imefika kipindi kuendesha maisha imekuwa kazi sana na ameajiriwa mwaka huu,january.
Amekaa na wazazi wake pamoja na shangaz yake na kujaribu kuwaelewesha jinsi maisha ya mjini yalivyo,na ukizingatia anaish kwenye vyumba vya kupanga.mkewe hana kazi,ni mama wa nyumbani,wazaz wamesema hawaondoki kurudi nyumban na kumshauri aende yeye kijijini akauze mashamba aje na pesa mjini waendelee kuishi,wameendelea kudai kuwa wamemsomesha kwa shida kwa kuuza pombe haramu ya gongo na kama wangekamatwa na polisi yeye asingeipata hiyo kazi,amejaribu kuongea na ndugu yke mwngne alieko morogoro ili waende kule angalau abaki mmoja,hakuna anaetaka kutoka dar,rafiki yangu sasa maisha yanaelekea kumshinda na ameshakopa sana hadi anatia huruma.
Kilichobaki anaomba angalau msiba utokee huko nyumbani pengine wanaweza kurudi nyumbani.
Wakuu,ushauri wenu ni muhimu sana hapa,
nawasilisha!