Ushauri wa haraka, wazazi wamegoma kurudi kijijini

toa ushauri hapa.

Ingekuwa rahisi ningefanya hivyo Husninyo. Hao ni Wazazi ambao ni Mungu wa Dunia huwezi kuwafukuza na jamaa ndio kwanza anayaanza maisha mfuko wake yeye na mkewe nanga inapaa sasa imagine kwenda kuongezewa tena matumbo mengine matatu tena katika nyumba ya kupanga!!! Gumu sana hili Husninyo, jamaa anaweza kuchanganyikiwa.
 
ndo maana wengine nyumba wanapanga chumba kimoja. Endelea kuishi nao mkikosa mnywe maji mlale, mkipata mle. Wakipiga pasi ndefu kama mwezi labda wataomba nauli. Na Mkeo ajiunge na kinamama wenzie auze hata karanga.
 
Ingekuwa rahisi ningefanya hivyo Husninyo. Hao ni Wazazi ambao ni Mungu wa Dunia huwezi kuwafukuza na jamaa ndio kwanza anayaanza maisha mfuko wake yeye na mkewe nanga inapaa sasa imagine kwenda kuongezewa tena matumbo mengine matatu tena katika nyumba ya kupanga!!! Gumu sana hili Husninyo, jamaa anaweza kuchanganyikiwa.

ni gumu ndio ila inapobidi bora mtu uwe na roho mbaya BAK hata kwa muda mfupi vinginevyo utashangaa hausongi mbele kimaisha. Au inawezekana huyu jamaa huwa hawasaidii wazee wake huko kijijini ndio maana wameamua kung'ang'ania mjini.
 
ni gumu ndio ila inapobidi bora mtu uwe na roho mbaya BAK hata kwa muda mfupi vinginevyo utashangaa hausongi mbele kimaisha. Au inawezekana huyu jamaa huwa hawasaidii wazee wake huko kijijini ndio maana wameamua kung'ang'ania mjini.

....Tukitilia maanani kwamba ndio ameanza kazi January 2011, basi inaelekea huko nyuma alikuwa hana uwezo wa kuwasaidia Wazazi wake....Ni kweli wakati mwingine inabidi kuwa na roho mbaya, lakini kuwafukuza Wazazi nyumbani kwako ni ngumu sana tena sana.
 
....Tukitilia maanani kwamba ndio ameanza kazi January 2011, basi inaelekea huko nyuma alikuwa hana uwezo wa kuwasaidia Wazazi wake....Ni kweli wakati mwingine inabidi kuwa na roho mbaya, lakini kuwafukuza Wazazi nyumbani kwako ni ngumu sana tena sana.

BAK kuna namna ya kuishi na watu hata kama haumpi msaada wa kifedha anakuwa anakubali uwepo wako na kuelewa hali yako ya kiuchumi ipo vipi. Jamaa kama hakuwa na msaada wa kifedha hapo nyuma, vipi msaada wa kimawazo? Vipi ushiriki wake yeye huko kijijini kwa matukio kama ya misiba? Vipi mawasiliano na wazazi wake yalikuwaje? Mi naamini wazazi ni waelewa sana ila jamaa atakuwa alitengeneza mazingira ya kuonekana ana kauwezo huku mdomoni anasema hana kitu.
Inawezekana amepata hiyo kazi ya kuajiriwa mwaka huu ila hapo nyuma alikuwa anaweza kuingiza japo kipato kidogo kwa shughuli zingine ila alishindwa kusaidia wazazi wake hata kwa hicho kidogo alichokuwa anapata.
 
BAK kuna namna ya kuishi na watu hata kama haumpi msaada wa kifedha anakuwa anakubali uwepo wako na kuelewa hali yako ya kiuchumi ipo vipi. Jamaa kama hakuwa na msaada wa kifedha hapo nyuma, vipi msaada wa kimawazo? Vipi ushiriki wake yeye huko kijijini kwa matukio kama ya misiba? Vipi mawasiliano na wazazi wake yalikuwaje? Mi naamini wazazi ni waelewa sana ila jamaa atakuwa alitengeneza mazingira ya kuonekana ana kauwezo huku mdomoni anasema hana kitu.
Inawezekana amepata hiyo kazi ya kuajiriwa mwaka huu ila hapo nyuma alikuwa anaweza kuingiza japo kipato kidogo kwa shughuli zingine ila alishindwa kusaidia wazazi wake hata kwa hicho kidogo alichokuwa anapata.

mkuu,jamaa kanidokeza muda mfupi ulopita kwamba siku hzi ndo hawataki hata tv izimwe,hta umeme ukikatika hawaelewi wenyewe wanaamini ni hujuma ya mke wa jamaa ili wasiangalie tv.
Ukifuatilia stori za wale wazee unaweza jikuta mbavu huna,mengi nimeyashudia pale kwa jicho langu!
Nimeamua kukata mguu pale kwa jamaa make anatia huruma,sijui hata hao wanafunzi anawafundishaje,
 
Nimeamua kukata mguu pale kwa jamaa make anatia huruma,,
mjali rafiki yako zaidi wakati wa shida. Ukiona mtu mpaka amekueleza mambo yake ujue ni namna gani ameona wewe waweza japo kumfariji. Wengi hufa nayo moyoni. Mpe pole jamaa.
 
mjali rafiki yako zaidi wakati wa shida. Ukiona mtu mpaka amekueleza mambo yake ujue ni namna gani ameona wewe waweza japo kumfariji. Wengi hufa nayo moyoni. Mpe pole jamaa.

husn,
namjali na ninamuhurumia,ile situation ninayoikuta pale ndo inanifedhehesha,i use to mit him kila wknd somewhere kushauriana hili na lile,siwez kumtupa hta siku moja na hata yeye analitambua hlo.
 
mkuu,jamaa kanidokeza muda mfupi ulopita kwamba siku hzi ndo hawataki hata tv izimwe,hta umeme ukikatika hawaelewi wenyewe wanaamini ni hujuma ya mke wa jamaa ili wasiangalie tv.
Ukifuatilia stori za wale wazee unaweza jikuta mbavu huna,mengi nimeyashudia pale kwa jicho langu!
Nimeamua kukata mguu pale kwa jamaa make anatia huruma,sijui hata hao wanafunzi anawafundishaje,

Duh!! Kazi ipo, yaani hapa sijui ndo unafanyaje jamani!! Huyo shangazi mtu ye hana watoto hata waje kumchukua?
 
mkuu,jamaa kanidokeza muda mfupi ulopita kwamba siku hzi ndo hawataki hata tv izimwe,hta umeme ukikatika hawaelewi wenyewe wanaamini ni hujuma ya mke wa jamaa ili wasiangalie tv.
Ukifuatilia stori za wale wazee unaweza jikuta mbavu huna,mengi nimeyashudia pale kwa jicho langu!
Nimeamua kukata mguu pale kwa jamaa make anatia huruma,sijui hata hao wanafunzi anawafundishaje,


duh hii ni movie tosha lol
 
mkuu,jamaa kanidokeza muda mfupi ulopita kwamba siku hzi ndo hawataki hata tv izimwe,hta umeme ukikatika hawaelewi wenyewe wanaamini ni hujuma ya mke wa jamaa ili wasiangalie tv.
Hapo sasa ndipo unachukulia nafasi ya kuwasoma na kujua ni vitu gani vinawakera hasa. Kama ni kukosa TV anaipoteza kabisa. Si ni kwa muda tu? Akupe umwekee alafu awaambie alikosa hela ya chakula imebidi auze.
Ukifuatilia stori za wale wazee unaweza jikuta mbavu huna,mengi nimeyashudia pale kwa jicho langu!
Nimeamua kukata mguu pale kwa jamaa make anatia huruma,sijui hata hao wanafunzi anawafundishaje,
Usiseme kwa jicho lako, haipendezi. sema tu ulijionea mwenyewe. alafu hivi vitu sio vyakucheka, rafiki yako ana stress huyo!
 
Ukidanganya usiwe msahaulifu
kuna sehemu umesema SHANGAZI YANGU that means ni wewe
Ushauri waombe watu wazima esp wazee wakusaidie kuwa-convince itasaidia

wengi wanazuga hivi hivi mara hoo lafiki yangu hana nguvu za kiume..mara kafumaniwa,mara kakaangu anapenda tigo.eti tumshauri..
 
Kwa vyovyote vile,hii kitu ni zaidi ya inavyoonekana. Mimi ninafikiri huyu mhusika atakuwa alikuwa anawapotezea hawa wazee,anaenjoy life town na vimwana. Sasa wanamfundisha,kama ni gud tym tule wote. La msingi awape assurance ya kuwajali mara watudipo huko. Sidhani kama kuna wazazi wa namna hii,just from nowhere wanaamua kukukomka,?may be.
 
wengi wanazuga hivi hivi mara hoo lafiki yangu hana nguvu za kiume..mara kafumaniwa,mara kakaangu anapenda tigo.eti tumshauri..

hii ni serious issue,acheni kusapotiana upumb** wkt mwenzenu anataabika,kama kwenu/kwako mambo safi kausha,hujalazimishwa kushauri! Idiot..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom