Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,652
- 5,133
Habari ndugu
Ujue wahenga husema mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua, mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma ya uongozi(PA) sijawahi kufanya field yeyote.
Miezi 2 Sasa nahangaika kutafuta field katoka maofisi nimeshatuma takribani kampuni 10 na sijapata jibu lolote, nimeomba kujitolea field ya HR na Admistrative assistant lakini sijapata majibu Sasa kwa juu nimefikoria lbd wanataka yule expert wa hiyo kozi au sijui kuandika barua maaana mie naandikakaga naaply internship katoka nafasi Fulani je,Ni kweli sijui kuandika au tatzo Nini?
Pili mnanishauri vipi au nifanyaje kwa danadana hizi now najionea tabu lakini nafikiria kwenda kufanya kazi ya mtendaji wa mtaa wa kujitolea, je utakuwa ni sawa au najichosha??
Nisaidieni ndugu maana nikifeli madhara kwenu nitakuwa mganga wa kuzuga niwaibie pesa tu.
Ujue wahenga husema mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua, mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma ya uongozi(PA) sijawahi kufanya field yeyote.
Miezi 2 Sasa nahangaika kutafuta field katoka maofisi nimeshatuma takribani kampuni 10 na sijapata jibu lolote, nimeomba kujitolea field ya HR na Admistrative assistant lakini sijapata majibu Sasa kwa juu nimefikoria lbd wanataka yule expert wa hiyo kozi au sijui kuandika barua maaana mie naandikakaga naaply internship katoka nafasi Fulani je,Ni kweli sijui kuandika au tatzo Nini?
Pili mnanishauri vipi au nifanyaje kwa danadana hizi now najionea tabu lakini nafikiria kwenda kufanya kazi ya mtendaji wa mtaa wa kujitolea, je utakuwa ni sawa au najichosha??
Nisaidieni ndugu maana nikifeli madhara kwenu nitakuwa mganga wa kuzuga niwaibie pesa tu.