Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,112
- 128,745
Kwanza kwa kabila yetu huwa hatutangazii watu tutatoa kiasi gani kwenye misiba, huwa tunaandika tuu kwenye daftari na kutoa cash. Michango ya kutangaza ni kwenye harambee na harusi.Mleta mada naona Hujambo kwa hotuba ndefu wachaga huwa hawapendi hotuba ndefu mtu akifariki mtu akitaka kuongea kuhusu marehemu hawataki Story wanachouliza wewe uliyeguswa unachangia shilingi ngapi sio maneno mangapi? Mleta mada msiba wa ndesamburo unachangia shilingi ngapi ili huyo mzee azikwe kwa heshima zote ulizopendekeza? Msiba ni gharama wewe mselewa unachangia shilingi ngapi? Na mayala unachangia shilingi ngapi?
Pili wewe sii ndugu, tafadhali sana usitake kuitia aibu Familia ya Ndesa kuja humu jf kuanza kuomba ahadi za michango ya rambi rambi as if familia ndio wamekutuma uje uhamasishe ku solicit funds humu jf ili azikwe kwa heshima, as if wamepungukiwa hivyo maziko ya heshima yanategemea michango!. No please!, uwe na heshima na misiba ya watu. Watu tunamlilia Ndesa wewe unafikiria utapiga pesa ngapi kwa kutafuta ahadi humu jf!.
Please don't, tena omba msamaha haraka kabla hajazikwa!. Karma ya marehemu kabla hajazikwa ni karma kali sana!.
Rip Ndesa Pesa.
P.