Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
- Thread starter
- #81
Njoo uchukue rambirambi dada YEHODAYAMkuu misiba Ya wachaga na wajaluo huwezi kwenda tu kutungua kilio kama wasukuma kuwa rafiki yako mpendwa na ndugu yako na mheshimiwa wako kafa watakuona mjinga tu unachotakiwa kufanya unaenda na burungutu la pesa unakabidhi wafiwa ukishawapa ndio unatungua kilio kuwa marehehemu rafiki yako kafa kaacha pengo na utapata waliaji wa kukuunga mkono kibao. Misiba Ya wasukuma na makabila mengine ni tofauti. Nauliza tena Pascal Mayala na wakili Mselewa mnachangia shilingi ngapi? Maneno yenu Ya pole Na maskitiko hayawezi nunua sanda wala jeneza mnachangia shilingi Ngapi? Maneno matupu ya maskitiko hayachongi jeneza wala kununua sanda