momara
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 463
- 490
Mke wangu anajisikia maumivu sehemu ya juu ya papuchi. Maumivu yanaanzia sehemu ya juu ya K Kupanda juu na sehemu ya Kati ya matiti Kwa chini kidogo. Maumivu husambaa mpaka na maeneo Mengine ya mwili mpaka kunyanyua mguu anashindwa na hujihisi uchovu mpaka mikononi.
Yote haya yametokea leo wakati nachakata papuchi. Nimeishia njian na nahofia kuendelea hata Kwa badae mana aliniogopesha Japo namuona hapa anajinyanyua polepole.
Jaman shida hii nini Tatizo? Mana nlikaa kimya nsijue nini cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote haya yametokea leo wakati nachakata papuchi. Nimeishia njian na nahofia kuendelea hata Kwa badae mana aliniogopesha Japo namuona hapa anajinyanyua polepole.
Jaman shida hii nini Tatizo? Mana nlikaa kimya nsijue nini cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app