<br /><br /><br />
<br /><br />
siyo vzr hivyo, assume ungekuwa ww dem wako akakufanyia hivyo ungejisikiaje? Acha upuuz
mwambie rafiki yako, maana gharama ya kupoteza rafiki wa tangu utotoni ni kubwa kuliko kale kautamu ka sekunde saba
hata kuku hana rekodi hyo..mwambie rafiki yako, maana gharama ya kupoteza rafiki wa tangu utotoni ni kubwa kuliko kale kautamu ka sekunde saba
hata kuku hana rekodi hyo..
ndugu nahisi huyu jamaa siku mingi alikuwa anamega kimya kimya sa mefikia hatua huyu msichana anataka kuhamia kitu ambacho kitafanya mahusiano yao kuwa wazi zaidi.Tumaini Jipya;
Wewe unajua kitu sahihi cha kufanya,dhamiri yako imeshakwambia,kuja kuomba Ushauri hapa na hata kuwasiliana na huyo Mwanamke ina maanisha kwamba na wewe unamtaka ki-aina ila dhamiri ina kuhukumu!!
Ili si jambo la kuomba Ushauri,haijawahi kutokea hata siku Moja kwamba USALITI ukawa Hekima!!
Huyo mwanamke ni Kahaba mwenye pepo la Ngono,kaa naye mbali lakini usimwambie rafiki yako mpaka atakapo-realise mwenyewe!!!
Dont entertain her,keep ur distance na umwambie kwa macho makavu kwamba Rafiki yako ni Muhimu kwako kuliko huo Uchi wake unaomuwasha!!
Cheers!!!
Senetor;
cjawah kummega mkuu.
kumbe ni sekunde saba tuu!!??mwambie rafiki yako, maana gharama ya kupoteza rafiki wa tangu utotoni ni kubwa kuliko kale kautamu ka sekunde saba