duh! kuna watu na viatu au ndo msemo kiingiacho halali kitokacho haramu?Mega kimya kimya rafiki sio ndugu
sasa kama hutaki kukosana na rafiki yako kisa huyo unaomba ushauri wa nini?au unataka kutoa tu mada na wewe uonekane upo?ni galfrd wa rafiki yangu kipenzi ambae 2mekua 2kisaidiana v2 mbalimbal tangu utoton,nlianza kuzoeana na huyu galfrd wake tangu mwaka 2009,mazoea yakawa mazoea,cku ya kwanza alinambiaga anataka kumuacha mshkaji na kuja kwangu,me nikadhan ni utani,ckutilia maanan,cku ya pili tena akanambia hvo hvo,nkachukulia ni utani,leo kani2mia txt anasema eti nimuelewe kwa anacho nambia as ye yuko serious...sasa wakuu,nifanyaje hapa,maana me ctaki kabisa kukosana na rafiki yangu kisa msichana??